Dark days 17/03/20...

Anhaa dah nimekusoma.....old CEO kwenye suala la Imani yake kuwa na uwezo WA kumiliki majiko mpk manne..kweli amelizingatia
 
mimi na amini katikati ya binadamu kuna malaika tunaishi nao na hushuhudia yote ( mema n mabaya ) binadamu tuyatendayo
Kikubwa tuishi kwa hofu ya Mungu.
Ndo nilichojifunza kwenye riwaya hii
Mwenzangu umejifunza nini??
 
mama ake alishafariki.kijana yeye na dada ake dr s wao mama ni mtu wa bwagaheart.na anawadogo wengine bwagaheart
 
old ceo mke wake wa kwanza (marehemu) alizaa nae watoto wawili.kijana naibu na dr wa meno. wakaachana nadhani miaka ya 90 hv.ndo akaolewa mwalimu.nae ana watoto 5 na old ceo.
km kwa Ndoa sawa, lkn ujananj ana mkubwa wao hao wenye Alizeti, wakati akifanya Makao Makuu ya club yao ya kijani alipata mtoto (mirija akijifanya pilot wa Ndege) Mama yake yupo kitongoji Cha Makole, Kuna watoto wengine wa namna hiyo singidani enzi hizo moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…