Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Yap, Kuna mambo bora usijue, ukijua Yan maisha ya kawaida yanapoteza maana kabisa, Kuna some kind of ignorance inatupa furaha na matumaini ya kuishi wenyew wanaiita naivety, ni bora kuwa nayo hiyo kuliko reality na knowledge ambayo Ina destruct life appetite na enthusiasm kwa ujumla.
Kabisa mkuu. Ebu fikiria riwaya kama hii watu tulikuwa tunalala zetu usingizj hadi ndoto juu, tunapanga mipango yetu, tunatembea barabarani, vichochoroni usiku na mchana wala hata hugeuki nyuma kujua nani anakufuatilia, kumbe upande mwingine watu hawalali.

Ndio maana tunashauriwa kuna mambo kama hayakuhusu bora kuachana nayo. Kuna siri unaweza kuzijua ukaishia kuwa chizi.
 
Kwenye maisha kuna wakati unalazimika mtoto mmoja kumpoteza. Ndio branch manager alikuwa kijana wa late CEO ila hapo kati alianza kunusa harufu za usalit +kifel mission.

Kumbuka old ceo ndo alimleta kwenye kampuni branch manager akiwa ndogo.

Hapa ilibidi acheze karata achukuwe mwenye faida. Akalazimika kumchukuwa yule muinjirist, mwenye stail yake mjini kwenye 6x6 "the death of cockroach " yaan stail elekezi kwenye biblia, aliekana mkono sio wake[emoji23]
Alimchukuwa kwa sababu 5 tu.

1,Ana ushawishi wa watu
2, he is too talkative
3: elimu anayo so anajua kubalance wasomi na wasokuwa na elimu.
4: anaweza kuwaaminisha watu kuwa 2×
2=5 na wote wajakubali .
5: aliogopa mr born in town kumchukuwa huyu kijana muinjiristi.
Kweli JF ni kisima cha maarifa. Ninazidi kupata elimu hapa.
 
Yap, Kuna mambo bora usijue, ukijua Yan maisha ya kawaida yanapoteza maana kabisa, Kuna some kind of ignorance inatupa furaha na matumaini ya kuishi wenyew wanaiita naivety, ni bora kuwa nayo hiyo kuliko reality na knowledge ambayo Ina destruct life appetite na enthusiasm kwa ujumla.
Umechora hekima ya juu sana sana hapa.

Nje ya ufahamu wetu wa kawaida Sio kuzuri hata kidogo. Ni taabu na mateso tu. Haswa ukikosa Utulivu, hekima na busara... Maarifa yanayotesa na kuharibu vichwa vya wengi.
 
Kama hii ni fictions kwa mpangilio wa matukio, muda, watu na uhalisia basi yoga si mtu wa kawaida.

All in all hii hadithi itakuja kutoa funzo kuwa ktk maisha usifanye jambo bila kupima matokeo yake kwako na kizazi chako. Mwl Nyerere hayupo lakini watoto hadi wajukuu zake wanaishi kwa amani kwa kujitafutia riziki kama Watanzania wengine wakibakia na heshima kuu ndani na nje.

Tuwaombee sana hekima viongozi wetu, hizi manipulations always hazina mwisho mzuri! Kuna levels ukifika shukuru Mungu maana ni assurance ya wewe na kizazi chako kuishi VIP life. No needs za too much wealth hadi una cross the line.
 
Kama hii ni fictions kwa mpangilio wa matukio, muda, watu na uhalisia basi yoga si mtu wa kawaida.

All in all hii hadithi itakuja kutoa funzo kuwa ktk maisha usifanye jambo bila kupima matokeo yake kwako na kizazi chako. Mwl Nyerere hayupo lakini watoto hadi wajukuu zake wanaishi kwa amani kwa kujitafutia riziki kama Watanzania wengine wakibakia na heshima kuu ndani na nje.

Tuwaombee sana hekima viongozi wetu, hizi manipulations always hazina mwisho mzuri! Kuna levels ukifika shukuru Mungu maana ni assurance ya wewe na kizazi chako kuishi VIP life. No needs za too much wealth hadi una cross the line.
Huyo Nyerere bado aiiuawa. Siru ni nyingi. Ishi tu lakini hakuna wema duniani.

Lile genge limemkamata new CEO, linapandisha bei za vitu litakavyo. Ungekuwa wewe ndo CEO ungewavumilia tu? Wanakupangia huyo awe RC au DC kwa kuwa ni mtoto wa mchepuko wake. Huyu awe waziri kwa kuwa kwenye wizara hiyo tunaweza kupiga dili.

Believe or not, hii dunia hata utende wema, wa kukudharau na kukusaliti watakuwepo tu.
 
na hata ishu ya uvoko aliwatesaaa sijui walimhonga kumshona mdomo.

kuna yule late mama bishop mwenye mauwa waridi kichwani mengi ilikuwaje akawekwa kwenye kampuni akiwa km spesho chairs. halafu hata hakuinjoi akatwaliwa.
Yule mama mleta wachumba zetu kwa kutumia kimbunga upepo alitakiwa awe kwenye kampuni maana kampuni na nyumba za yesu ni mapacha, hawa watu wenye nyumba za masiha wana wafuasi wengi ukitaka kuongoza vizuri kampuni lazima mle wote sahani moja.

Naenda library kusoma simulizi zingine wenda nikajua kwani aliwahi kwenda kwa baba mbinguni kuimba mapambio.

Tuendelee kusoma riwaya mbali mbali majibu yako humu humu duniani.mbunguni kuna kazi moja tu kuimba na kusifu
 
Kama hii ni fictions kwa mpangilio wa matukio, muda, watu na uhalisia basi yoga si mtu wa kawaida.

All in all hii hadithi itakuja kutoa funzo kuwa ktk maisha usifanye jambo bila kupima matokeo yake kwako na kizazi chako. Mwl Nyerere hayupo lakini watoto hadi wajukuu zake wanaishi kwa amani kwa kujitafutia riziki kama Watanzania wengine wakibakia na heshima kuu ndani na nje.

Tuwaombee sana hekima viongozi wetu, hizi manipulations always hazina mwisho mzuri! Kuna levels ukifika shukuru Mungu maana ni assurance ya wewe na kizazi chako kuishi VIP life. No needs za too much wealth hadi una cross the line.
Ndo maana hata watu wengine hutumia sana hekima na tahadhari pale utoapo maoni kwani kuna wengine wana kazi maalum ya kuketi hata hapa JF na kung'amua nani anaandika.

Kisha hufikia hitimisho kuwa huyu ni threat au sie kulingana na mahali wanapong'amua yuko located.

Huo ndo msingi wa fasihi andishi ya mleta mada.
 
Leo nimesikia aliye wai kuwa rais wa burkinafaso bwan bless compaure jana alihukumiwa maisha gerezani kwa tuhuma za kumuua aliye kuwa rais wa taifa lile ambaye pia aliwahi kufika Tanzania bwan Thomas Sankara
Bless na washirika wake kumi na mbili wote wamehukumiwa kunyongwa

Ctaki hii kitu ije itokee tz tutagawanyika vipande vipande

Ingawa huwa wanasema jinai huwa haifi

R.i.p CEO !Sasa HV new CEO anajaribu kuzika legacy yako kwa namna yoyote ile inavyowezekana pmj na mamb yako late CEO ya kuogofya ila pia Kuna mazuri mengi umeyafanya kosa lako kubwa pia baya kwangu ni kutaka kugawa kampuni hii kwa minajili ya ukanda na ukabila na pia kusuka mipango ya kutawala milele haya Ni mabaya Sanaa late ulitaka kufanya
Swala la kutawala milele walikuw wanamsingizia ilikuwa ni njama yule jamaa mwenye tabasamu zake.vijana wake wa habari ndo walisambaza hiyo ishu ili raia wamchukie late CEO
 
Deep state au inner circle ndio system au mfumo wenye watu ambao wako behind the scene, wanaendesha nchi kutokea chimbo kabisa na Wana control na manipulation ya mwenendo wote wa mustakabali wa taifa, ni vigumu sana kuwajua hata Viongoz wakubwa wengine hawanaga ufahamu na Hawa inner circle au deep state
Lakini kwa matukio yanoendelea kwa sasa hii DS saa hii imekuwa "too corrupted" yaingilika kirahisi.

Wengi wanapungua wabakia vijana ambao hawana mwongozo mzuri.

Wamrudisha vipi kwenye bodi ya kampuni mtu ambae huko nyuma mmemchunguza na kubaini ubadhilifu ulozidi kipimo?
 
Back
Top Bottom