Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Ukienda wizara ya Maliasili na Utalii kuna jamaa anaitwa Kalamaga pale Dodoma ni Mnyarwanda kamili lakini Boss wa Kitengo Tanzania,Akipata likizo anarudi zake Rwanda anajifanya ni muhangaza toka Ngara.

Huko tandika wamejaa kibao,achilia mbali Jeshini na sehemu Nyingine nyeti.
Kitunda kuna Kanisa la kilokole mchungaji wao anafuga wahamiaji haramu toka Kenya na wanaishi fresh tu hawana hata vibali vya Siku 2 lakini wana miaka na miaka hapa Bongo.
Mkuu
Tambua
Watusi Ndio Raia pekee ambazo wakijitambulisha uhamiaji KUWA wao Ndio hawarudishwi makwao!wanachukuliwa kama Raia wa kawaida kabisaaa!!sijui ni kwanini tofauti na waganda wa kawaida au wakongo HATA wakenya wote wanafurushwa tu warudi kwao!!Labda kwasababu nyerere Baba yake mtutsi wa kirundi na mama mnyarwanda Ndio hip au!!?wajuzi watujuze kuhusu Hawa wajomba ZANGU!!!
 
Mkuu
Tambua
Watusi Ndio Raia pekee ambazo wakijitambulisha uhamiaji KUWA wao Ndio hawarudishwi makwao!wanachukuliwa kama Raia wa kawaida kabisaaa!!sijui ni kwanini tofauti na waganda wa kawaida au wakongo HATA wakenya wote wanafurushwa tu warudi kwao!!Labda kwasababu nyerere Baba yake mtutsi wa kirundi na mama mnyarwanda Ndio hip au!!?wajuzi watujuze kuhusu Hawa wajomba ZANGU!!!
Watusi wapo WaTanzania pia kama ilivyo kwa wamasai na wajaluo.
 
Back
Top Bottom