Kanye2016
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,904
- 3,006
Mwisho wake Maalim Dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wake Maalim Dah
Jiwe alikuwa ni zimwi kwa nchi yetu. Bora Mungu aliingilia kati.Asilimia 20 ya wafanyakazi walifukuzwa? Uongo uwe unaendana na uhalisia
Wafanyakazi ni 500000+, asilimia 20 ni zaidi ya 100000.
Chuki isizidi uhalisia
Hivi late CEO ndiyo yule baada ya kufatiliwa kuhusu PhD yake akamuua mfatiliaji? Pia nasikia uraia wake una utata.Huyo jamaa alitumbuliwa kwa vyeti feki,ana kisirani na late CEO hatari.
Duh pole sanaNilikuwa Gerezani kwa zaidi ya miezi 3 nikiwa nakabiriwa na kesi ya Uhujumu uchumi katika Gereza na Geita. Tulikuwa na utaratibu wa kuamuka saa 11asubuhi tusali Sala ya asubuhi Kisha kusikiliza BBC Swahili news. Taarifa zilikuwa zimeshafika kwa kupitia maasikari wa zamu wa usiku. Mnyampala aliwasha radio na kupiga makofi akisema "Enyi sikilizeni Rais wenu kafa". Mnyampala huyu alikuwa anamiaka 3 Gerezani Kama mahabusu kwa kesi ya Uhujumu uchumi uliofanyika katika Harimashauri ya Nyangw'ale mkoani Geita. It's really 17/3/2021 is a Dark Day". Gereza lililipuka na sauti mchanganyiko za shangwe na huzuni. Miezi 6 baadae niliachiwa kutoka Gerezani baada ya DPP kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi yangu kwa maana haikuwana tija kwa taifa.
Pole babuNilikuwa Gerezani kwa zaidi ya miezi 3 nikiwa nakabiriwa na kesi ya Uhujumu uchumi katika Gereza na Geita. Tulikuwa na utaratibu wa kuamuka saa 11asubuhi tusali Sala ya asubuhi Kisha kusikiliza BBC Swahili news. Taarifa zilikuwa zimeshafika kwa kupitia maasikari wa zamu wa usiku. Mnyampala aliwasha radio na kupiga makofi akisema "Enyi sikilizeni Rais wenu kafa". Mnyampala huyu alikuwa anamiaka 3 Gerezani Kama mahabusu kwa kesi ya Uhujumu uchumi uliofanyika katika Harimashauri ya Nyangw'ale mkoani Geita. It's really 17/3/2021 is a Dark Day". Gereza lililipuka na sauti mchanganyiko za shangwe na huzuni. Miezi 6 baadae niliachiwa kutoka Gerezani baada ya DPP kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi yangu kwa maana haikuwana tija kwa taifa.
Yaani unatak kusema late CEO s mtanzani asili au mburundi yuleHivi late CEO ndiyo yule baada ya kufatiliwa kuhusu PhD yake akamuua mfatiliaji? Pia nasikia uraia wake una utata.
Unampa pole mwizi kutiwa mahabusu!!Pole babu
Na wanabweka hata wakimsikia inzi akiwa kasimamam kwenye vimikia vyao, hawa ni vimbwa kokoMbwa waoga wanaorudisha mkia nyuma wameanza kubweka.
Alijua tayari kala mipesa ndio maana akabadili gia angani na ni kama pia drasla aliusoma mchezo wote na haikuwa ajabu dr akapewa ubalozi nje ya nchi na hata majuzi tu kamsema born town na mtoto wake kuhusu ngada na umafia waoNa ilikuaje yule Dr asla akajiuzulu baada ya mr Culture kumpokea mr Bright?
Halafu wee uwe na adabu eti Lodi Lofa wa Kimakonde toka nchumbiji,Mzee maalimu unsinitishe kutoka kisiwa cha karafuu, ila mkuu wa ghala hakuwa timu mwendazake sema yeye alikuwa na siri nyingi za uchotaji za bwana born town na genge la wahuni wenzakeLabda itakuwa ni wale akina Ubalozi Mafiga, late Kijakazi, late mkuu wa ghala la Pesa, Lodi Lof wa kimakonde, Mzee Usinitishe wa huko Kisiwani, na etc
Na wewe zinakusubiri mkuu kama ulitoka kwa Ke lazima utaonja mauti siku isiyo na sikuAlijifanya mbishi eti hakuna corona.
Akaogopa kwenda majuu eti atauawa
Akazidisha jeuri, kiburi na ubaguzi
*
*
*
Kilichofuata ni wimbo wa Taifa TBC then futi 6 chini aridhini
Siyo guilty until proven by a CourtUnampa pole mwizi kutiwa mahabusu!!
Hakuna marefu yasiyo na ncha.Jamaa alijifanya JOROWE !! daadeki
Vip wewe utaishi milele??Alijifanya mbishi eti hakuna corona.
Akaogopa kwenda majuu eti atauawa
Akazidisha jeuri, kiburi na ubaguzi
*
*
*
Kilichofuata ni wimbo wa Taifa TBC then futi 6 chini aridhini
Yote hayo ni sababu ya ushirikina Mkuu.Alijifanya mbishi eti hakuna corona.
Akaogopa kwenda majuu eti atauawa
Akazidisha jeuri, kiburi na ubaguzi
*
*
*
Kilichofuata ni wimbo wa Taifa TBC then futi 6 chini aridhini
.Halafu wee uwe na adabu eti Lodi Lofa wa Kimakonde toka nchumbiji,Mzee maalimu unsinitishe kutoka kisiwa cha karafuu, ila mkuu wa ghala hakuwa timu mwendazake sema yeye alikuwa na siri nyingi za uchotaji za bwana born town na genge la wahuni wenzake
huyo hawezi kukujibu ndio walewale waosha vyombo nyumbani kwa Dr mwendazake, kahojiwa tu PhD kamuua kijana wa watu, bado kamvunja Mr culture mguu kabla ya Uchaguzi, Kuna watu Wana roho mbaya bora kuwatanguliza ingawa tutafuata lkn kidogo tunapumuaHivi late CEO ndiyo yule baada ya kufatiliwa kuhusu PhD yake akamuua mfatiliaji? Pia nasikia uraia wake una utata.
Kijana msema sana