Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Basi hujafuatilia hii riwaya, km hakuna amani baada ya Mwendazake JF haikua hivi, Facebook, Twitter au chungulia Ukraine, DRC, Afghanistan, Msumbiji.
Kuhusu Bei NI kweli kichefuchefu, lkn km soda Bei juu kunywa maji, km petrol tufuta baiskeli, lkn sio kuchinjana na viroba kukutwa Ruvu juu
Mbona hata maji ghali[emoji23][emoji23] hill yanapatilana yanapotea. Sequa ndo kabisa hayapo sokoni wiki imepita... kilimanjaro haisogei siku hizi

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Fortunatus Buyobe amekupa kibali cha kuandika hii story hapa ?
Kuna watu tunalipia hizi story ujue.
Huyo mpuuzi uliyemtaja ukimkosoa Tu kwamba amecopy huku jf anakulima block Muda huo huo,Acheni kumwendekeza,yeye ndy anacopy hapa jf alafu anawauzia huko telegram

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mkute ni buyobe huyo2 maana si rahisi kuna wakati alilalamika kuibiwa story halaf aje kucopy huku[emoji23][emoji23] me nimeshajiongeza mkuu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mpeni pole!! Asubiri jumatano nikisha post akopy tena akawalipishe watu wake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tena this time kwa script iliyopo atajivunia buku buku nyingi sanaaa! Yaani sanàaaaa![emoji23][emoji23][emoji23]

Ila inauma nyie[emoji849][emoji23][emoji23][emoji23]!! Naivi ndo ID za kujificha hizi basi anjiona mjanjaaaa!!

Sema aliwi mtu kichwa kizembe[emoji2957][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Mpeni pole!! Asubiri jumatano nikisha post akopy tena akawalipishe watu wake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tena this time kwa script iliyopo atajivunia buku buku nyingi sanaaa! Yaani sanàaaaa![emoji23][emoji23][emoji23]

Ila inauma nyie[emoji849][emoji23][emoji23][emoji23]!! Naivi ndo ID za kujificha hizi basi anjiona mjanjaaaa!!

Sema aliwi mtu kichwa kizembe[emoji2957][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
My yoga nmekumiss

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Guys, kwanza am very sorry kwa late replies!! kwa mliofuatilia this story I am really disappointed na baadhi chapter or pages kutoweka!!

Zilibaki page mbili kwenye the lost pages in the late CEO diary na chapter moja ya mwisho kumaliza the whole story!!

Kuna mambo kadha wa kadha yali iingiliana sana hapa kati!! Kuanzia last thursday mpaka jana, mambo yalikuwa mambo kidogo!!

[emoji847][emoji847] But thanks to God bado tunapumua!! Tusicatch feelings sana, this is just a story[emoji41][emoji847]


Ila na confirm mwenyewe kuwa ntabandika all pages zoote zilizobaki hapa na kufunga this story siku ya jumatano!! Hope tulianza pamoja tunaliza pamoja

From behind the scene, Your lovely friend Yoga!!

Bado nipo nipo sanaaa yaani!!

[emoji12][emoji3526][emoji23][emoji23][emoji23]



Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Yani huu mwandiko ni wa Kigogo2014 mtupu yani
 
Basi hujafuatilia hii riwaya, km hakuna amani baada ya Mwendazake JF haikua hivi, Facebook, Twitter au chungulia Ukraine, DRC, Afghanistan, Msumbiji.
Kuhusu Bei NI kweli kichefuchefu, lkn km soda Bei juu kunywa maji, km petrol tufuta baiskeli, lkn sio kuchinjana na viroba kukutwa Ruvu juu
Mafuta bei juu tuache kutumia mafuta.
Nondo bei juu tutumie fito.
Bati mkasi tuezeke na carpets.
Cement haishikiki tutumie blueband kujengea.

Hizi akili ni kwa ajiri ya njaa tu,ili upewe uchawa.
 
Mpeni pole!! Asubiri jumatano nikisha post akopy tena akawalipishe watu wake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tena this time kwa script iliyopo atajivunia buku buku nyingi sanaaa! Yaani sanàaaaa![emoji23][emoji23][emoji23]

Ila inauma nyie[emoji849][emoji23][emoji23][emoji23]!! Naivi ndo ID za kujificha hizi basi anjiona mjanjaaaa!!

Sema aliwi mtu kichwa kizembe[emoji2957][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Unataka kumtafutia mwenzako balaa
 
Kwamba hao marais wanauwawa kwa kupewa chai na mgeni aliyeshuka na private jet na hajulikani. Na sumu iliyotiwa na kutumwa kwenye documents? Wanakufa ila hawafi kitoto hivi. Nilisoma sikumalizia kipande cha nne nikaishia hapo sijui wapi alisema ni fiction
Ukiamini au laah ni huna umuhimu wowote humu
So huna madhara
 
Back
Top Bottom