Umenifariji sana mkuu. Asante sana[emoji23][emoji23][emoji23]wewe una kamoyo kadogo hakawezi imili mikiki ya hapa duniani sasa umeumizwa na hii simulizi, je sisi tulojuwa CEO is no more afu huwezi fungua domo kumwambia hata rafiki wiki ya kwanza ilipita ya pili ndo wanatangaza si ungekufa na hasira kabisa?.
Na ukitaka kulipa kisasi funga mdomo wako, kula nao sahani moja miaka ipite watu wa jiachie fanya yako. Ukitaka kulipiza kisasi wakati una maumivu basi utaumizwa.
Nb nasisitiza hii simulizi tu[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wala haina shida mbonaMkuu na hio Oppo unayotumia ndio Umeamua kuacha wazi nyama buchani au?
Hakuna balance yoyote kwa mwenda...ke maovu yalimlemea pesa ya kampuni alijigawia bila vikao, watu walifukuzwa bila malipo eti vyeti feki wakati yy alihojiwa akamuua ben8Ahukumiwe kwa uovu wake, apongezwe kwa mazuri yake.
Vyetu feki una hasira bora ulitumbuliwa nawe utakufaaaa😏😏😏😏😏Hakuna balance yoyote kwa mwenda...ke maovu yalimlemea pesa ya kampuni alijigawia bila vikao, watu walifukuzwa bila malipo eti vyeti feki wakati yy alihojiwa akamuua ben8
Kila siku kutumbua hakujua Kuna familia wanaumia
Bei yy ndiye alidanganya eti umeme 27,000, hata kwa kwa k game na M7 sio hivyo naona muhamie huko mnaoumia
bora wajanja walimuwahisha na wengine tutafuata lkn angalau amani ipo Sasa hata humu JF
Wewe hueleweki ujueVyetu feki una hasira bora ulitumbuliwa nawe utakufaaaa[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
huwezi kumwelewa coz huku ni kwa wenye IQ kubwa nenda jukwaa la chit chatWewe hueleweki ujue
Culture ni utaratbu au utamaduni huyo jamaa anadai utaratbu mpya wa kampuniNaomba code ya Mr new culture
ahaa kumbe!! AsanteCulture ni utaratbu au utamaduni huyo jamaa anadai utaratbu mpya wa kampuni
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Code zinakuchanganya? Mimi nasoma sana simulizi kwenye vitabu lazima hizi mambo nizijue.Wewe hueleweki ujue
Yeye cha uDr alikipata wapi nani kamtunuku huo uDaktariVyetu feki una hasira bora ulitumbuliwa nawe utakufaaaa😏😏😏😏😏
Wewe yatima tulia. Ameshadedi.. born town on the beat...Ahukumiwe kwa uovu wake, apongezwe kwa mazuri yake.
[emoji23][emoji23][emoji23] watanzania wengi wanapenda kudaganywa aisee. Wanapenda sympathize saanaa aisee. Wanachosha. Na hawakubali kwamba wameshafiwa. Kila mtu atembee na ya moyoni mwake.Hakuna balance yoyote kwa mwenda...ke maovu yalimlemea pesa ya kampuni alijigawia bila vikao, watu walifukuzwa bila malipo eti vyeti feki wakati yy alihojiwa akamuua ben8
Kila siku kutumbua hakujua Kuna familia wanaumia
Bei yy ndiye alidanganya eti umeme 27,000, hata kwa kwa k game na M7 sio hivyo naona muhamie huko mnaoumia
bora wajanja walimuwahisha na wengine tutafuata lkn angalau amani ipo Sasa hata humu JF
Leo ijumaa ujue? Beba chaja yako na vaa vizuri mkuu. Tukutane viwanja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1635]Yeye cha uDr alikipata wapi nani kamtunuku huo uDaktari
kavunja Ndoa kibao za watu kapeleka kwake ,...
Kufa tutakufa lkn bora katangulia
acha riwaya iendelee msitulazimishe kulia wakati tuna furaha
Iko siku he willWewe yatima tulia. Ameshadedi.. born town on the beat...
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
You made my day !!Kwenye maisha kuna wakati unalazimika mtoto mmoja kumpoteza. Ndio branch manager alikuwa kijana wa late CEO ila hapo kati alianza kunusa harufu za usalit +kifel mission.
Kumbuka old ceo ndo alimleta kwenye kampuni branch manager akiwa ndogo.
Hapa ilibidi acheze karata achukuwe mwenye faida. Akalazimika kumchukuwa yule muinjirist, mwenye stail yake mjini kwenye 6x6 "the death of cockroach " yaan stail elekezi kwenye biblia, aliekana mkono sio wake[emoji23]
Alimchukuwa kwa sababu 5 tu.
1,Ana ushawishi wa watu
2, he is too talkative
3: elimu anayo so anajua kubalance wasomi na wasokuwa na elimu.
4: anaweza kuwaaminisha watu kuwa 2×
2=5 na wote wajakubali .
5: aliogopa mr born in town kumchukuwa huyu kijana muinjiristi.
basi sawa.Hakuna balance yoyote kwa mwenda...ke maovu yalimlemea pesa ya kampuni alijigawia bila vikao, watu walifukuzwa bila malipo eti vyeti feki wakati yy alihojiwa akamuua ben8
Kila siku kutumbua hakujua Kuna familia wanaumia
Bei yy ndiye alidanganya eti umeme 27,000, hata kwa kwa k game na M7 sio hivyo naona muhamie huko mnaoumia
bora wajanja walimuwahisha na wengine tutafuata lkn angalau amani ipo Sasa hata humu JF
You are very Correct...Kabisa mkuu. Ebu fikiria riwaya kama hii watu tulikuwa tunalala zetu usingizj hadi ndoto juu, tunapanga mipango yetu, tunatembea barabarani, vichochoroni usiku na mchana wala hata hugeuki nyuma kujua nani anakufuatilia, kumbe upande mwingine watu hawalali.
Ndio maana tunashauriwa kuna mambo kama hayakuhusu bora kuachana nayo. Kuna siri unaweza kuzijua ukaishia kuwa chizi.
Mtazamo wako ni Sahihi..Kama hii ni fictions kwa mpangilio wa matukio, muda, watu na uhalisia basi yoga si mtu wa kawaida.
All in all hii hadithi itakuja kutoa funzo kuwa ktk maisha usifanye jambo bila kupima matokeo yake kwako na kizazi chako. Mwl Nyerere hayupo lakini watoto hadi wajukuu zake wanaishi kwa amani kwa kujitafutia riziki kama Watanzania wengine wakibakia na heshima kuu ndani na nje.
Tuwaombee sana hekima viongozi wetu, hizi manipulations always hazina mwisho mzuri! Kuna levels ukifika shukuru Mungu maana ni assurance ya wewe na kizazi chako kuishi VIP life. No needs za too much wealth hadi una cross the line.
kuna kimbunga cha juba kishapepea na page muhimu sana pole umezichelewa.Niliposoma mistari kadhaa ya mwanzo kiswaum swaum huku namrefer new boss wa sasa nikawa sipati picha. Nikaona nianze upya, Mtunzi uko vizuri sana