Yohimbine
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 873
- 1,841
🤣🤣Aah thubutuuu yani kitendo cha kumdhania tu na yeye yumo, tayari unaitia najisi idara yetu tukufuKama kweli ni miongoni mwa wale watu (kitengo) basi hatuna watu kbsa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Aah thubutuuu yani kitendo cha kumdhania tu na yeye yumo, tayari unaitia najisi idara yetu tukufuKama kweli ni miongoni mwa wale watu (kitengo) basi hatuna watu kbsa
Mwamba anapenda Attention mumdhanie na yeye yumo🤣🤣[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Akikujibu nitag mkuu.Mbona George Bush wa Marekani hajauawa na ameua vya kutosha Iraq?
MkuuUkienda wizara ya Maliasili na Utalii kuna jamaa anaitwa Kalamaga pale Dodoma ni Mnyarwanda kamili lakini Boss wa Kitengo Tanzania,Akipata likizo anarudi zake Rwanda anajifanya ni muhangaza toka Ngara.
Huko tandika wamejaa kibao,achilia mbali Jeshini na sehemu Nyingine nyeti.
Kitunda kuna Kanisa la kilokole mchungaji wao anafuga wahamiaji haramu toka Kenya na wanaishi fresh tu hawana hata vibali vya Siku 2 lakini wana miaka na miaka hapa Bongo.
Watusi wapo WaTanzania pia kama ilivyo kwa wamasai na wajaluo.Mkuu
Tambua
Watusi Ndio Raia pekee ambazo wakijitambulisha uhamiaji KUWA wao Ndio hawarudishwi makwao!wanachukuliwa kama Raia wa kawaida kabisaaa!!sijui ni kwanini tofauti na waganda wa kawaida au wakongo HATA wakenya wote wanafurushwa tu warudi kwao!!Labda kwasababu nyerere Baba yake mtutsi wa kirundi na mama mnyarwanda Ndio hip au!!?wajuzi watujuze kuhusu Hawa wajomba ZANGU!!!
[emoji3][emoji3]Sasa wewe na cheti feki chako hicho utaanzaje kuwa mfuasi wa JPM?
Duh[emoji848]acha niwe napita tu kimyaMkuu
Uzi huu ni wa kijasusi na Wana jambo lao wanataka kutufikishia!
Wanatuchora na kutucheka huko pm!
Nimewahi onywa kisa kuchangia huu uzi!
Pia muonyaji akaniambia nikumbuke natumia public internet kuingia humu!
Nikajua we aren't alone in this!!
Ushaogopa aunt? [emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]Duh[emoji848]acha niwe napita tu kimya
🤣🤣🤣🤣🤣Mtu akiwa mgeni anaeza sema wewe ndo Diwani Athuman 😂😂
Nikiaangalia I'D yako naona kabisa wale Watanzania wanao aamini bila kupiga deal hutoki kimaisha! ndiyo maana unamchukia Magufuli hadi kesho kwa kuvuruga deal zako!!!Angalia ID yako then jitafakari kama uko sawa. Yale yale ya Dikteta Uchwara.
Mamviatakayenisaidia kutoa code ya MZEE na UNKNOWN aje inbox nitampa bia 6
Ha ha ha ,jamaa anachekeshaMtu mwenye taarifa zenu nyeti namna hiyo, hawezi kunasa kwenye mtego wa kipuuzi namna hii. Use your brain!