aimi lyatuu
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 742
- 796
Fanya mambo mkuuAnayetaka hii story anicheck nilicopy yote tangu mwanzo, nilijua mataahira wanyofoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya mambo mkuuAnayetaka hii story anicheck nilicopy yote tangu mwanzo, nilijua mataahira wanyofoa.
Kikubwa amani ya moyo mkuu wangu hayo mengine ya mfumuko wa bei tutapambana nayo,tulifikia hatua mbaya sana kama taifa ahsante Mungu wa mbinguni kutuokoa na joka jeusi linalomeza ukiwa mzimamzimaBasi hujafuatilia hii riwaya, km hakuna amani baada ya Mwendazake JF haikua hivi, Facebook, Twitter au chungulia Ukraine, DRC, Afghanistan, Msumbiji.
Kuhusu Bei NI kweli kichefuchefu, lkn km soda Bei juu kunywa maji, km petrol tufuta baiskeli, lkn sio kuchinjana na viroba kukutwa Ruvu juu
Halafu yanarekebishika, leo Waziri wa shekeli Mwigulu kasema watawasiliana na TRA watapunguza tozo bidhaa zirudi Bei yake.Kikubwa amani ya moyo mkuu wangu hayo mengine ya mfumuko wa bei tutapambana nayo,tulifikia hatua mbaya sana kama taifa ahsante Mungu wa mbinguni kutuokoa na joka jeusi linalomeza ukiwa mzimamzima
Mban account yake iko suspended mm nikimsearch huyu kijan mwiz wa storyMkute ni buyobe huyo2 maana si rahisi kuna wakati alilalamika kuibiwa story halaf aje kucopy huku[emoji23][emoji23] me nimeshajiongeza mkuu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kazitolea kwenye Barakoa yake!!Hizo codes kazitolea wap
Hii ni riwaya jamani.Hii story ni nzuri inasomeka kama riwaya ila haina ukweli ina loop holes nyingi za unrealities.
1. Huwezi kupanga plot ya kuondoka wapangaji wa jumba jeupe wawili tena kwa muda mfupi usishtukiwe na huo mpango usiwe foiled ni risk mnoooo ambayo consequences zake ni unbearable. Hasa kwa mfumo wetu wa ulinzi wa viongozi.
2. Huu mpango ukisoma riwaya kwa makini umehusisha watu wengi sio rais ufanikiwe bila kujulikana.
3. Ukisoma between the line utaona mpangaji wa jumba jeupe aliyetoweshwa alikuwa poisoned baada ya kufungua paseli hii si kweli na haiwezekani (mzigo au barua yeyote kwenda kwa sponser hawezi kufungua yy kama mtu wa kwanza inamaana wanausalama wetu wamesahau ya edward mondlane?
Kiufupi hii story imetungwa na watu wanaotaka kupandikiza chuki kwenye siasa za ithanga letu kilichoandikwa hapa hakiwezekani kabisa. Trust me.
Hapana kinawezekana.kumbuka chain ya tabasamu ni kubwa mno narudia ni kuuuuubwa ndani yake wapo wauza madawa.Hii story ni nzuri inasomeka kama riwaya ila haina ukweli ina loop holes nyingi za unrealities.
1. Huwezi kupanga plot ya kuondoka wapangaji wa jumba jeupe wawili tena kwa muda mfupi usishtukiwe na huo mpango usiwe foiled ni risk mnoooo ambayo consequences zake ni unbearable. Hasa kwa mfumo wetu wa ulinzi wa viongozi.
2. Huu mpango ukisoma riwaya kwa makini umehusisha watu wengi sio rais ufanikiwe bila kujulikana.
3. Ukisoma between the line utaona mpangaji wa jumba jeupe aliyetoweshwa alikuwa poisoned baada ya kufungua paseli hii si kweli na haiwezekani (mzigo au barua yeyote kwenda kwa sponser hawezi kufungua yy kama mtu wa kwanza inamaana wanausalama wetu wamesahau ya edward mondlane?
Kiufupi hii story imetungwa na watu wanaotaka kupandikiza chuki kwenye siasa za ithanga letu kilichoandikwa hapa hakiwezekani kabisa. Trust me.
Umeona mbali sana tena ver far ...hata kama hakuna ukwli wwteHii story ni nzuri inasomeka kama riwaya ila haina ukweli ina loop holes nyingi za unrealities.
1. Huwezi kupanga plot ya kuondoka wapangaji wa jumba jeupe wawili tena kwa muda mfupi usishtukiwe na huo mpango usiwe foiled ni risk mnoooo ambayo consequences zake ni unbearable. Hasa kwa mfumo wetu wa ulinzi wa viongozi.
2. Huu mpango ukisoma riwaya kwa makini umehusisha watu wengi sio rais ufanikiwe bila kujulikana.
3. Ukisoma between the line utaona mpangaji wa jumba jeupe aliyetoweshwa alikuwa poisoned baada ya kufungua paseli hii si kweli na haiwezekani (mzigo au barua yeyote kwenda kwa sponser hawezi kufungua yy kama mtu wa kwanza inamaana wanausalama wetu wamesahau ya edward mondlane?
Kiufupi hii story imetungwa na watu wanaotaka kupandikiza chuki kwenye siasa za ithanga letu kilichoandikwa hapa hakiwezekani kabisa. Trust me.
Sawa brazaBuyobe si ndiye anakopi? Angalia kaanza kuposti lini kisha linganisha na tarehe ya mwanzo wa thread hii.
ni kweli kabisa revenge is a dish best served cold😂😂😂wewe una kamoyo kadogo hakawezi imili mikiki ya hapa duniani sasa umeumizwa na hii simulizi, je sisi tulojuwa CEO is no more afu huwezi fungua domo kumwambia hata rafiki wiki ya kwanza ilipita ya pili ndo wanatangaza si ungekufa na hasira kabisa?.
Na ukitaka kulipa kisasi funga mdomo wako, kula nao sahani moja miaka ipite watu wa jiachie fanya yako. Ukitaka kulipiza kisasi wakati una maumivu basi utaumizwa.
Nb nasisitiza hii simulizi tu😂😂
Ha haaaa nilikwambia njoo timu ya ushindi ukagoma.unaona Sasa yaliyowakuta!Zele kashinda bana.
Putin kakimbilia China
Hv joka jeusi alikukula alikulia wp bana tuambieHalafu yanarekebishika, leo Waziri wa shekeli Mwigulu kasema watawasiliana na TRA watapunguza tozo bidhaa zirudi Bei yake.
je Mwendazake joka jeusi roho za wapendwa wetu atazirudisha? Najua huko aliowatanguliza wamesamehewa yeye mikono damu tupu ndio mafuta ya kumuunguza
Kwani ni post yangu hiyo #1683 yeye ndio kamleta joka jeusi.Hv joka jeusi alikukula alikulia wp bana tuambie
Basi njoo unyonye dudu la yuyu bibieKwani ni post yangu hiyo #1683 yeye ndio kamleta joka jeusi.
Mm ukilengesha popote nakukula
Aulizwe Zuhura. Ingawa sijui mmeanzia wapi.Kukera ndiyo nini kwa Kingereza?