Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

[emoji23][emoji23][emoji23]wewe una kamoyo kadogo hakawezi imili mikiki ya hapa duniani sasa umeumizwa na hii simulizi, je sisi tulojuwa CEO is no more afu huwezi fungua domo kumwambia hata rafiki wiki ya kwanza ilipita ya pili ndo wanatangaza si ungekufa na hasira kabisa?.

Na ukitaka kulipa kisasi funga mdomo wako, kula nao sahani moja miaka ipite watu wa jiachie fanya yako. Ukitaka kulipiza kisasi wakati una maumivu basi utaumizwa.

Nb nasisitiza hii simulizi tu[emoji23][emoji23]
Umenifariji sana mkuu. Asante sana
 
Ahukumiwe kwa uovu wake, apongezwe kwa mazuri yake.
Hakuna balance yoyote kwa mwenda...ke maovu yalimlemea pesa ya kampuni alijigawia bila vikao, watu walifukuzwa bila malipo eti vyeti feki wakati yy alihojiwa akamuua ben8
Kila siku kutumbua hakujua Kuna familia wanaumia
Bei yy ndiye alidanganya eti umeme 27,000, hata kwa kwa k game na M7 sio hivyo naona muhamie huko mnaoumia
bora wajanja walimuwahisha na wengine tutafuata lkn angalau amani ipo Sasa hata humu JF
 
Hakuna balance yoyote kwa mwenda...ke maovu yalimlemea pesa ya kampuni alijigawia bila vikao, watu walifukuzwa bila malipo eti vyeti feki wakati yy alihojiwa akamuua ben8
Kila siku kutumbua hakujua Kuna familia wanaumia
Bei yy ndiye alidanganya eti umeme 27,000, hata kwa kwa k game na M7 sio hivyo naona muhamie huko mnaoumia
bora wajanja walimuwahisha na wengine tutafuata lkn angalau amani ipo Sasa hata humu JF
Vyetu feki una hasira bora ulitumbuliwa nawe utakufaaaa😏😏😏😏😏
 
Hakuna balance yoyote kwa mwenda...ke maovu yalimlemea pesa ya kampuni alijigawia bila vikao, watu walifukuzwa bila malipo eti vyeti feki wakati yy alihojiwa akamuua ben8
Kila siku kutumbua hakujua Kuna familia wanaumia
Bei yy ndiye alidanganya eti umeme 27,000, hata kwa kwa k game na M7 sio hivyo naona muhamie huko mnaoumia
bora wajanja walimuwahisha na wengine tutafuata lkn angalau amani ipo Sasa hata humu JF
[emoji23][emoji23][emoji23] watanzania wengi wanapenda kudaganywa aisee. Wanapenda sympathize saanaa aisee. Wanachosha. Na hawakubali kwamba wameshafiwa. Kila mtu atembee na ya moyoni mwake.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Yeye cha uDr alikipata wapi nani kamtunuku huo uDaktari
kavunja Ndoa kibao za watu kapeleka kwake ,...
Kufa tutakufa lkn bora katangulia
acha riwaya iendelee msitulazimishe kulia wakati tuna furaha
Leo ijumaa ujue? Beba chaja yako na vaa vizuri mkuu. Tukutane viwanja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1635]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kwenye maisha kuna wakati unalazimika mtoto mmoja kumpoteza. Ndio branch manager alikuwa kijana wa late CEO ila hapo kati alianza kunusa harufu za usalit +kifel mission.

Kumbuka old ceo ndo alimleta kwenye kampuni branch manager akiwa ndogo.

Hapa ilibidi acheze karata achukuwe mwenye faida. Akalazimika kumchukuwa yule muinjirist, mwenye stail yake mjini kwenye 6x6 "the death of cockroach " yaan stail elekezi kwenye biblia, aliekana mkono sio wake[emoji23]
Alimchukuwa kwa sababu 5 tu.

1,Ana ushawishi wa watu
2, he is too talkative
3: elimu anayo so anajua kubalance wasomi na wasokuwa na elimu.
4: anaweza kuwaaminisha watu kuwa 2×
2=5 na wote wajakubali .
5: aliogopa mr born in town kumchukuwa huyu kijana muinjiristi.
You made my day !!
 
Hakuna balance yoyote kwa mwenda...ke maovu yalimlemea pesa ya kampuni alijigawia bila vikao, watu walifukuzwa bila malipo eti vyeti feki wakati yy alihojiwa akamuua ben8
Kila siku kutumbua hakujua Kuna familia wanaumia
Bei yy ndiye alidanganya eti umeme 27,000, hata kwa kwa k game na M7 sio hivyo naona muhamie huko mnaoumia
bora wajanja walimuwahisha na wengine tutafuata lkn angalau amani ipo Sasa hata humu JF
basi sawa.
 
Kabisa mkuu. Ebu fikiria riwaya kama hii watu tulikuwa tunalala zetu usingizj hadi ndoto juu, tunapanga mipango yetu, tunatembea barabarani, vichochoroni usiku na mchana wala hata hugeuki nyuma kujua nani anakufuatilia, kumbe upande mwingine watu hawalali.

Ndio maana tunashauriwa kuna mambo kama hayakuhusu bora kuachana nayo. Kuna siri unaweza kuzijua ukaishia kuwa chizi.
You are very Correct...
"Ukijihusisha na lisilokuhusu ni lazima litakuhusu"
 
Kama hii ni fictions kwa mpangilio wa matukio, muda, watu na uhalisia basi yoga si mtu wa kawaida.

All in all hii hadithi itakuja kutoa funzo kuwa ktk maisha usifanye jambo bila kupima matokeo yake kwako na kizazi chako. Mwl Nyerere hayupo lakini watoto hadi wajukuu zake wanaishi kwa amani kwa kujitafutia riziki kama Watanzania wengine wakibakia na heshima kuu ndani na nje.

Tuwaombee sana hekima viongozi wetu, hizi manipulations always hazina mwisho mzuri! Kuna levels ukifika shukuru Mungu maana ni assurance ya wewe na kizazi chako kuishi VIP life. No needs za too much wealth hadi una cross the line.
Mtazamo wako ni Sahihi..
 
Back
Top Bottom