FLASH BACK!
Mimi mzee ananiamini!! ananipenda na ananisikiliza..........
Mimi naongea na mzee moja kwa moja!!
Na nina kuhakikishia mzee anataka kampuni yetu isipate usumbufu kutoka kwa hawa wajinga wajinga,
Nimesha mwambia mr new culture achague moja this year ni either aje tukae mezani awe na sie au tumfute kwenye ramani!!
Na na kuambia ntamfuta nakwambia!! Subiri ouone...........
Huyo alikuwa ni mini - branch manager, kijana mtiifu kwa late CEO, kijana tishio na kipenzi wa late CEO. Kijana aliyepata madaraka makubwa sana yaani kuwa mini-branch manager wa kampuni huko kaskazini from no where!!
Alipata wadhfa huo only becouse alikuwa anafanya yale late CEO alikuwa anayataka! Kijana alijipatia umaarufu kwa kuwa alikuwa clearly anawanyanyasa business partners wa kampuni under born town in the title kuwa wanaihujumu kampuni!
Aliwanyanganya fedha na akipenda hata mabinti zao yote aliyafanya in the name of late CEO kwani jina la late CEO lilitisha kila kona ya kampuni
Kijana huyu aligelezea what branch manager makao makuu alikuwa anafanya! Walikuwa kama mapacha hivi mambo yao!! Walijiamini sana kwakuwa walikuwa wamefunikwa na koti la late CEO! mini branch manager Nayeye alikuwa na task force yake na kiji office maalum cha kushughulika na wale wote wako against na late CEO!
alianzisha kikundi chake ambacho kilikuwa kinapokea maelekezo kutoka kwa branch manager wa makao makuu yakiwa kama maelekezo kutoka kwa late CEO.
One thing late CEO alikuwa anafanya, as long as kuna branch manager yoyote au mini - branch manager yoyote yule anawachachafya team born town kwenye branch yake, kwake ilikuwa ni furaha, hakujali wala kutaka kusikia kingine, alitoa big up adharani kukubaliana na matendo hayo bila kujua wengine walikuwa sio team born town bali ni victims tu! Vita nivita ukiskia suporter wa adui wanalia kwako ndo furaha!
Huyu kijana alipenyezewa taarifa kuwa mr new culture na born town ni the same page behind the scene, Naukweli ni kwamba kwa muda huo haonwatu haziivi na late CEO!Alijua kuwa kama akifanikiwa kumdhibiti vizuri mr new culture basi lazima awe promoted kuwa branch manager kamili!!
So aliazisha oparation zake za kumshughulikia mr new culture, physically, economically, soccially and politically yote ni aaminiwe zaid na late CEO!
Na alimshugulikia kweli kweli jambo lilio mpa furaha sana late CEO! aliienjoy sana kusikia mr new culture anatandikwa na kijana wake! Na alifurahi zaid aliposikia kijana alikuwa akideal effectively na vijana wa mr new culture!
Kijana na team yake walitumia orpotunity hiyo ya kupendwa na kuaminiwa kufanya mambo mengine behind the scene ya ajabu sana ambayo yalifumbiwa macho simply becouse alikuwa akimfurahisha tu late CEO! Haya mambo yalikuja kumgusa directly born town!!
Iko hivi, kijana alikuwa anapenda sifa, nikawaida kwake kufika sehem ya starehe kunywa, kula kisha asilipe! Na ukimsumbua sana anakutisha kukuondoa duniani!
So one day akiwa na convoy yake aligusa pasipo gusika!! Na kuingia directly kwenye targets za born town!! Ipo hvi
Kuna business partner wa born town likuwa anapiga sana deal za madini! Bahati nzuri he was so smart cycle yake mtandao wake ulikuwa mzuri kiasi cha system ya kampuni kutokumjua!!
So one day business partner wa bornntown alikuwa na mzigo wake na ulipaswa kusafiri kutoka ukanda huo wa mini branch manager kuelekea nje kabisa ya kampuni!! Kila kitu kilikuwa sawa ispokuwa kijana mmoja aliyejua mchongo mzima kuamua tu kuuvujisha kwa sababu hakuwa treated sawa na mtoto wa business partner!
Iko hivi, Kuna deal nyingi sana za madini ya kampuni kuskika yalikuwa ya kampuni lakini hayajawai kuwa registered kwenye ofisi za kampuni yakiuzwa nankampuni nyi gine! Nahata ya kiuzwa kampuni haipati profit yoyote!
Main dealer wa hiz issues ni business partner wa mr born town mr tembo!!
Huyu jamaa nje ya kudeal na ishu za tembo sana deal zake zingine ni hizo ishues za madini! Na ameset system ambayo ni ngumu sana kumconect directly, yaani ni invisible!! Hata ishu za tembo kujulikana nikama ilitokea error ambayo iliondoka na watu kimya kimya!
Iko hivi every member of mr born town ana kitengo chake cha kucollect funds kwenye kampuni!! Na wametawanyika ipasavyo, hakuna mahala hutowakuta!!
Sasa huyu informer baada ya kuwa na mgogoro na mtoto wa business partner, aliamua kumwaga ugali na mboga kwa mini branch maneger kuwa kuna mtu anamzigo na unapaswa kusafiri kutoka nje yakampuni! Na estimetion za mzigo husika ni bilion kadhaa! Na as anareceive that leak mzigo uko njiani unaaza mwendo!!
Baada ya taarifa hii, mini branch manager nikama alipandwa na mzuka maana late CEO alushatoa maelekezo hakuna jiwe lolote kutokanje ya kampuni! Sasa kwa thamani ya jiwe hilo kama kweli akilidhibiti kwake nibonge la ujiko!
Basi bwana Kijana na team yake wakaamsha gari, ilikuwa saa 11 za jioni ! Kwa kuwa mtoa leak aliwapa ramani nzima kuwa wanatokea wapi, wanapitia wapi, so kijana akawahi kutega maeneo muhumu.
Kwakuwa washapata details za muhimu, ni gari gani, namba zipi and etc
Kijana aliigawa team yake mara tatu, moja ilirudi nyuma kabisa kuitafuta gari husika kule inako toka ili kuifuata kwa nyuma na nyingine ilikuwa inaisubiri round about ya barabara kuu ya kuingia mji mkuu kaskazini, na nyingine ikawa inatega njiapanda ya kutoka mikoa ya kaskazini na hiyo ndio gari na yeye mini branch manager alikuwemo!!
Sasa Gari iliyokwenda kuifuatilia target car ilibahatika kuiidentfy ile gari so iligeuza chap ikatoa signal kuwa gari wameiona njiani! Na chap wakatoa taarifa kuwa wameiona gari na wako nyuma yake wanaifuatilia!!
Walikuja nayo hadi mji mkuu wa kaskazini kisha wakachukua barabara ingine wakawa ka wameiacha hivi, ile gari nyungine iliyokuwa ikisubiri mji mkuu kaskazini ikafuata maelekezo ya wapi wapite ili waipaye then wakaiona kisha wakapose kwa nyuma na wakaendelea kuifuatilia silently!!
Ndani ya target car kulikuwa na jamaa wa tatu! Kijana yaani mtoto wa pekeee wa business partner wa born town ambaye analink na mzee tembo, dereva mmoja na kijana mwingine ambaye yeye ni mlinzi binafsi wa kijana wa business partner!
Ndani ya gari walikuwa na fedha m20, na mzigo husika!! Toka mwanzo wa safari kijana mlinzi binafsi alikuwa makini sana! Alikuwa akifuatilia kila kinachoedelea pande zote za gari. Huyu kijana aliwahi kuwa mfanyakazi wa kampuni tena idara nyeti ya security na baadae akanyakuliwa na mzee tembo kisha kwenda kupelekewa kuhakikisha deal zake upande wa madini ya kampuni zinakwenda sawa! Yaani alikuwa ninmtu wakusimamia namna madini yote yanapopatikana yanatokaje!
So akiwa pale mbele walipishana na gari aina ya nissan patrol nyeupe, na wakati wanapishana alibahatika kumuona dereva wa gari na kumtambua kutokana na uzoefu wake! hakusema kitu alikaa kimya kwanza kufuatilia nini kitaendela
Baadaa ya dakika kama 15 hivi alipotazama kwenye side mirrors aliiona ile gari kwa nyuma yao! palikuea na gari ndogo aina ya toyota spaicio iliyokuwa inawafuta then nissan patrol wakiongozana kuelekea mjimkuu kaskazini!! Akaendelea kuifuatilia akitaka kuhakikisha kama itakuwa inawafuata au la!
Kupitia uzoefu wake bada ya dakika kama 10 hiv aligunduabile gari ile ilikuwa inawafuata, aka chukua simu yake chap chap, akatuma sms! Kwenda kwenye namba flani hivi! Akaandika "change of plans, meeting point , astra B4"
Meseji ikawa delivered upande wa pili, chap vijana wa wili wakiwa kwenye pick up, chafu chafu hivi imebeba nyasi nyiiingi kama za malisho wakawasha gari yao wakaelekea "astra B4", mmoja alikuwa na begi la mgogongoni limechoka choka tu! Wakapaki upande wa pili wa bara bara wa gari kurudi kule wanakotoka hawa wanao kuja!
Walipoingia mji mkuu wa kaskazini ile nissan patrol ikapotea then within five minutes nyuma yao ikaingia gari aina ya V8 land cruser, chap kijana aka tumia side mirror kusoma namba!
Akaingia kwenye mfumo wa kampuni kujua nani mmiliki wa ile namba, majibu yakaja ile number ni ya toyota porte!! Akajaribu tena kuitrce ikaja namba ile ni ya toyota porte! Akajaribu tena ikaleta toyota porte! Chap Kijana akajiongeza kuwa ile plate number sio ya gari ile, akajua hawa niwengine na wanaendelea kuwafuatilia!
Kijana akatuma sms kwenye namba ile tena! "Status", akajibiwa, "on meeting point" chap akageuka siti ya nyuma akamwambia kijana anayemlinda, " sikutaka kukuambia chochote but tuna fuatiliwa toka zamani sana, unaona hiyo gari inatufuata ilikuwepo nyingine naona yenyewe itakuwa imetangulia, chukua huo mzigo kwenye bag weka kwenye mfuko wandani wakoti hela ziache humo humo kwenye bag, there is a change of plan"
kijana akashtuka sana hofu ikamwingia akaambiwa atulie! Hakuna shida kila kitu kiko planned!
Kijana securty akamwambia dereva endesha gari kuelekea jengo la kampuni maarufu la umeme wa jua , Ilo jengo lipo barabarani kabisa kuelekea kutoka nje ya mji mkuu kaskazini karibu na mataa yakuongozea magari!
Akaambiwa akifika pale apaki kwenye parking then wao watashuka kisha watarudi na safari itaendelea! Dereva akatiimaelekezo, kulingana nahali ya hewa makoti makubwa kuvaliwa ukanda huo nikawaida tu, so walipofika pale kijana akaweka amesha vaa koti na ame uficha ule mzigo kwenye koti lake kubwa, hilo koti lime tuna tuna kiasi huwezia jua kama mtu ameweka kitu au hajaweka kitu!!
Wakashuka pale faster then wakaingia ndani ya jengonla kampuni ya umeme wa jua , njiani kijana akawa anamwelekeza kijana wa business partner kuwa aeleke mens toilet uoande wa kulia atamkuta mtu mle ndani! ampe huo mzigo!
moja kwa moja walipoingia ndani kijana akaelekea mens toilets, alipofika tu ndani alimkuta yule kijana mmoja kati ya wawili waliokuja na pick up anamsubiri kesha clear toilets ziko safe kwa ajiliyao!!
kijana wa business partner akatoa ule mzigo akampa yule mwingine! chap akauchukua na chap akautia kwenye begi mgongoni kisha akatoka nje yaani ilikuwa ni fasta sana na akatoka kama vile hamjui yule alioingia mule ndani! Wakati huo ile gari V8 ikawa ime paki mita chache kutoka kwenye lile jengo wakisubiri kuona nini kinaendela na taarifa wakawa washatoa kule njia panda!!
Wakaulizwa wameshuka na begi,wakasema no wameshuka watu wa wili na dereva bado yumo kwenye gari!! Pale pale Yule kijana aliyebaki kwenye pickup akapokea sms, " carry over" kijana akawasha gari akaondoka zake, kwa aliye kuwa nje alijua ni pickup tu ya nyasi ilikuwa imepaki na sasa inaondoka zake, yule kijana na mzigo akatokea mlango mwingine, akapita njia za uchochoroni wakakutana na ile pickup inamsubiri akaingia chap na safari ikaanza kwa kufuata plan nyingine kabisa!!
Kijana akatoka mens toilet akapita reception kumpitia yule mlinzi wake wakatoka wakaingia kwenye gari na safari ikaanza! Baada yadakika kama 6 hivi ile gari V8 ikaonekana nyuma yao! Kijana yule wa security akamwambia yule kijana wa business partner hii gari umeikumbuka, kijana akatazama nyuma akaiona! Akamwambia yes nimeikumbuka!
Akamwabia mzigo ukosalama na utavushwa kwa plan nyingine, akamwambua alihisi watafuatiliwa toka wanaadaa safari kwani kuna mazungumzo aliyasikia kuna mtu anataka tushikishwa adabu!!
Kule njia panda wakawa wanasubiri kwa hamu!! Baada ya kusikia ile gari imeanza tena safari! Na Wakati huo huo ile gari yenye nyasi inazidi tokomea mbali zaidi!!
walipofika pale njia panda wakakutana gari mbili zinawasubiri na ile v8 nyuma yao zikawa tatu! Wakashushwa wote chini mpaka dereva! Kijana wa mini branch manager akaingia kwenye ile gari yenye mzigo na msafara ukaanza wa zaidi ya lisaa limoja kuelekea nyumba moja huko iliyoko migombani mafichoni!
Sasa ujinga wa mini branch manager tamaa ikawa imemuingia, yeye anawaza lile jiwe tu! Sio tena late CEO! Walipofika kwenye ile nyumba yule dereva na yule kijana wa securty wakiwa wamfungwa macho wakawekwa room nyingine na huyu mtoto pekee wa partner wa born town akawekwa chumba cha peke yake!!
Wakaipekua ile gari kwanza yoote na wakachukua lile begi wakakuta kuna 20 milioni tu ila jiwe halipo!
Kijana akabaa kweli kweli, akaenda kwenye room ya mtoto wa business partner, akamwambia anataka lile jiwe alokuwa anatorosha lasivyo shughuli inaishia pale!
Kijana baada ya kumtambua mini branch manger kwa uwoga ikabidi kusema ukweli kuwa nikweli jiwe walikuanalo ila walishalivusha wakiwa mji mkuu kaskazini na kwa muda mliotufikisha huku, litakuwa lisha fika mbali!
Baada ya kusikia hivyo mini branch manager akabaha akawa mkali akawa aamini! akawaita team yake kuwapa taarifa nawao wakabaha zaid! Wakaanza kutembeza kipigo kizito!!
Accidentaly wakati kipigo kinaendelea na katika kutishina bastola kichwani, ghafla ikafayatuka kweli na ikawa risasi imempata mtoto wa business partner kichwani! Na pale pale dogo akaanguka akatapatapa kisha story yake ya maisha ikaishia pale!!
Baada ya ilo tukio wote wakawa wamechanganyikiwa, baada ya discussion fupi uamuzi ukafanyika kuwa wote inabidi washutiwe tu! Yaani dereva na yule security, Na ndicho kilifanyika!
Wiki moja baada ya kijana kupotea, business partner alijua kuwa kijana wake alikuwa ubducted na aliye mu abduct ni mini branch manager! Ila status ya alive or dead akawa haijui
Akamtaarifu mzee wa tembo, mzee wa tembo akamtaarifu born town!! Resorces zukawa collected Wakaanza kutrace the whole issue!
wakaconfirm kuwa kijana alisha tembea mbele za haki, na aliye mtembeza ni mini branch manager na kundi lake!!gari ilitiwa moto na miili haijulikani iliwekwa wapi!!
Business partner hasira zilijaa akataka kufanya tukio mzee wa tembo na born town kwa kuwa they know what was about to happen walimtuliza na kumpromise a very huge revenge! na kwa namna ilivyo kuwa kwa wakati huo hawakuwa na namna maana mini branch manager alikuwa under high protective enviroment ya late CEO,
Ulikuwa uwezi hata kumsogelea kirahisi! so baada ya late CEO kuficha moto kati ya watu waliumizwa ni minibranch manage, ni alilia live live yaani! na alilia sana! Why?? becouse alijua alichokifanya na sasa kinga yake haipo tena na alijua revenge is on the way!!
***********************************************
Anonymous: Hellow .....
Born town: Yes! Born town speaking!
Anonymous: I know who you are huna haja ya kujitambulish !! Just know your now our target
Born town: What?
Anonymous: Yes Your now our target!
Born town: Wewe nani??
Anonymous: Iwe leo au kesho au kesho kutwa, next year, your going to die a silent death!!
Simu ikakatwa!!
**********************************
Whats goin on who is this man??
Born town: Hellow??
CEO : Yes mr born town good evening?
BORNTOWN:Are you in war with me again??
CEO :What??
BORN TOWN :Are you in war with me again?
CEO: No..no i dont know unasema nini!
BORN TOWN : Okey!
simu ikak katwa!!
****************************************
Tanzanite: hellow
Anonymous: yes sir
Tanzanite : how was it?
Anonymous : he called the CEO!
Tanzanite: good! Did you notify the CEO before
Anonymous: yes sir i did!
Tanzanite: good!
Simu ikakatwa!
***********************************
And the saga continues!!
[emoji117]Nini kilimkuta mini branchmanager ?
[emoji117]Nini kinaendelea kuhusu branch manager?
[emoji117]Is born town going to survive this time?
[emoji117]Who is anonymous? And who is unknown?
[emoji117]What is the plan to take down born town?
Till next time!!
See you!! Ntakuwa offline kwa muda
Amso sooooorry!!
Goodbye!! Love you all!!
Sent from my CPH1909 using
JamiiForums mobile app