Binafsi nilikuwa naamini hapa JF hakuna mtu anayeweza kumzidi uongo Yericko Nyerere na Ontario kumbe nilikuwa najidanganya sasa kwenue orodha namuingiza na huyu
yoga
Ila wanachokuzidi Yericko Nyerere na Ontario wenzanko vipaji vyao vya uongo wanapiga ela na wametengeneza fun base yao.
Na wewe kwa umahiri wa kutunga hadithi kama hizi si vibaya ukikutana na Yericko Nyerere akuelekeze alivyofanikiwa kuandika kitabu chake ujasusi wa kidola.
Ila kwenye hii tamthilia yako ya kusadikika umechemka kusema mwanasheria mkuu aliitwa kumuapisha Rais, ukweli ni kwamba Jaji mkuu ndio anamwapisha Rais.
In principle una kipaji cha utunzi lakini umekosea sana kuwahusisha watu tunaowajuwa na kifo cha mtu mbishi ambaye amesanabisha vifo vya wengi kwa Corona na Mungu akamwadhibu kwa Corona hiyohiyo.
Huyo CEO wenu amekufa na Corona na msitafute watu uchawi, pili Mzee wa Lupaso alishafikisha umri wa kibiblia, amekufa na miaka 80 plus, tena kwa lile limwili lake la hovyo hata kufika umri huo ni bahati.
Ngonjera kama hizi tumezizoea hata Mkapa alizushiwa ndiye aliyemtangulizs Baba wa Taifa.
Kwahiyo hizi porojo za watu wa legacy hazishangazi ni porojo kama porojo nyingine tu, ila ukweli utabaki kuwa Watanzania wengi wamefurahishwa na kifo cha huyo CEO aliyetawala nchi kwa mkono wa chuma. To hell.