Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
What is evident from this story, the white house is bugged
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee nafkiri ni yule mwenye cheo cha juu cha JESHIatakayenisaidia kutoa code ya MZEE na UNKNOWN aje inbox nitampa bia 6
Duuuuh haya makubwa sasa lol.I have plan for 2025!
But first we need our returns!! We have lost a lot of money becouse of late CEO! .....
Sawa mzee basi tutaonana!......
New CEO received a note! There is this mzee (minister) in the next wing wants to see you before group general meetings! He says its urgent!
New CEO baada ya kuona jina la mzee, she said okey prepare the meeting i need to hear what he has to say!
So mzee was told, new CEO has agreed to meet him At company general meetings and he was told when and how he will meet the CEO. Alisisitiziwa tu ahakikishe anakuwepo kwenye hiyo meeting!!
Mzee said okey and waited for that day! So the day came new CEO traveled to new company head quators for the general meeting! After breakfast Mzee was told to come and meet new CEO it was a very secret meeting! Unnoticed one!
The meeting was done in a very secret place untrecable!
Karibu mzee! Naona umenitafuta sana!
Yes mwanangu nimekutafuta, and without kupoteza muda Kuna mambo very sensitive nahitaji tuyazungumze! Na hayo nayazungumza kama mimi sio cheo ulichonipa!
Okey! Nambie!
First you should know i know everything that happend last year! I know everything since i am among those who coordinated the plan!
Your in that position today becouse of us!
New CEO akabaki kama anashangaaa! mzee hakuwa na kona kona he was straight foward and very sereous!!
Now nimekuja hapa becouse kuna vitu haviko sawa in this company And ni muda sasa i and others, we want viwe sawa sawa! And it is you whom will make them sawa!!
New CEO akauliza vitugani and HOW?
Listen, tunajua ulitaka kumtoa out of the system mr born town! But this man is smart na anawatu every coner! Including me and others! You cant just get him out of the system with the same people in the system whom adore him and they under his payrole!
Na tunajua nikweli unataka kuendela kuwa CEO of this company until 2030! Tunajua sababu mimi na wenzangu ndio tumekuinvestigate wewe since the first day unakalia icho kiti,
Hata kijana uliyekuwa unamtumia mwanzoni kuimplent plan yako aliyemkamata na kumhoji na kukusanya all info ni mimi even before born town hajaja hapa kwako kuku tisha! Sisi tunajua kiwa Your suporse to be in power up to 2025!! And still that is a plan hakuna kilicho badilika
I know mr born town alikuja hapa akakupa every thing ulifanyia behind the scene! Najua alikutisha sana, And promissed you that kama utafollow his leads you will be in power till 2030, he was lying! I am the one who collected every info in your office!
Hata mazungumzo mliyo yafanya that day mie ninayo yote!! Kila unachokifanya hapa au mjini mimi ninacho! Na lazima born town akipate anakipata kile ambacho mimi nimekisikiliza kwanza kisha na mpatia!!
Unawasaidiz wako wawili hapa acha huyo anaekaa nyuma yako huyo ana note kila unachofanya nakutoa report kwa kijana wangu then inakwenda kwa born town! Tunajua unakula nini kila siku, tunajua unaongea nani kila siku! Hata hii meeting nimeischedule mwenyewe vijana wanaagaika kujua unaongea nani humu ndani saiz waandae report iende kwa mr born town!!
Hapa ninapo zungumza nina acces ya what will happen to you in 2024 sito kuambia leo ! But you have to listen! I am here to help you takedown mr born town!
CEO akawa kama anatetemeka hivi baada ya maelezo hayo mazito toka kwa mzee!
Sawa mzee umekuwa open sana! Kwanza nikushukuru kwakweli, sikuwahi fikiria how powerful you are and sikuwahi kujua how deep your envolved in this company!
ila sasa i have made my decition, i will be the CEO of this company under mr bornntown's leadership! i dont want to mess with that guy any more! If he doesnt want me to be in power as CEO i will step down!! Thats all! Staki ugomvi na huyu mtu!
Okey! Nimekuelewa! Ila unahitaji kulitafakari jibu lako tena, let me ask you!! What if the plan is worse than to take you down from being the CEO? wewe si umefanya kazi na born town? Ujui kuwa huwa kinyongo chake hakiishi? He can smile at you but once you did him dirty he will twice dirty you?
Wewe ulienda msiliba kwa outside investors, and some wamepull out their investment from him! Wako dilema waitng for your next move! Do you know how much amepata loss? Dou you know how much he hates you for that?
Wewe umeappoint baadhi ya watu kwenye office nyeti whom he didnt tell you to do! Unajua ninamna gani amegadhabika??
Trust me! Kuendelea kumsikiliza na kufikiri kuwa mko sawa na ameshakusamehe ni ujinga uliokithiri!! wake up! Your in his trap! Am here niko kwenye cycle yake! I know what he wants from you, when and how!
Na leo hii atakupa jina la mzee tembo Kuwa assistant wako upande wa board! Anataka a close eye on you! Jina utaletewa muda sio mrefu! After this meeting! Kama tutamuacha atambe hivi its wrong. You have the power to do something why unaogopa?? Once and for all let us remember you for taking him down and make the company free!
Sawa mzee nimeelewa but let me ask you this question! Unataka kunisaidia kwenye hili but what will you get in return?
mzee aka mtazama CEO kama sekunde kama 10 hiv kisha akafunguka! I dont want money or anything! I have been in this position since 19s, What i want, is him to rest in hell but i want also you to promise me that after you in 2030, not his son or mr february will be given even a sportlight to become CEO, i want them to never become leaders of this company! Am saying this since this is a war! I will make you the winner but i might not survive this! Am old enough to leave a legacy that will benefit our next generation and not some group of bandits
New CEO akauliza tena, How am i going to do that, when you have said kuwa they are every were! And most of my servant are in his payrole! How mzee? And why will you not survive, if you cant survive how will i survive !
Listen!! I have been in this system for a long time! I, my self also made him who he is today, i know him! Me and my team can coordinate this war very smart! We have a plan, a smart one! We can take him down under a condition of me not surviving the war! Just say your ready and we will initiate it!
Okey!! Mzee naomba unipate muda nitafakari! Then nitakujulisha na asante kwa ushirikiano wako! Mzee akanyanyuka akatoka zake chap and went off his house!!
New CEO akawa kabaki kwanza pale ndani kama haamini alichokisikia!! Msaidizi wake mmoja akaingia na bahasha akamwambia, boss kuna bahasha yako hapa! New CEO akafungua kuisoma akakutana na jina la mzee tembo, kama alivyo kuwa keshapewa hint!! She smailed!!
Mzee alifika kwake then akaenda moja kwamoja kwa ofice yake yaani Home office! akafungua droo ndogo ya meza ya mkono wake wa kushoto! Akatoa simu ndogo aina ya nokia ya batan! Akaifungua nyuma akatoa betri kisha akachukua line kwenye moja ya droo nyingine akaiweka kwenye simu na kuiwasha simu! Akaandika namba flan hivi kisha akapiga! Simu ikwa inaita .....
Unknown: Hellow!
Tanzanite: Tanzanite speaking!
Unknown:Yes tanzanite!
Tanzanite: The facillitator has all the info now, waiting for activation!
Unknown: Good!! Very good!! Did she understand you?
Tanzanite: Yes! She did!
Unknown: Good! Thanks for an update, still am in hospital
Tanzanite: Thanks na ugua pole!!
Mzee akakata simu! It wasa avery short call!
then akaizima simu kisha akachomoa ile line na akatoka mpaka nje ambako kulikuwa na public toilets!! Katupa zile line nasimu then akaflash! Akatoka zake nje!!
*****************************************************
New CEO alirudi kwenye general meeting nikama kukamilisha tu maelekezo but she was not there! She was thinking of what mzee told her! She was worried that labda mzee katumwa na mr born town kuja kumchunguza tena, she didnt know what to do at that point. Haswa akikumbuka maneno na sura ya born town "are you in war with me"
Baada ya meeting, taarifa zilianza kuvuja kuwa mr born town is running the show, new CEO hana analofanya bila kumhusisha born town! some company members wengi wao hawakupenda but they were woried about ugali wao na sio maslahi ya kampuni!
So kundi hilo likaitisha kikao behind the scene kujadili kwanza why new CEO anataka awepo mpaka 2030! Kundi hilo halitaki kabisa kusikia hiyo habari, Lakini pia kampuni nikama haileweki! Imekopa sana hela kutanua uwekezaji lakini uwekezaji ni hewa, bidhaa za kampuni haziuziki, nighali kwa customer na hakuna a well planned recover mode kufanya kampuni iwe strong!!
Maisha ya watumishi na wana wa kampuni yanazidi kuwa magumu, they cant afford three meals per day! Na CEO wala hana time na izo ishu, she is buzy rebranding company name bila kuzingatia hali halisi ya kampuni!!
Lakini pia walijadilli why born town a retired CEO analazimisha kuendelea kuwa kwenye system!! Who is he!! Kwanini ataki kustaafu kama wengine??
Kundi hili likakutana na kundi la team late CEO, shida ikawa wanaagenda moja, lakini wanatofautiana nani awe CEO, agenda yao ni kumg'oa born town na new CEO in 2025, sasa linapokuja suala nani awe CEO mwaka huo shida ndio inakuwa kubwa, kila kundi lina mtu wake!!
So wakakubaliana kuwa suala la who is goin to be CEO waliache kwanza, ila kumtoa new CEO 2025 na born town ndio iwe kipaombele!
They came with a plan! Moja nikuunda a new group under the name of late CEO, hii group ipambane kuchukua u CEO wakampuni in 2025 na group hii itapambana na na mr new culture group na hii group ya new CEO mr born town group ambayo ndio alikuwa late CEO
Group hii itatembelea properganda za late CEO, Maana alifanikiwa kuwakamata customers kibao kwa properganda zake haswa wale aliotokanao ukanda mmoja!
Upande mwingine wa muungano wao wabaki ndani ya born town grop nakuanzisha kampeni ya kuonyesha uovu wa group kwenye kuiendesha kampuni! Baadhi ya members wakachaguliwa kuwa front liners! Kazi yao ni kufanya profile demage ya company leaders ambao wako infavour of mr born town na sio maslahi ya kampuni!
Hawa walijiapisha hata kama wasipopewa urepresentative tena 2025 kupitia group hiyo ya born town haina shida ila kufikia huo mwaka, jambo lao lazima liwe limekamilika! Na wakinyimwa watakwenda kwenye group walio anzisha tayari three years before 2025 CEO elections!!
Born town alipata taarifa hiz, his enemy walikuwa wanaongezeka kila siku! Badala ya kupungua!! So alikua na mambo mawili moja ni ku msimamia new CEO atimize mambo yake and at the same time alipaswa a deal na hili group!!
So Sababu ya connection na resorces alizonazo it was not that difficult for him to control both groups but what he didnt know...
mzee, a close frind to him!! A person whom made him who he is to day!! A person amemsaidia kwenye kumuondoa late CEO, aperson who is running the show behind the scene had a plan for him!!
And the plan is to ensure he is gone gone! Yaani gone kabisaaaa!
So who is mzee and Why mzee is mad at born town?? Who is unknown?? Why is mzee reporting to unknown????
[emoji26]From dark days....... And now Road to 2025!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Hatareeee mnooo.Shukrani sana Wigelekelo nimeshatia timu nakula madini tarari [emoji3577][emoji3577]
Na Mr Born town akifa Nchi hii inaweza ikayumba kiasi fulani, maana Mshikaji ndiyo ka sign Mikataba mingi kuliko wenzanke,tena ya muda mirefu!!Sitaki Mr Born Town afe,sijui kwanini namuelewa Sana huyu mzee.
Ila wew dad Ni mtamu aise huwa nikitizam hyo avtar yako unanipa mzuka mbaya nakufananisha na demu wangu wa zamani Judy[emoji16] unasema??? Ungejua what is happening behind the scene before posting these story na huyo mtu wenu anaye kuja kukopy hapa nakwenda kuwauzia huko telegram usinge sema!
But any ways yesterday night i posted one epsode na leo nimepost nyingine mchana Na baadae ntapost mbili zingine!! Mwambieni achangamke haraka maana tumemaliza mizu guko iliyokuwa mingi kuna mbili zingine nitaziweka hapa na kuanzia weekend hii ntazimwaga sana aje achukue akawauzie [emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Kumbe Wewe ndio New CEO aiseh!!!Haya Sasa utuvumilie humu jamvini!!Halafu Born town si umeenda nae kule majuu Nadhani sijui kama atarudi !!ameshakuaga LAKINI!!?nafsi yangu inaniambia ndivyo alienda kustaafishwa RASMI na ameshawaaaga tayari!!KILA la Heri KWENYE majukumu YAKO!![emoji38][emoji38][emoji38] umejuaje!! Rangi ya chungwa ujue mie na tumacho mrembuo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji20][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Nasubiri muendelezo wake, hii nchi ndo inachezewa hivi? KhaaaahUko wapi? ......
Niko maeneo ya nyumbani! ......
Habari ya jioni? .......
Salama kabisa! Ujambo......
Aisee sijambo, sema kuna mda niliambiwa upo ukumbini ila ukawa umepotea!.........
Yes! Nilitoka nilipata dharula binafsi kidogo! ......
Sawa basi leo tuna meeting jioni baada ya kukamilisha hili la mzee tembo kuwa assistant chair man wa group! I think tutafanyia kwangu! ...
Sawa ntajitahid kuwahi!....
Mzee alikata simu kisha kurudi nyumbani kwake haraka kwenye makazi ya viongozi wa kampuni!
Yeye nikiongozi wa kampuni special task! Ni mzee mzoefu alianza kazi kama branch manager miaka kadhaa iliyo pitia na amehudumu na ma CEO watatu na huyu sasa wanne !!
Ni mzee msiri sana! Na amekuwa akifanya kazi kama mtu wa security muda mrefu akijificha kwenye post mbalimbali, ni mzee ambaye anaijua kampuni in and out! Maana amekuwa karibu na ma CEO wote watatu kwa ukaribu sana!!
Amekuwa mshauri wao na alimpenda sana mr born town na alimsaidia kwenye mambo mengi sana! Waliaminiana sana!! Kabla yakuja kujua intention yake kwenye kampuni ni ipi! Ukimtoa head security wa kampuni huyu ni head security behind the scene! Popote penye shida huwa wakwanza kuing'amua na kutafuta suluisho!!
So chap kwa haraka akarudi nyumbani kujiandaaa kwa ajili ya meeting ya jioni! It was all gang memembers meeting. Sms ikaingia kwenye smart phone yake!! Chake your emails!
Haraka akachukua tablet yake akaingia kwenye inbox upande wa email!! Akaifungua kusoma akakuta ni email from new CEO fowarded by kijana wake na ilikuwa ni email amabayo tayari alikuwa ameaccept kusaidiwa kumtembeza born town!
Wakati alipomaliza kuongea na CEO alimpa card iliyokuwa na adress ambayo kama atakuwa ameridhia basi atume ujumbe kupitia adress hiyo!! So alipotuma ilikwenda kwa kija wa mzee then baada ya kuifanyia michakato kadhaa ndio inakuwa fowarded kwa mzee
So we are gethered here to discuss the future of our group and this company! Tumetoka mbali sana mpaka kufikia hapa!! Leo tunakutana sababu We have a very big problem!!
The plan was In 2025 , mr february alitakiwa awe our new CEO, but secretly our new CEO wanted to remain inpower till 2030 and she was tryng to fight us behind our backs akijitengenezea njia until mzee here discover her plans and gave me the report and i dicede to face her my self!
Baada ya kum face She promised me that she wont do it again, but the demage from her plan is still on! Few of our favorite investors from USA have pull their investment! They were very important alies!! We have lost them, and loosing investors means decrease in our income!!
We all know that every month tunapokea a huge interest from contracts we signed on behalf of this company!!
So I have instructed her since she made chaos in our investment she need to go out and bring back our investors! And I promissed her if she will undo what amefanya i guarenteed her to be the CEO until 2030!
Sasa That decition nimesikia imeleta kelele miongoni mwetu!! Some of you, mnacomplain sana behind the scene, kwakuwa tupo wote leo hapa, naona niwatu wawili tu hawapo, any one who is against that decition is free to talk am listening!!
Yes!!
I think its your decition and not our decition or our plan!! Our plan was my son was to become the CEO in 2025 and then your son follows in 2035 But what i can see ni umeamua tu kuvuruga utaratibu thats not fair!! Tuna kurespect as our chair man but sometimes when we plan things you dont have the mandete to replan them!
Tumekuwa tukifollow all your plans bila kukukatalia but in this big no! Biiiiiiiig no! I want my son to be the CEO! THATS ALL!!!
Other member walikuwa kimya, wakisikiliza kilichokuwa kinaendelea! Born town akiwa amekaa kwenye moja ya coach miguu ikiwa imekunja nne alikuwa akiendelea kumsikiliza mr februarys father!
Okey!! Mzee do you have any thing to say!!? Born town alimkaribisha mzee!
Yes i have!! Kwanza we need to know team late Ceo they are also coming after us! They know what we have done but they dont have proof!! Thats first,
second is....... its sad kama tunaanza kukatika sisi wenyewe kwa wenyewe huku ndani, while our enemies are outside waiting for us that is weekness!
We need to resolve that!
I think hoja hapa isiwe 2025 hoja iwe 2030 nani awe CEO if it is mr february or mr born tow son! Or mr born town son can be the CEO and mr february can be the PM or any other way arround!! We have a war coming , a strong one we need to stay focus as long as the CEO is with us now lets worry about what late CEO team is cooking and not fighrt against our self!
And for your information the loved branch manager by the late CEO is also cooking something in our group! i dnt know what he is cooking but soon ntakuwa na taarifa zote na nta waupdate!!
february's father alikuwa kama haelewi hivi!
Guys mnajua mimi nimewavumilia sana! Mr zizia mmemrudishia branches zake zote za masuala ya comunication! wenzangu karibiawote wamepata waliyo yataka why me? Why me?? I have been loyal to this group why aren't you loyal to me?
Born town akasimama huku akiwa ana smile akamsogela mzee,
listen umemskia mzee hapo we have a very huge enemies coming after us!hatuitaji kugombana tuungane kwanza kumpoteza adui aliye mbele yetu! I promise you before 2025 you will get what you need!! Sawa mzee!! Sawaaaaa??!!
Okey!!
So that is done!! So mzee nafikiri you need to alert your team we need info on late CEO team and branch manager in one week! Also tuna changamoto mtaani raia wanalalamika sana kuwa maisha yamewakmata, our new CEO nikama anapata ugumu flani hivi!! The image of our group nikama inachafuka chafuka sana! Do We need to do something?
Mr zizia unalolote la kusema?
Yes! I think we dont have to do anything! We have lost a lot! Let them be bwana! These high prices watazizoea tu! After all They cant do any thing! Niwazuri sana kweye kuongea, tena sanaaaa but we all know they wont do anything Na kwakuwa wanaongea sana kwenye social media, and i own those networks we will increase bundle prices kuwapunguza online!
Ikifika 2024 kama kawaida tutalegeza prices za bidhaa zetu they will forget and life will go on!!we need to generate more money as fast as we can in these two years or we will suffer alot!!
Sorry mr chairman, naomba nimkatishe kidogo, ni Sawa nimeelewa sana alichokisema mr zizia but kuna haja yakutafuta jambo la kumuweka good image new CEO!! Unless other ways hili group la late CEO litapata umaarufu mkubwa sana na tutapata changamoto sana!!
Mr born tow akamjibu Kuhusu ilo group, tunaimplants tayari!! Soon tutapata taarifa wht are their next move! Lakini wote tunajua kazi ya spining na kucritisize ni ya mr new culture! Sasa toka mr new culture atoke cell nikam amebadilika sana!!
Nikama ataki kabisa assocoation with us I think nayeye awe under survialence nikama kuna jambo kubwa anaplan kulifanya 2025
mzee yeye alikuwa pale aki note evrything na kuchangia na kuplan as if hana jambo lake behind the scene yeye na CEO. Bada ya ile meeting mzee alitoka nakurudi nyumbani alipofika alielekea ofisini kwake tena! alichukua simu yake na kumpigia moja ya vijana wake!!
We need to meet! Kuna mgahawa uko karibu na my office, saa nne asubui uwe pale! Kijana akasema cool i will be there! Why saane, sababu population ndani ya mgahawa ule ilikuwa sio kubwa sana mida hiyo! Baada ya hapo akachukua onother nokia phone mpya akatia line then akaandika zile zile number
Uknown: Hellow!
Tanzanite: yes tanzanite speaking
Unknown: yes tanzanite tell me
Tanzanite: the facilitator is in!! Mission activated
Ukonwn: are you sure?
Tanzanite : yes i am!
Uknown: good!! It was nice to know you my friend, may god protect you and bless you, whatever happen just know we will be remebered!
Tanzanite: thanks comrade! It was also nice to work with you! Till next timein this world or after!
Uknown: salute! And good night my fried!
Simu ilikatwa mzee alikuwa kama anatetemeka hivi, akiwa pale kwenye kiti! kwa mujibu wa plan yao that was their last day to comunicate!
Na Walifanya hivyo ili mbeleni wasije kujeopardise the whole mission! Mr Uknown ndio finencer wa the whole mission! Hakutaka mudawake wote alioutumia kuplay dead kuset the whole mission, almost 5 years anaset the whole plan na kumkonvice mzee kujoin team yake kumuodoa born town mission iharibike na lengo halijatimia
Lakini Waliagana moja kwa moja sababu mmoja ni mgonjwa na mwingine ni mzima but the way wamesetup their mission nilazima huyu mzima alambe mchanga and it doesnt matter wawe hai au wamekufa the plan will exist na target lazima ang'oke!!
So mzee aliinama pale kwa muda akitafakari what was about to happen, alijipa moyo that he got nothing to loose since age imekwenda, familia iko well of! Na aliona that mission is the only way itamfanya apumzike kwa amani kwani alishiriki kutenda dhambi yaani kuunda kitu ambacho kinawaumiza watu kwa maslai yake binafsi!! Aliona hii mission kwake nikama redemption!! Ikikamilka itamfanya kuwa huru!
**************************************************
New CEO woke up to find a hint on her table kuwa investors waliokuwa wanalitaka lile eneo la utalii la kampuni kwajili ya kujega hotels wapo sereous
pesa yake yaani mgao wake washaweka kwenye one of her new account in malaysia! What she need nikuhakikisha the so called wavamizi wote wa eneo husika wanaondolewa!
So she called her assistant na kumorder akalifanyie hilo kazi na branch manager wa eneo husika alisimamie kwa umakini! Kitendo hicho cha kuwaondoa wazawa wa eneo hilo kili zaa mjadala mkubwa na mkali sana on social media!
Scandle iliKuwa ni CEO ameuza eneo la kampuni, na kuna uwekezaji mkubwa unakuja kufanyika!! Hivyo waliopewa kuishi pale watoke!
mr born town kama kawaida akaja na plan ya ku spin the whole scandle, maaana kama investment ile ita feli, trust dhid yakenkwa investors wake inazidi kuporomoka!
akampigia kijana wake assistant wa new CEO akamwambia akawambie akina new CEO na team yake kuwa yule mtu aliye kuja kutoka europe kuja kumsaidia kuibrand upya company name upande wa utalii ambae alimtembeza maeno yote ya utalii ya kampuni amesha kamilisha kazi yake!!
New CEO inabidi aende europe kutangaza picha hizo media zote zinapaswa kupromote hiyo safari na si vingenvyo hiyo itasaidia kufunika scandle iliyokuwa inatrend ya kuwaondoa wale jamaa wanao ishi kwenye eneo la kampuni
New CEO akapokea maelekezo kama kawaida, but before safari alitaka kukutana na mzee kujua what is the plan!!
Mzee aliamka asubui pata maji, kisha akaelekea ofisini!! Then akafanya majukumu yake kama kawaida, ilipofika saa nne alitoka taratibu kuelekea kwenye mgahawa aliokuwa ame panga kukutana na kijana wake!
Mzee aliingia pale chap aka kaaa kwenye kiti! Mfumo wa mgahawa ule viti vyake wanakaa watu wanne yaani wawili kulia wawili kushoto wakiwa wamegeukiana yaani wanatazamana na meza ipo kati kati! Mzee alipofika alienda kukaa akitazama alipo toka! Nyuma yake alikuwa kijana aliyepanga kukutana naye!!
Mzee akaagiiza juicy ya parachichi with no sugar! Baada ya kama dakika tatu za kufanya scaning eneo zima mzee aliegemea kwenye kiti kisha akamsemesha kijana! I will leave this envelope here on my seat inside there is a flash driver na list of all targets in the system!
Remember No one is to survive!!
mzee akasimama kuelekea counter kupay his bill! wakati huo kijana very fast akanyanyuka nakuchukua ile bahasha then akatoka nje na kuondoka zake!!
Mzee akiwa bado pale simu ikaita, kucheki ni new CEO was calling!!
good night!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Yaan had nimehisi hivyo pia.Kumbe Wewe ndio New CEO aiseh!!!Haya Sasa utuvumilie humu jamvini!!
Kha!! Mimi tena!! [emoji38][emoji38][emoji38] Hapana bwanaKumbe Wewe ndio New CEO aiseh!!!Haya Sasa utuvumilie humu jamvini!!Halafu Born town si umeenda nae kule majuu Nadhani sijui kama atarudi !!ameshakuaga LAKINI!!?nafsi yangu inaniambia ndivyo alienda kustaafishwa RASMI na ameshawaaaga tayari!!KILA la Heri KWENYE majukumu YAKO!!
Weweeeh tulia sisi ndo wataalam..
Upande wa pili ni kama umeanza kupachika mambo ya juzi na jana
#Jamaa anaye owner telecoms kawahakikishia wajamaa atapandisha gharama ili mboyoyo zipungue..hii ni juzi juzi
#Waskaji wa R-chuga waondoke kupisha mazingira safi nayo ni Jana tu
So ile maana ya dark days....inaanza kupotea!
Weweeeh tulia sisi ndo wataalam..
Upande wa pili ni kama umeanza kupachika mambo ya juzi na jana
#Jamaa anaye owner telecoms kawahakikishia wajamaa atapandisha gharama ili mboyoyo zipungue..hii ni juzi juzi
#Waskaji wa R-chuga waondoke kupisha mazingira safi nayo ni Jana tu
So ile maana ya dark days....inaanza kupotea!
Nasubiri muendelezo wake, hii nchi ndo inachezewa hivi? Khaaaah
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Uwe na usku mwema piaUko wapi? ......
Niko maeneo ya nyumbani! ......
Habari ya jioni? .......
Salama kabisa! Ujambo......
Aisee sijambo, sema kuna mda niliambiwa upo ukumbini ila ukawa umepotea!.........
Yes! Nilitoka nilipata dharula binafsi kidogo! ......
Sawa basi leo tuna meeting jioni baada ya kukamilisha hili la mzee tembo kuwa assistant chair man wa group! I think tutafanyia kwangu! ...
Sawa ntajitahid kuwahi!....
Mzee alikata simu kisha kurudi nyumbani kwake haraka kwenye makazi ya viongozi wa kampuni!
Yeye nikiongozi wa kampuni special task! Ni mzee mzoefu alianza kazi kama branch manager miaka kadhaa iliyo pitia na amehudumu na ma CEO watatu na huyu sasa wanne !!
Ni mzee msiri sana! Na amekuwa akifanya kazi kama mtu wa security muda mrefu akijificha kwenye post mbalimbali, ni mzee ambaye anaijua kampuni in and out! Maana amekuwa karibu na ma CEO wote watatu kwa ukaribu sana!!
Amekuwa mshauri wao na alimpenda sana mr born town na alimsaidia kwenye mambo mengi sana! Waliaminiana sana!! Kabla yakuja kujua intention yake kwenye kampuni ni ipi! Ukimtoa head security wa kampuni huyu ni head security behind the scene! Popote penye shida huwa wakwanza kuing'amua na kutafuta suluisho!!
So chap kwa haraka akarudi nyumbani kujiandaaa kwa ajili ya meeting ya jioni! It was all gang memembers meeting. Sms ikaingia kwenye smart phone yake!! Chake your emails!
Haraka akachukua tablet yake akaingia kwenye inbox upande wa email!! Akaifungua kusoma akakuta ni email from new CEO fowarded by kijana wake na ilikuwa ni email amabayo tayari alikuwa ameaccept kusaidiwa kumtembeza born town!
Wakati alipomaliza kuongea na CEO alimpa card iliyokuwa na adress ambayo kama atakuwa ameridhia basi atume ujumbe kupitia adress hiyo!! So alipotuma ilikwenda kwa kija wa mzee then baada ya kuifanyia michakato kadhaa ndio inakuwa fowarded kwa mzee
So we are gethered here to discuss the future of our group and this company! Tumetoka mbali sana mpaka kufikia hapa!! Leo tunakutana sababu We have a very big problem!!
The plan was In 2025 , mr february alitakiwa awe our new CEO, but secretly our new CEO wanted to remain inpower till 2030 and she was tryng to fight us behind our backs akijitengenezea njia until mzee here discover her plans and gave me the report and i dicede to face her my self!
Baada ya kum face She promised me that she wont do it again, but the demage from her plan is still on! Few of our favorite investors from USA have pull their investment! They were very important alies!! We have lost them, and loosing investors means decrease in our income!!
We all know that every month tunapokea a huge interest from contracts we signed on behalf of this company!!
So I have instructed her since she made chaos in our investment she need to go out and bring back our investors! And I promissed her if she will undo what amefanya i guarenteed her to be the CEO until 2030!
Sasa That decition nimesikia imeleta kelele miongoni mwetu!! Some of you, mnacomplain sana behind the scene, kwakuwa tupo wote leo hapa, naona niwatu wawili tu hawapo, any one who is against that decition is free to talk am listening!!
Yes!!
I think its your decition and not our decition or our plan!! Our plan was my son was to become the CEO in 2025 and then your son follows in 2035 But what i can see ni umeamua tu kuvuruga utaratibu thats not fair!! Tuna kurespect as our chair man but sometimes when we plan things you dont have the mandete to replan them!
Tumekuwa tukifollow all your plans bila kukukatalia but in this big no! Biiiiiiiig no! I want my son to be the CEO! THATS ALL!!!
Other member walikuwa kimya, wakisikiliza kilichokuwa kinaendelea! Born town akiwa amekaa kwenye moja ya coach miguu ikiwa imekunja nne alikuwa akiendelea kumsikiliza mr februarys father!
Okey!! Mzee do you have any thing to say!!? Born town alimkaribisha mzee!
Yes i have!! Kwanza we need to know team late Ceo they are also coming after us! They know what we have done but they dont have proof!! Thats first,
second is....... its sad kama tunaanza kukatika sisi wenyewe kwa wenyewe huku ndani, while our enemies are outside waiting for us that is weekness!
We need to resolve that!
I think hoja hapa isiwe 2025 hoja iwe 2030 nani awe CEO if it is mr february or mr born tow son! Or mr born town son can be the CEO and mr february can be the PM or any other way arround!! We have a war coming , a strong one we need to stay focus as long as the CEO is with us now lets worry about what late CEO team is cooking and not fighrt against our self!
And for your information the loved branch manager by the late CEO is also cooking something in our group! i dnt know what he is cooking but soon ntakuwa na taarifa zote na nta waupdate!!
february's father alikuwa kama haelewi hivi!
Guys mnajua mimi nimewavumilia sana! Mr zizia mmemrudishia branches zake zote za masuala ya comunication! wenzangu karibiawote wamepata waliyo yataka why me? Why me?? I have been loyal to this group why aren't you loyal to me?
Born town akasimama huku akiwa ana smile akamsogela mzee,
listen umemskia mzee hapo we have a very huge enemies coming after us!hatuitaji kugombana tuungane kwanza kumpoteza adui aliye mbele yetu! I promise you before 2025 you will get what you need!! Sawa mzee!! Sawaaaaa??!!
Okey!!
So that is done!! So mzee nafikiri you need to alert your team we need info on late CEO team and branch manager in one week! Also tuna changamoto mtaani raia wanalalamika sana kuwa maisha yamewakmata, our new CEO nikama anapata ugumu flani hivi!! The image of our group nikama inachafuka chafuka sana! Do We need to do something?
Mr zizia unalolote la kusema?
Yes! I think we dont have to do anything! We have lost a lot! Let them be bwana! These high prices watazizoea tu! After all They cant do any thing! Niwazuri sana kweye kuongea, tena sanaaaa but we all know they wont do anything Na kwakuwa wanaongea sana kwenye social media, and i own those networks we will increase bundle prices kuwapunguza online!
Ikifika 2024 kama kawaida tutalegeza prices za bidhaa zetu they will forget and life will go on!!we need to generate more money as fast as we can in these two years or we will suffer alot!!
Sorry mr chairman, naomba nimkatishe kidogo, ni Sawa nimeelewa sana alichokisema mr zizia but kuna haja yakutafuta jambo la kumuweka good image new CEO!! Unless other ways hili group la late CEO litapata umaarufu mkubwa sana na tutapata changamoto sana!!
Mr born tow akamjibu Kuhusu ilo group, tunaimplants tayari!! Soon tutapata taarifa wht are their next move! Lakini wote tunajua kazi ya spining na kucritisize ni ya mr new culture! Sasa toka mr new culture atoke cell nikam amebadilika sana!!
Nikama ataki kabisa assocoation with us I think nayeye awe under survialence nikama kuna jambo kubwa anaplan kulifanya 2025
mzee yeye alikuwa pale aki note evrything na kuchangia na kuplan as if hana jambo lake behind the scene yeye na CEO. Bada ya ile meeting mzee alitoka nakurudi nyumbani alipofika alielekea ofisini kwake tena! alichukua simu yake na kumpigia moja ya vijana wake!!
We need to meet! Kuna mgahawa uko karibu na my office, saa nne asubui uwe pale! Kijana akasema cool i will be there! Why saane, sababu population ndani ya mgahawa ule ilikuwa sio kubwa sana mida hiyo! Baada ya hapo akachukua onother nokia phone mpya akatia line then akaandika zile zile number
Uknown: Hellow!
Tanzanite: yes tanzanite speaking
Unknown: yes tanzanite tell me
Tanzanite: the facilitator is in!! Mission activated
Ukonwn: are you sure?
Tanzanite : yes i am!
Uknown: good!! It was nice to know you my friend, may god protect you and bless you, whatever happen just know we will be remebered!
Tanzanite: thanks comrade! It was also nice to work with you! Till next timein this world or after!
Uknown: salute! And good night my fried!
Simu ilikatwa mzee alikuwa kama anatetemeka hivi, akiwa pale kwenye kiti! kwa mujibu wa plan yao that was their last day to comunicate!
Na Walifanya hivyo ili mbeleni wasije kujeopardise the whole mission! Mr Uknown ndio finencer wa the whole mission! Hakutaka mudawake wote alioutumia kuplay dead kuset the whole mission, almost 5 years anaset the whole plan na kumkonvice mzee kujoin team yake kumuodoa born town mission iharibike na lengo halijatimia
Lakini Waliagana moja kwa moja sababu mmoja ni mgonjwa na mwingine ni mzima but the way wamesetup their mission nilazima huyu mzima alambe mchanga and it doesnt matter wawe hai au wamekufa the plan will exist na target lazima ang'oke!!
So mzee aliinama pale kwa muda akitafakari what was about to happen, alijipa moyo that he got nothing to loose since age imekwenda, familia iko well of! Na aliona that mission is the only way itamfanya apumzike kwa amani kwani alishiriki kutenda dhambi yaani kuunda kitu ambacho kinawaumiza watu kwa maslai yake binafsi!! Aliona hii mission kwake nikama redemption!! Ikikamilka itamfanya kuwa huru!
**************************************************
New CEO woke up to find a hint on her table kuwa investors waliokuwa wanalitaka lile eneo la utalii la kampuni kwajili ya kujega hotels wapo sereous
pesa yake yaani mgao wake washaweka kwenye one of her new account in malaysia! What she need nikuhakikisha the so called wavamizi wote wa eneo husika wanaondolewa!
So she called her assistant na kumorder akalifanyie hilo kazi na branch manager wa eneo husika alisimamie kwa umakini! Kitendo hicho cha kuwaondoa wazawa wa eneo hilo kili zaa mjadala mkubwa na mkali sana on social media!
Scandle iliKuwa ni CEO ameuza eneo la kampuni, na kuna uwekezaji mkubwa unakuja kufanyika!! Hivyo waliopewa kuishi pale watoke!
mr born town kama kawaida akaja na plan ya ku spin the whole scandle, maaana kama investment ile ita feli, trust dhid yakenkwa investors wake inazidi kuporomoka!
akampigia kijana wake assistant wa new CEO akamwambia akawambie akina new CEO na team yake kuwa yule mtu aliye kuja kutoka europe kuja kumsaidia kuibrand upya company name upande wa utalii ambae alimtembeza maeno yote ya utalii ya kampuni amesha kamilisha kazi yake!!
New CEO inabidi aende europe kutangaza picha hizo media zote zinapaswa kupromote hiyo safari na si vingenvyo hiyo itasaidia kufunika scandle iliyokuwa inatrend ya kuwaondoa wale jamaa wanao ishi kwenye eneo la kampuni
New CEO akapokea maelekezo kama kawaida, but before safari alitaka kukutana na mzee kujua what is the plan!!
Mzee aliamka asubui pata maji, kisha akaelekea ofisini!! Then akafanya majukumu yake kama kawaida, ilipofika saa nne alitoka taratibu kuelekea kwenye mgahawa aliokuwa ame panga kukutana na kijana wake!
Mzee aliingia pale chap aka kaaa kwenye kiti! Mfumo wa mgahawa ule viti vyake wanakaa watu wanne yaani wawili kulia wawili kushoto wakiwa wamegeukiana yaani wanatazamana na meza ipo kati kati! Mzee alipofika alienda kukaa akitazama alipo toka! Nyuma yake alikuwa kijana aliyepanga kukutana naye!!
Mzee akaagiiza juicy ya parachichi with no sugar! Baada ya kama dakika tatu za kufanya scaning eneo zima mzee aliegemea kwenye kiti kisha akamsemesha kijana! I will leave this envelope here on my seat inside there is a flash driver na list of all targets in the system!
Remember No one is to survive!!
mzee akasimama kuelekea counter kupay his bill! wakati huo kijana very fast akanyanyuka nakuchukua ile bahasha then akatoka nje na kuondoka zake!!
Mzee akiwa bado pale simu ikaita, kucheki ni new CEO was calling!!
good night!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app