Dark days 17/03/20...

Acha kunifuatafuata kila post namaanisha wameshafilisika na mwaka kesho hawatakuwepo katika Uzi biashara, km ni mmojawapo imeingia humu kunifuata badaka ya Mada ya Mwendazake karibu
Acha kunifuatafuata kila post namaanisha wameshafilisika na mwaka kesho hawatakuwepo katika Uzi biashara, km ni mmojawapo imeingia humu kunifuata badaka ya Mada ya
Acha kunifuatafuata kila post namaanisha wameshafilisika na mwaka kesho hawatakuwepo katika Uzi biashara, km ni mmojawapo imeingia humu kunifuata badaka ya Mada ya Mwendazake karibu
kwamba unafatwa fatwa.
 
nikukumbushe,kabla ya huo uCEO wa kampuni aliishakuwa mbunge na waziri miaka zaidi ya 20.

ndio maana nikakwambia usikariri njaa kwa kila mtu.
 
Mawazo mfu utayazikaje ikiwa wajinga bado wapo na wanazidi kuzaliwa.
Mungu anapomuonya mtu huwa hampi mpigo mfululizo.
Asubuhi atamchapa kiboko lakini jioni atamrudia kwa Rehema na Fadhili nyingi.
Kuna nyakati Mungu alionya Company kwa kiboko cha CHUMA na sasa ameirudia kwa Rehema na Fadhili.
 
Wengi walikuwa magereza mbalimbali. Ilikuwa siku ya furaha kubwa sana
 
So sad mkuuu.

Katika kitu hua sikielewi ni pamoja na hiki cha kusema DPP hana nia ya kuendelea na kesi. Sasa unajiuliza ilikuaje uka kamatwa? ilikuaje wamekaa na ww gerezani kwa zaidi ya miezi 3. Vp nani anafidia hasara ya ww ulioipata?

Haya ndo mambo yanayo ondoa usawa kwenye jamii, kama hayajashughurikiwa kna siku Taifa litameguka
 
Nimateso mtupu. Sheria ipo hivyo, imemupa mamlaka hayo. Kama ulivyosikia na kwa mbowe just simple tu jaji kasema anakesi ya kujibu but DPP anakwambia serikali haina Nia ya kuendelea na kesi. Then the case closed and washitakiwa wanaachiwa
 
Nimateso mtupu. Sheria ipo hivyo, imemupa mamlaka hayo. Kama ulivyosikia na kwa mbowe just simple tu jaji kasema anakesi ya kujibu but DPP anakwambia serikali haina Nia ya kuendelea na kesi. Then the case closed and washitakiwa wanaachiwa
M
 
Wewe tunakujua humu ni MATAGA pro max.

Usitake kujifnya unaota ili uuchafue Upinzani na kuharalisha LISSU kupigwa risasi.

Waaminishe wajinga ila tunajua wewe ni MATAGA pro max.
 
Mzee mbna povu. .. si umeambiwa hii ni riwaya tu..
 
Jamaa alijifanya JOROWE !! daadeki
 
Mshenzi yule hakika alikuwa mwakilishi halisi na Sahihi wa Lucifer !!
 
Alijifanya mbishi eti hakuna corona.
Akaogopa kwenda majuu eti atauawa
Akazidisha jeuri, kiburi na ubaguzi
*
*
*
Kilichofuata ni wimbo wa Taifa TBC then futi 6 chini aridhini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…