Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa watatu plus na yule jamaa mtata mlaji wa kinywajiold ceo mke wake wa kwanza (marehemu) alizaa nae watoto wawili.kijana naibu na dr wa meno. wakaachana nadhani miaka ya 90 hv.ndo akaolewa mwalimu.nae ana watoto 5 na old ceo.
U cant be serious all the time.Great minds discuss ideas, average minds discuss events, poor minds discuss people.
Kwani yoga amepatwa na nini.. isije ikawa waishamdaka huko..hatumuoni tena akitupa hadithi utamu kunoga.
I'd mpya !! imekaa kiaina siamini kama Id inafanana na location ya mtumiaji!Wanahaha kutafuta id ya mtoa uzi
Bibi kifimbo cheza yule[emoji1787][emoji1787][emoji1787]si unamkumbuka.mzee kifimbo cheza na baragashia yake na msuli aliofunga mkwiji na bakora
Unasema yule jamaa wa vipepeo veusi eti!Wale wasimuliaji wa humu jifunzeni kwa yoga yani anashusha episodes nyingi kwa siku moja tena bila kubembelezwa.
Hiyo inner circle iliopukutika ni akina nani tofauti na KMK?ufukunyuku ni kwamba late ceo alimtumia wakora bontown,,wamchomoe akashtukia!tena siku chache baada ya kifo cha LOFA.
hata LOFA alichomolewa kimtindo na late ceo ambapo sababu alianza kuwashwa.
mission accomplished lofa akapigwa polorium kwenye kikao kile pale dom..
bontown alijua game ilivyokuwa hivyo akakaa red handed whenever worst case scenario!
kumbuka late ceo assasination team yake ni mambulula watupu wote ni mashahidi.
wakamtokea bontown wafanye MURDER LOOKS LIKE ACCIDENT.
kitu walifanywa sio cha nchi hii.
late ceo alikuwa na plan nyingi ili apate ufalme wa milele..lakin alizungukwa na SUCKERS watupu wasiokua wazuri kwenye medani.
kitu alichofanyiwa alikuwa anakiona na anakijua.ANTICIPATE DEATH yaani anaoneshwa inner cicle yake inapukutika huku akijua the next target ni yeye na escape route is narrow.