Dark days 17/03/20...

Nimeunganisha dot dot kwenye huu uzi wako nimetambua lengo la huu uzi na wapi unatokea na ndo maana ata apa aujafutwa kwasabau walioko nyuma yako ndo wanaoulinda na kuudhamini ili lengo lao liweze kutimia sema nini me naona aina maana kwasababu yalimeishatokea mlikuwa wapikuyasema kabla ayajatokea
 
Mwenda zake akiwa hai si alifunga mitandao kibao, mpaka uwe na VPN
hata humu JF mlikua mnalazimisha post ziondolewe na majina tunayo
tumekaa wiki nzima kumbe jamaa yako keshapitiwa na Lucifer ila kabetri kanafanya kazi mkagoma kumtangaza
Hapa tunarekebisha Historia na Kampuni ili tubaki na mashujaa wa kweli tutakaowaachia vizazi vyetu sio ya huyu alitaka atawale milele na jamaa zake, eti akabadili na mtaala kabisa
 
Ila CCM walicho tufanyia Watanzania Mungu anawaona !!
Jamaa alikuwa "Chengaaaaa" ila majigambo na vitisho, Kama yote !
 
huyo hawezi kukujibu ndio walewale waosha vyombo nyumbani kwa Dr mwendazake, kahojiwa tu PhD kamuua kijana wa watu, bado kamvunja Mr culture mguu kabla ya Uchaguzi, Kuna watu Wana roho mbaya bora kuwatanguliza ingawa tutafuata lkn kidogo tunapumua
Acha ujinga,mr culture alivunjwa mguu na nani?
Huyo alikua kwenye maulevi yake huko ya konyagi akaanguka mwenyewe.
 
Huko kite nilikuwa sijaunga dots za mr diplomatic! Ha hapa ndipo nilipoweza!!!
 
Una uwezo mdogo wa kufikiri ila una uwezo mkubwa wa kubishana.... nakukumbuka vizuri enzi za uchaguzi 2015 ni much know who know nothing..
Huyo bibi wa kiisalamu hana tofouti na mchawi, kumbuka hata kwenye mbio za mamba kenge wamo huyo bibi ni kama kenge tu anajifanya anajua mambo kumbe mweupe kama karatasi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…