Dark days 17/03/20...

Hakuna cha code, ni upuuzi na ujinga tu kuongea kwa mafumbo vitu vinavyojulikana wazi. Wajinga kama wewe ndiye muonao kama vile kuna "bonge la "conspiracy", ni ujuha tu.

Waste of time.
Basi apo unajiona wa maana mwenyewe kwamba umeongea bonge la pointi yani unavyojiona. Mbshhh ushubwada mtupu
 
hahaaa brother the stone keeps dreaming on its uniqueness feature unless placed on fire to experience own weakness
 
Guess the company!??
Alaaa!! kuumbe fasihi niliyo wafundisha zamani zile ndo manzileta humu!.......Sanaa andishi sasa nimekuelewa siku ile nilikuwa na njaaa!!! jamani njaa mbaya sana!........Kampuni yakufikirika hii !! ardhi yake ni ya kufikirika pia waru wake ni wa kufikirika!!

ila huyo CEO alikuwa mjinga kupitiliza huwezi kupewa ulaji uwe na dharau kiivo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…