ARGAN MARA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,020
- 2,716
Mwenda zake akiwa hai si alifunga mitandao kibao, mpaka uwe na VPNNimeunganisha dot dot kwenye huu uzi wako nimetambua lengo la huu uzi na wapi unatokea na ndo maana ata apa aujafutwa kwasabau walioko nyuma yako ndo wanaoulinda na kuudhamini ili lengo lao liweze kutimia sema nini me naona aina maana kwasababu yalimeishatokea mlikuwa wapikuyasema kabla ayajatokea
Ila CCM walicho tufanyia Watanzania Mungu anawaona !!Mwenda zake akiwa hai si alifunga mitandao kibao, mpaka uwe na VPN
hata humu JF mlikua mnalazimisha post ziondolewe na majina tunayo
tumekaa wiki nzima kumbe jamaa yako keshapitiwa na Lucifer ila kabetri kanafanya kazi mkagoma kumtangaza
Hapa tunarekebisha Historia na Kampuni ili tubaki na mashujaa wa kweli tutakaowaachia vizazi vyetu sio ya huyu alitaka atawale milele na jamaa zake, eti akabadili na mtaala kabisa
Acha ujinga,mr culture alivunjwa mguu na nani?huyo hawezi kukujibu ndio walewale waosha vyombo nyumbani kwa Dr mwendazake, kahojiwa tu PhD kamuua kijana wa watu, bado kamvunja Mr culture mguu kabla ya Uchaguzi, Kuna watu Wana roho mbaya bora kuwatanguliza ingawa tutafuata lkn kidogo tunapumua
Alikuwa anakunywa na mama yakoAcha ujinga,mr culture alivunjwa mguu na nani?
Huyo alikua kwenye maulevi yake huko ya konyagi akaanguka mwenyewe.
Na bibi yako nae alikuwepoAlikuwa anakunywa na mama yako
Huko kite nilikuwa sijaunga dots za mr diplomatic! Ha hapa ndipo nilipoweza!!!Wakati huo mr born town alikuwa ameweka mihadi na mr diplomatic kutokana na kazi kubwa aliyoifanya ya kumuondoa mr bright kwenye ramani na kumchafua vile basi yeye ndio ataukwaa u CEO, maana kwanza ni familly member lakini pia he was also tooo loyal to him hivyo ile vision ya born town ya kuwa the true godfather itaendelea kuexist
unajua hapo wamesahau kuandika MAUAJI na KUPOTEA WATANZANIA wengi AWAMU YA TANOAcha ujinga,mr culture alivunjwa mguu na nani?
Huyo alikua kwenye maulevi yake huko ya konyagi akaanguka mwenyewe.
Huwa unajifanya unajua lakini ukweli ni kwamba unaungua na jua.. Weka uzi wako uonyeshe unachojua sio kuvamia vitu vya watu..Hata ikiwa sikio kabisa. Nafahamu hapo nimekupiga chenga ya mwili, nafahamu namna ya kuwatesa kiaina.
CEO akijichanganya Tu basi uchaguzi wa 2025 watu wanakula kichwa saivi atakuwa mpole SanaIvi CEO kaenda kuzindua kweli iyo movie yake ama ni kivuli anakutumia kumdanya born town asijue mishe zake nimejaribu kuwaza tu jaman
Mkuu acha hii tabia ya kukosoa hovyo.. Ni dalili za wivu na uchawi.. Kuna wakati unatakiwa kuangalia vitu na kuviacha kama vilivyo.. Jifunze kujizuia..Sijajua anapoitoa lakini inaonesha yoga anaitoa mahali.
Mtu mwenye story hawezi kuwa na kiswahili kingi.
Fuatilia mtiririko wa story utagundua kitu.
Kama hutaki tuvamie si muandikiane private messages.Huwa unajifanya unajua lakini ukweli ni kwamba unaungua na jua.. Weka uzi wako uonyeshe unachojua sio kuvamia vitu vya watu..
Una uwezo mdogo wa kufikiri ila una uwezo mkubwa wa kubishana.... nakukumbuka vizuri enzi za uchaguzi 2015 ni much know who know nothing..Kama hutaki tuvamie si muandikiane private messages.
Punguani wahed.
Huyo bibi wa kiisalamu hana tofouti na mchawi, kumbuka hata kwenye mbio za mamba kenge wamo huyo bibi ni kama kenge tu anajifanya anajua mambo kumbe mweupe kama karatasi tuUna uwezo mdogo wa kufikiri ila una uwezo mkubwa wa kubishana.... nakukumbuka vizuri enzi za uchaguzi 2015 ni much know who know nothing..