Acha kunifuatafuata kila post namaanisha wameshafilisika na mwaka kesho hawatakuwepo katika Uzi biashara, km ni mmojawapo imeingia humu kunifuata badaka ya Mada ya Mwendazake karibu
Acha kunifuatafuata kila post namaanisha wameshafilisika na mwaka kesho hawatakuwepo katika Uzi biashara, km ni mmojawapo imeingia humu kunifuata badaka ya Mada ya
kwamba unafatwa fatwa.Acha kunifuatafuata kila post namaanisha wameshafilisika na mwaka kesho hawatakuwepo katika Uzi biashara, km ni mmojawapo imeingia humu kunifuata badaka ya Mada ya Mwendazake karibu
nikukumbushe,kabla ya huo uCEO wa kampuni aliishakuwa mbunge na waziri miaka zaidi ya 20.kuosha vyombo, choo na bustani kwa Mwendazake basi unaona wenzako wote humu group NI alosto, tunazungumzia upigaji wa kijinga usio na uzoefu, wewe kuwa maskini hata hujashika cent tukupe uCEO wa Kampuni hatutarudia tena, hata michango yako kwenye hii Mada inaonesha inakuuma km ni riwaya ya kweli, kwanini usiende chit chat
Mungu anapomuonya mtu huwa hampi mpigo mfululizo.Mawazo mfu utayazikaje ikiwa wajinga bado wapo na wanazidi kuzaliwa.
Wale hawawezi kufilisika mkuu,na wala usitegemee wataishi maisha ya dhiki kama yako unayoishi.Acha kunifuatafuata kila post namaanisha wameshafilisika na mwaka kesho hawatakuwepo katika Uzi biashara, km ni mmojawapo imeingia humu kunifuata badaka ya Mada ya Mwendazake karibu
Huyo jamaa alitumbuliwa kwa vyeti feki,ana kisirani na late CEO hatari.Asilimia 20 ya wafanyakazi walifukuzwa? Uongo uwe unaendana na uhalisia
Wafanyakazi ni 500000+, asilimia 20 ni zaidi ya 100000.
Chuki isizidi uhalisia
Wengi walikuwa magereza mbalimbali. Ilikuwa siku ya furaha kubwa sanaNilikuwa Gerezani kwa zaidi ya miezi 3 nikiwa nakabiriwa na kesi ya Uhujumu uchumi katika Gereza na Geita. Tulikuwa na utaratibu wa kuamuka saa 11asubuhi tusali Sala ya asubuhi Kisha kusikiliza BBC Swahili news. Taarifa zilikuwa zimeshafika kwa kupitia maasikari wa zamu wa usiku. Mnyampala aliwasha radio na kupiga makofi akisema "Enyi sikilizeni Rais wenu kafa". Mnyampala huyu alikuwa anamiaka 3 Gerezani Kama mahabusu kwa kesi ya Uhujumu uchumi uliofanyika katika Harimashauri ya Nyangw'ale mkoani Geita. It's really 17/3/2021 is a Dark Day". Gereza lililipuka na sauti mchanganyiko za shangwe na huzuni. Miezi 6 baadae niliachiwa kutoka Gerezani baada ya DPP kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi yangu kwa maana haikuwana tija kwa taifa.
So sad mkuuu.Nilikuwa Gerezani kwa zaidi ya miezi 3 nikiwa nakabiriwa na kesi ya Uhujumu uchumi katika Gereza na Geita. Tulikuwa na utaratibu wa kuamuka saa 11asubuhi tusali Sala ya asubuhi Kisha kusikiliza BBC Swahili news. Taarifa zilikuwa zimeshafika kwa kupitia maasikari wa zamu wa usiku. Mnyampala aliwasha radio na kupiga makofi akisema "Enyi sikilizeni Rais wenu kafa". Mnyampala huyu alikuwa anamiaka 3 Gerezani Kama mahabusu kwa kesi ya Uhujumu uchumi uliofanyika katika Harimashauri ya Nyangw'ale mkoani Geita. It's really 17/3/2021 is a Dark Day". Gereza lililipuka na sauti mchanganyiko za shangwe na huzuni. Miezi 6 baadae niliachiwa kutoka Gerezani baada ya DPP kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi yangu kwa maana haikuwana tija kwa taifa.
Nimateso mtupu. Sheria ipo hivyo, imemupa mamlaka hayo. Kama ulivyosikia na kwa mbowe just simple tu jaji kasema anakesi ya kujibu but DPP anakwambia serikali haina Nia ya kuendelea na kesi. Then the case closed and washitakiwa wanaachiwaSo sad mkuuu.
Katika kitu hua sikielewi ni pamoja na hiki cha kusema DPP hana nia ya kuendelea na kesi. Sasa unajiuliza ilikuaje uka kamatwa? ilikuaje wamekaa na ww gerezani kwa zaidi ya miezi 3. Vp nani anafidia hasara ya ww ulioipata?
Haya ndo mambo yanayo ondoa usawa kwenye jamii, kama hayajashughurikiwa kna siku Taifa litameguka
MNimateso mtupu. Sheria ipo hivyo, imemupa mamlaka hayo. Kama ulivyosikia na kwa mbowe just simple tu jaji kasema anakesi ya kujibu but DPP anakwambia serikali haina Nia ya kuendelea na kesi. Then the case closed and washitakiwa wanaachiwa
Wewe tunakujua humu ni MATAGA pro max.Nyie hii dunia muione hivi. Nikiwaza kuna wakati nawaza mengi maana mimi nasoma sana riwaya.
Nasisitiza hii ni riwaya. Nilivyosoma ile riwaya na mimi nikajikuta navaa uhusika yaani kama vile naota ndoto.yaani nilikuwa naota kupitia kwenye ile riwaya
Kwamba wakati late CEO wakati anausaka u CEO mr new culture aliona customers wale vijana wake ambao wako chini yake wale wapiga kelele wanaojita mabrigedia bila elimu,aliona hawamfai.
Akaamua kutengeneza team ya mutu kama 90 hivi, iliitwa team " wherever you're we are there".
Kazi yake ilikuwa ni moja. Kushika stil waya na kusugua masufuri yatakate haswa!! hii yote ni kimsafisha mr bright. kumbuka kwenye hiyo ndoto na mimi nilikuwa kwenye hiyo team.
So hiyo team ya wenye elimu ya kuweza kueleza uwezo na uzuri wa mr bright ilibidi itembee mguu kwa mgu, nyumba kwa nyumba.
Maskini kwakuwa na mimi nina ka elimu basi nikifika kwenye kaya hapo nimeambatana na vijana kama watano hivi wale wapiga kelele wasiokuwa na elimu, basi mimi ndo naananza kujieleza.
Kwenye kujieleza lazima uwe umesoma vizuri ile ripot ya mr bright kuachia ngazi. Kwa kifupi sisi wenye ka elimu ile ripoti tuliimeza so ukifika kwenye kaya ambako kuna wasomi walikkuwa wakituhoji, ilikuwaje mr new culture akampokea mr bright?
Basi nashusha nondooooo, na vipeperushi kibao tunahamia nyumba nyingine. Jamani kumbukeni hapa nilikuwa naota.
Basi wakuu tulizunguka hii branch yenye matawi zaidi ya 2o mguu kwa mguu nyumba kwa nyuma hii yote ni kusugua na stil waya kutu za mr bright.
Kinachoniuma ilikuwaje na mimi nikajikuta kwenye hiyo team ta kusugua kutu? Wakuu nikiwaza sasa hivi najikuta nacheka, hivi huyu mr new culture anatuonaje sisi mpaka atutumie kama dodoki? Nasikitika sana kwa nini sikujua huu upuuzi
Nakumbuka kwenye ile ndoto tulikuwa na wimbo ketu,......... mr bright, mr bright , ana ka mtima keupe, ana ka ngozi ka mtume, na kichwani kwake kuna mchele mweupe, tiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiriiiiiiiiiiiiiiiiiiiii lazima alale kwenye hekaru nyeupe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamami jamani nyie hawa wapuuzi walijuwa kutuchezea.
Lakini kitu nilichojifunza kwenye ile ripot ya kuachia ngazi kabisa mr bright hakuwa na hatia so wakati tunamsugua na stil waya huko kwenye matawi tulikuwa sahihi.
Kilichoniuma ni mimi kujikuta chini ya mpuuzi mmoja mr culture .lakini hata hivyo kwenda kule kulinisaidia kujua upuuzi wanaoufanya akina, kijana msema sana na mr new culture.
Kingine nilichoona kwenye ile ndoto, kijana msema sana, aliyekuwa kapoteza daftari lake hivi karibuni, hakupenda mr new culture ampokee mr bright kwa wakati ule. Alikubali shingo upande. Mambo yaliisha aliye pata u CEO akapata maisha yakaendelea.
Lakini baada ya mwaka moja kijana msema sana akanasa kwa mr born in town. Je wewe ungekuwa late CEO mzalendo unaona wateja wa kampuni wakichezewa na mr born in town, mr new culture, na kijana msema sana je ungekaa kimya?
Kwakweli hata mimi ningemfundisha adabu.kwa kufatia rules za uongozi zilivyo ngumu. Baada ya kuota haya yote nikastuka usingizini.
DPP ashitakiwe,kwa kua anaa abuse mamlaka yake kwa jasho la wengine!!Nimateso mtupu. Sheria ipo hivyo, imemupa mamlaka hayo. Kama ulivyosikia na kwa mbowe just simple tu jaji kasema anakesi ya kujibu but DPP anakwambia serikali haina Nia ya kuendelea na kesi. Then the case closed and washitakiwa wanaachiwa
Mzee mbna povu. .. si umeambiwa hii ni riwaya tu..Binafsi nilikuwa naamini hapa JF hakuna mtu anayeweza kumzidi uongo Yericko Nyerere na Ontario kumbe nilikuwa najidanganya sasa kwenue orodha namuingiza na huyu yoga
Ila wanachokuzidi Yericko Nyerere na Ontario wenzanko vipaji vyao vya uongo wanapiga ela na wametengeneza fun base yao.
Na wewe kwa umahiri wa kutunga hadithi kama hizi si vibaya ukikutana na Yericko Nyerere akuelekeze alivyofanikiwa kuandika kitabu chake ujasusi wa kidola.
Ila kwenye hii tamthilia yako ya kusadikika umechemka kusema mwanasheria mkuu aliitwa kumuapisha Rais, ukweli ni kwamba Jaji mkuu ndio anamwapisha Rais.
In principle una kipaji cha utunzi lakini umekosea sana kuwahusisha watu tunaowajuwa na kifo cha mtu mbishi ambaye amesanabisha vifo vya wengi kwa Corona na Mungu akamwadhibu kwa Corona hiyohiyo.
Huyo CEO wenu amekufa na Corona na msitafute watu uchawi, pili Mzee wa Lupaso alishafikisha umri wa kibiblia, amekufa na miaka 80 plus, tena kwa lile limwili lake la hovyo hata kufika umri huo ni bahati.
Ngonjera kama hizi tumezizoea hata Mkapa alizushiwa ndiye aliyemtangulizs Baba wa Taifa.
Kwahiyo hizi porojo za watu wa legacy hazishangazi ni porojo kama porojo nyingine tu, ila ukweli utabaki kuwa Watanzania wengi wamefurahishwa na kifo cha huyo CEO aliyetawala nchi kwa mkono wa chuma. To hell.
Tumia AKILI Riwaya ziko Jukwaa la Burudani,Mzee mbna povu. .. si umeambiwa hii ni riwaya tu..
Ndio nimetumia akili hapo kuwajibu watu wanaotoa mapovuTumia AKILI Riwaya ziko Jukwaa la Burudani,
Hapa ni Jamii intelligence.
Jamaa alijifanya JOROWE !! daadekiHayo mengine sijui yana maanisha nini lakini nilichoki quote umepatia kwa 100%.
Asikwambie mtu lile senge linatakiwa likiwa huko huko kuzimu life tena. Kama kuna mtu aliweka mkono kulilisha udongo, basi peponi ana kiti first class.
Hasara aliyoisababishia nchi ni kubwa kuliko ile iliyotokana na vita vya Nduli Akagera.
Limeua watu, limejeruhi, limefilisi watu, limepora na kuzalisha wake za watu, liligawa bustani vipande vipande.
Lilichukiwa na ulimwengu mzima isipokuwa kaukoo fulani ka kishirikina ambako alikatumia ipasavyo akiamini katamsaidia politically kwa sababu ya ukubwa na ushamba wake. Hako kaukoo ni watu poa sana lakini wanatakiwa waoge shombo walilopakwa na yule mkuda.
Mshenzi yule hakika alikuwa mwakilishi halisi na Sahihi wa Lucifer !!Nilikuwa Gerezani kwa zaidi ya miezi 3 nikiwa nakabiriwa na kesi ya Uhujumu uchumi katika Gereza na Geita. Tulikuwa na utaratibu wa kuamuka saa 11asubuhi tusali Sala ya asubuhi Kisha kusikiliza BBC Swahili news. Taarifa zilikuwa zimeshafika kwa kupitia maasikari wa zamu wa usiku. Mnyampala aliwasha radio na kupiga makofi akisema "Enyi sikilizeni Rais wenu kafa". Mnyampala huyu alikuwa anamiaka 3 Gerezani Kama mahabusu kwa kesi ya Uhujumu uchumi uliofanyika katika Harimashauri ya Nyangw'ale mkoani Geita. It's really 17/3/2021 is a Dark Day". Gereza lililipuka na sauti mchanganyiko za shangwe na huzuni. Miezi 6 baadae niliachiwa kutoka Gerezani baada ya DPP kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi yangu kwa maana haikuwana tija kwa taifa.
Alijifanya mbishi eti hakuna corona.Huyo kama ni kufa atakufaa mzee saanaaa tena akiwa anatabasamu halafu peponi straight coz aliifanya kazi ya Mungu kwa uaminifu.
Kuliko kupoteza kondoo 100 sababu ya mmoja bora ufukie huyo mmoja 99 wapone.
Hakuna mwaka uliowahi kuwa mchungu kama 2018. Sababu ya yule kichaa, mengi yaliharibika I lost two good friends walioona there's no future ahead wakajitanguliza wenyewe.
Wanoko walipoanza kumwimbia atake asitake nikahisi kiama kinakuja, nikaenda hadi kwa kina Papaaa kuona kama wanaweza kunisajili. Kabla ya kukamilisha taratibu jitu chali!
Basi kacopy na wewe uleteSijajua anapoitoa lakini inaonesha yoga anaitoa mahali.
Mtu mwenye story hawezi kuwa na kiswahili kingi.
Fuatilia mtiririko wa story utagundua kitu.