Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Binafsi nilikuwa naamini hapa JF hakuna mtu anayeweza kumzidi uongo Yericko Nyerere na Ontario kumbe nilikuwa najidanganya sasa kwenue orodha namuingiza na huyu yoga

Ila wanachokuzidi Yericko Nyerere na Ontario wenzanko vipaji vyao vya uongo wanapiga ela na wametengeneza fun base yao.

Na wewe kwa umahiri wa kutunga hadithi kama hizi si vibaya ukikutana na Yericko Nyerere akuelekeze alivyofanikiwa kuandika kitabu chake ujasusi wa kidola.

Ila kwenye hii tamthilia yako ya kusadikika umechemka kusema mwanasheria mkuu aliitwa kumuapisha Rais, ukweli ni kwamba Jaji mkuu ndio anamwapisha Rais.

In principle una kipaji cha utunzi lakini umekosea sana kuwahusisha watu tunaowajuwa na kifo cha mtu mbishi ambaye amesanabisha vifo vya wengi kwa Corona na Mungu akamwadhibu kwa Corona hiyohiyo.

Huyo CEO wenu amekufa na Corona na msitafute watu uchawi, pili Mzee wa Lupaso alishafikisha umri wa kibiblia, amekufa na miaka 80 plus, tena kwa lile limwili lake la hovyo hata kufika umri huo ni bahati.

Ngonjera kama hizi tumezizoea hata Mkapa alizushiwa ndiye aliyemtangulizs Baba wa Taifa.

Kwahiyo hizi porojo za watu wa legacy hazishangazi ni porojo kama porojo nyingine tu, ila ukweli utabaki kuwa Watanzania wengi wamefurahishwa na kifo cha huyo CEO aliyetawala nchi kwa mkono wa chuma. To hell.
Hii ni ngojera so calm down dawa ikuingie
 
unajua kwa mwaka mmoja wangapi wamepotea!!!
nyie acheni ushambenga.
nimeshakuzoea, una wananga Watanzania kama wewe ni mrundi au kabila moja na Mwendazake, kuna post moja kwenye Mada jamaa yako afukuliwe na aje ajibu mabaya yake ukajikosha.
sasa hapa unataka nikuorodheshee kwa awamu zote na ya 6
au ya 5 ya mwendazake miaka 6 ?

bandari Mwanza imekwapua mabilioni
Kajenga kwao airport na kampuni yake
mbuga ya wanyama..........
 
nimeshakuzoea, una wananga Watanzania kama wewe ni mrundi au kabila moja na Mwendazake, kuna post moja kwenye Mada jamaa yako afukuliwe na aje ajibu mabaya yake ukajikosha.
sasa hapa unataka nikuorodheshee kwa awamu zote na ya 6
au ya 5 ya mwendazake miaka 6 ?

bandari Mwanza imekwapua mabilioni
Kajenga kwao airport na kampuni yake
mbuga ya wanyama..........

airport sio korido ya chumbani kwake,ni ya chato ungesema kakopa kisha kanunua mabumunda kama nyinyi wazee wa mafi mafi ungekuwa umeandika jambo.
huyo hata afufuke hawezi kuja kujibu hoja za vilaza wanaoamini aliiba tilion 2.4 kama wewe.
 
airport sio korido ya chumbani kwake,ni ya chato ungesema kakopa kisha kanunua mabumunda kama nyinyi wazee wa mafi mafi ungekuwa umeandika jambo.
huyo hata afufuke hawezi kuja kujibu hoja za vilaza wanaoamini aliiba tilion 2.4 kama wewe.
Sikiliza Basi hiyo clip wizi wa jamaa yako, unaambiwa haijatokea kwa Marais wote kujijengea hivyo sio matamshi / maandishi yangu naona umenishupalia km mm nitaenda Chato kiwanja kina lisha mifugo, bado mwaka patageuka km pale kwa Mobutu kuku wa zabanga Globetore
Niache kwenda Ngorongoro, Zenj eti nikatalii Kaburi haaa ha
 
Sikiliza Basi hiyo clip wizi wa jamaa yako, unaambiwa haijatokea kwa Marais wote kujijengea hivyo sio matamshi / maandishi yangu naona umenishupalia km mm nitaenda Chato kiwanja kina lisha mifugo, bado mwaka patageuka km pale kwa Mobutu kuku wa zabanga Globetore
Niache kwenda Ngorongoro, Zenj eti nikatalii Kaburi haaa ha
nenda msoga ukajifunze tena maana ya kujijengea.mtu dsm ana nyumba tatu kubwa bado na kwao akajenga mansion,uko unajichocha ujinga hapa.

tofauti ya yule na wengine,hakuwa mbinafsi,kila mkimnyea mnanuka nyinyi mavi.
anayewatuma mwambieni uhalisia wa ugumu wa kazi alaiyowapa.
 
Sikiliza Basi hiyo clip wizi wa jamaa yako, unaambiwa haijatokea kwa Marais wote kujijengea hivyo sio matamshi / maandishi yangu naona umenishupalia km mm nitaenda Chato kiwanja kina lisha mifugo, bado mwaka patageuka km pale kwa Mobutu kuku wa zabanga Globetore
Niache kwenda Ngorongoro, Zenj eti nikatalii Kaburi haaa ha
Cheti feki?
 
Sikiliza Basi hiyo clip wizi wa jamaa yako, unaambiwa haijatokea kwa Marais wote kujijengea hivyo sio matamshi / maandishi yangu naona umenishupalia km mm nitaenda Chato kiwanja kina lisha mifugo, bado mwaka patageuka km pale kwa Mobutu kuku wa zabanga Globetore
Niache kwenda Ngorongoro, Zenj eti nikatalii Kaburi haaa ha
Huyo zitto alikuwa wapi kipindi jamaa yupo hai..? Mbona hasemi hospitali, masoko, barabara, bwawa la nyerere, flyover na vituo vya mabasi alivyojenga.... Hawa ni wachumia tumbo na madalali wa kimataifa wenye uchu wa madaraka.. Bado ana hasira za kupigwa na kitu kizito kipindi cha uchaguzi, the old ceo anawajua kuwatumia hawa ni chawa tu.. Aongee mtu mwingine sio huyu aliyepitwa na wakati unless kama humjui vizuri..
 
airport sio korido ya chumbani kwake,ni ya chato ungesema kakopa kisha kanunua mabumunda kama nyinyi wazee wa mafi mafi ungekuwa umeandika jambo.
huyo hata afufuke hawezi kuja kujibu hoja za vilaza wanaoamini aliiba tilion 2.4 kama wewe.
Huyu zitto mwenye sura yenye ngozi kama ya mapumbu wa kumsema shujaa?.

Bwege kweli kweli hili jamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nenda msoga ukajifunze tena maana ya kujijengea.mtu dsm ana nyumba tatu kubwa bado na kwao akajenga mansion,uko unajichocha ujinga hapa.
tofauti ya yule na wengine,hakuwa mbinafsi,kila mkimnyea mnanuka nyinyi mavi.
anayewatuma mwambieni uhalisia wa ugumu wa kazi alaiyowapa.
Kwanini alilazimisha Kiwanja cha Ndege kwa Kampuni yake
Kafunga /kafuta Bandari ya Bagamoyo ile iwekwe kwenye Mji wake
kachomoa pesa ili ajenge Reli Isaka Mwanza
Kahamisha Twiga si angehamisha na Mlima Kilimanjaro kabisa
Gesi ya kusini na kuwafukuza Acacia na wamerudi mlango wa nyuma huwezi, Rasilimali angegawa sawa wala tusingelalamika lakini kuzibeba kama Mobutu au Abacha ndipo hapo mnapopishana na wenzenu, Kwenye chama mlijazana, Uwaziri mpaka maofisini je mngemaliza miaka 10 si mngesema Lugha yenu ni ya Taifa?
 
nimeshakuzoea, una wananga Watanzania kama wewe ni mrundi au kabila moja na Mwendazake, kuna post moja kwenye Mada jamaa yako afukuliwe na aje ajibu mabaya yake ukajikosha.
sasa hapa unataka nikuorodheshee kwa awamu zote na ya 6
au ya 5 ya mwendazake miaka 6 ?

bandari Mwanza imekwapua mabilioni
Kajenga kwao airport na kampuni yake
mbuga ya wanyama..........

Huo uwanja wa ndege unaousema kwani aliutumia yeye na familia yake tu au na Watanzania wengine nao wanaruhusiwa kuutumia?
 
Huyu zitto mwenye sura yenye ngozi kama ya mapumbu wa kumsema shujaa?.

Bwege kweli kweli hili jamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma hii comment kijana wangu akiwa anabadilishwa diaper kupelekea kuwa na mfano hai wa ngozi ya pumbu kisha kuimithilisha na sura ya bwana Kabwe🤣🤣🤣🤣
 
Huyo zitto alikuwa wapi kipindi jamaa yupo hai..? Mbona hasemi hospitali, masoko, barabara, bwawa la nyerere, flyover na vituo vya mabasi alivyojenga.... Hawa ni wachumia tumbo na madalali wa kimataifa wenye uchu wa madaraka.. Bado ana hasira za kupigwa na kitu kizito kipindi cha uchaguzi, the old ceo anawajua kuwatumia hawa ni chawa tu.. Aongee mtu mwingine sio huyu aliyepitwa na wakati unless kama humjui vizuri..
Kuna hajui kili kilikuwa kinakupata kama ukijaribu kuonyesha ubaya wa bwana yule. Ref Mh. Lissu
 
Back
Top Bottom