Acha tu tupo pamoja, ikitoka nitapumua km babake s8 huko alikoNamaanisha ya pili ni hiyo ya kijana aliyekuwa akihoji research
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wacha weee
Anhaa dah nimekusoma.....old CEO kwenye suala la Imani yake kuwa na uwezo WA kumiliki majiko mpk manne..kweli amelizingatiaSawa ni hivi old CEO ana kijana wake, ambaye naye sasa hivi anafuata nyayo za mshua yuko mjengoni, msaidizi wake wa jikoni(mke) wa old CEO, jiko humaanisha mke . Kijana inasemekana ana vituo vya mafuta.
Aliyeuliza swali alitaka kujua je huyu kijana wa old CEO ni mtoto wa huyu mama ambaye ni mke wa old CEO ambaye naye pia yuko mjengoni kutokea Jimbo la kusini mashariki wa Tz? Jibu ni hapana.
aiseeeeeeeeeeeeeeeee huyo mama ndo nani?au yoga ni mama salma?
kwahiyo hayo majiko huenda yatatifuana na kuvujisha mambo hasaaa pale atakapopendelewa alizetiAnhaa dah nimekusoma.....old CEO kwenye suala la Imani yake kuwa na uwezo WA kumiliki majiko mpk manne..kweli amelizingatia
Umeona ehee [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Anhaa dah nimekusoma.....old CEO kwenye suala la Imani yake kuwa na uwezo WA kumiliki majiko mpk manne..kweli amelizingatia
Ila moja la huyo kijana halipo lilishapumzika ndio maana kijana huwa anapendwa sana dingilai.kwahiyo hayo majiko huenda yatatifuana na kuvujisha mambo hasaaa pale atakapopendelewa alizeti
mama ake alishafariki.kijana yeye na dada ake dr s wao mama ni mtu wa bwagaheart.na anawadogo wengine bwagaheartyoga Hivi mama yake na yule mtoto anaejaza visima vya alizeti kila kona hadi vichochoroni ni nani? Maana inasemekana mama yake sio yule alowekewaga pini kipindi fulani mabegi yake yasipite.
Nimesoma simulizi nyingi kwenye vitabu jibu kama linakuja afu linakataaa
mama ake kijana ni mtu wa bwagaheart mjini walizaliwa wawili kwa baba old ceo, kijana naibu na dr s.mke wa albert marwaMbona inasemekana alikua mpare wa same huko?
hahahaKWA tabia hizi za old CEO Nadhani huyo mama Baada ya kuachana nae SIJUI kama alitaka aolewe na other man!!!? AISEH niishie Hapo!!nisije mkosea Mungu!!
Mmmh nahisi hapana anyway!!!Si faza wao alishasema mama yao alikwishafariki au?
Ndo wambea wanasema mama yake ni mpeleka mpeleka umbea wa siri😂Mwenye visima si mtoto wake wa kumzaa kwa huyo mama
km kwa Ndoa sawa, lkn ujananj ana mkubwa wao hao wenye Alizeti, wakati akifanya Makao Makuu ya club yao ya kijani alipata mtoto (mirija akijifanya pilot wa Ndege) Mama yake yupo kitongoji Cha Makole, Kuna watoto wengine wa namna hiyo singidani enzi hizo motoold ceo mke wake wa kwanza (marehemu) alizaa nae watoto wawili.kijana naibu na dr wa meno. wakaachana nadhani miaka ya 90 hv.ndo akaolewa mwalimu.nae ana watoto 5 na old ceo.