Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kp hamuwezi born town,mtt mdogo sn kwny suala la inteligensia,born town ni super spy
Vizuri kabisa. Sijui kwanini CV ya born town kwenye intelijensia ilikuwa haisemwi tunalishwa ya KP tu miaka yote mpaka akajizolea sifa kede kede,me nilikuwa ninashangaa siku zote why tumekaa kimya tunamuacha mtu atambe namna hii?

Tangia siku ile operation wahamiaji haramu nikajua hapa sasa kazi imeanza, inatakiwa tumegewe na ile ya majirani zetu na marafiki zetu ambao wanatuita ndg zao watupe picha fulani hata kwa umbali nini kilitokea akashindwa kupindua meza. 2015.

Bado ile ya kusini magharibi nayo tupewe ubuyu maana matukio yote alikuwa ni born town ndiye muendesha kampuni. Hapa kila mtu apewe heshima yake bana.
 
[emoji6] usjali from wend! Tutatia jambo zuri hapa mpendwa!!! Ingawa natuhumiwa sio mimi eti[emoji16][emoji23]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Tunakuombea uendelee kuwa wewe utuletee mzigo mezani nikiwa bado nina mzuka wa kuchangia labda kipengele cha CAT kama kitakuwa kimeisha nitakuwa kimya nasoma za wengine. Ananiudhi huyu jamaa mpaka nikilala namuona usiku tunanyang'anya samaki kutoka ziwani. [emoji2955][emoji2955][emoji2955]
 
Japo born town ana mishe mishe nyingi

Ila dijawahi natamani afe kizembe.

Ana unafuu na uungwana kuliko yule jamaa mzilanKENDE.

born town ana utu kidogo.

Angekuwepo madaraka wewe leo ungekuwa uhakika wa kazi unachosomea chuo.

Mambo yote yalitibuliwa na gule mzilanKENDE.

nilipata kazi yangu ya kwanza kipindi born town yuko hatamuni.
Kama siyo born town kwenye loan board kuongeza pesa nisingesoma chuo mwenzenu, nani angenilipia ada mtoto wa mkulima mie. Kwa hili sitaacha kumshukuru kimoyo kimoyo hata kwa maandishi kama hivi. Nikifikiria namna hii namuona ni muungwana sana kama ulivyosema.
 
Japo born town ana mishe mishe nyingi

Ila dijawahi natamani afe kizembe.

Ana unafuu na uungwana kuliko yule jamaa mzilanKENDE.

born town ana utu kidogo.

Angekuwepo madaraka wewe leo ungekuwa uhakika wa kazi unachosomea chuo.

Mambo yote yalitibuliwa na gule mzilanKENDE.

nilipata kazi yangu ya kwanza kipindi born town yuko hatamuni.
Ujue kila tawala ina watu wake inayowainua km ww uliinuliwa na Borntown kwa kigezo cha kupata ajira mm nimeinuliwa na BornSangara kwa kuwezeshwa. Borntown anafalsafa ya PanyaBuku anakula huku anakupuliza ila alivyoingia Paka hakutaka kufuata falsafa hiyo yeye alikua anakamata kila windo
 
Born town ana hatari sana maana halisi ya powerful man,hivi alimfanya nini kp maana KP wanamsifia sana ina maana born town alimuwezaga?
Alimuwezaga sana ,hivi unajua mifugo mingapi ilibaki kwa watendaji, wananchi na viongozi wengine iliyokuwa inachungiwa kwenye mapori yetu ya akiba baada ya kusema wahamiaji haramu wote wasepeshwe?

Unajua jamaa hakujua kwamba mkoa wake ni mdogo na watu wake wapo kwenye kampuni yetu, wanatutegemea, sasa walivyofurushwa wakaanza kuondok na pembe zao, kamkoa ghafla kamejaa, ikapigwa marufuku hakuna kuingiza pembe za maziwa yenu ardhi haiwezi kuwamudu.

Watafanyaje, ikabidi waaandikishane na wazawa kwamba wanaziacha kama za Waungwana, wengine wakauza kwa bei ya hasara. Umeona hii point?

Sasa ikabidi busara itumike. Sasa kama ni mtaalamu wa Intelijensia hawakujua yote haya mpaka wamefikia kumwaga mboga mwenzie akabeba ugali akasepa nao?

Wakati huo anafanya hayo alikuwa amekaliwa kimya tu kama kawaida akajiona hawa wamelala usingizi mzito, kumbe wamefumba jicho lingine liko kodo hakuliona.
 
Japo born town ana mishe mishe nyingi

Ila dijawahi natamani afe kizembe.

Ana unafuu na uungwana kuliko yule jamaa mzilanKENDE.

born town ana utu kidogo.

Angekuwepo madaraka wewe leo ungekuwa uhakika wa kazi unachosomea chuo.

Mambo yote yalitibuliwa na gule mzilanKENDE.

nilipata kazi yangu ya kwanza kipindi born town yuko hatamuni.
Kuna kitu kwenye Kampuni nyingi Duniani kinaitwa... To Maintain Public Investment Security...
CEO wa Kampuni Mbalimbali huko mjuu hulinda hii kitu ili UKUSANYE KODI na KUMAINTAIN JOB SECURITY..
Born Town alijitahidi ndio maana angalau Govt na Private Institution ziliajiri...

Alipoingia The so called Late... Alijua Private Institution hazilipi kodi... Akazinyonya balaa... Nguvu ya kuajiri ikaisha....

Yeye alijua tuu... Kamua tuu.... Na baadhi ya watu.. Nenda Benki angalia ana salio lipi.... Kamuaaaa...

Mwisho wa siku... Kila Big Companies zikapunguza wafanyakazi... Pia Jobs zikawa shida.. Sanaaa...

Washikadau flani flani wakaondoka wakaenda njeeee kabisa... Maana wangefilisika....

Kuwa na M 500 Benki sio kosa kama unaweza kuonyesha umepataje.. Kwa kazi zipi kihalali...

...kuna watu wanaingiza 20 M kwa mwezi na kodi analipa.... Je hawezi kuwa na 500 M benki...? Basi hawa wengi waliumizwa... Huku mzilankende akijua anajenga kampuni.... Kumbe ndio anaua employment industry..

Anyway tumetoka mbali...
 
Alimuwezaga sana ,hivi unajua mifugo mingapi ilibaki kwa watendaji, wananchi na viongozi wengine iliyokuwa inachungiwa kwenye mapori yetu ya akiba baada ya kusema wahamiaji haramu wote wasepeshwe?

Unajua jamaa hakujua kwamba mkoa wake ni mdogo na watu wake wapo kwenye kampuni yetu, wanatutegemea, sasa walivyofurushwa wakaanza kuondok na pembe zao, kamkoa ghafla kamejaa, ikapigwa marufuku hakuna kuingiza pembe za maziwa yenu ardhi haiwezi kuwamudu.

Watafanyaje, ikabidi waaandikishane na wazawa kwamba wanaziacha kama za Waungwana, wengine wakauza kwa bei ya hasara. Umeona hii point?

Sasa ikabidi busara itumike. Sasa kama ni mtaalamu wa Intelijensia hawakujua yote haya mpaka wamefikia kumwaga mboga mwenzie akabeba ugali akasepa nao?

Wakati huo anafanya hayo alikuwa amekaliwa kimya tu kama kawaida akajiona hawa wamelala usingizi mzito, kumbe wamefumba jicho lingine liko kodo hakuliona.
Kipindi hicho hicho born town alienda bukoba kuenzi mashujaa, pk kajaza masoldier wake mpakani akihisi jamaa atatangaza vita. Vikosi vyetu vilianza kuizunguka kampuni yake, mizinga ikasogezwa kalibu, Raia waliokuwa mpakani wakafurushwa. Ikatengenezwa propaganda kama wamerusha risasi, paka alivyoona hivyo akaomba mazungumzo haraka sana
 
Kuna kitu kwenye Kampuni nyingi Duniani kinaitwa... To Maintain Public Investment Security...
CEO wa Kampuni Mbalimbali huko mjuu hulinda hii kitu ili UKUSANYE KODI na KUMAINTAIN JOB SECURITY..
Born Town alijitahidi ndio maana angalau Govt na Private Institution ziliajiri...

Alipoingia The so called Late... Alijua Private Institution hazilipi kodi... Akazinyonya balaa... Nguvu ya kuajiri ikaisha....

Yeye alijua tuu... Kamua tuu.... Na baadhi ya watu.. Nenda Benki angalia ana salio lipi.... Kamuaaaa...

Mwisho wa siku... Kila Big Companies zikapunguza wafanyakazi... Pia Jobs zikawa shida.. Sanaaa...

Washikadau flani flani wakaondoka wakaenda njeeee kabisa... Maana wangefilisika....

Kuwa na M 500 Benki sio kosa kama unaweza kuonyesha umepataje.. Kwa kazi zipi kihalali...

...kuna watu wanaingiza 20 M kwa mwezi na kodi analipa.... Je hawezi kuwa na 500 M benki...? Basi hawa wengi waliumizwa... Huku mzilankende akijua anajenga kampuni.... Kumbe ndio anaua employment industry..

Anyway tumetoka mbali...
Kaka umeongea point sana.Hapa hatuongei kwa mahaba watu wasitufikirie vibaya, ni kwa Facts kila mmoja tunampa respect yake.

Hiki ulichokiongea ukimuuliza mtu wa Kaskazini atakwambia walikutan na vitimbwi sana,task force imeumiza watu wengi mno waliokuwa na pesa, kuwa na pesa ulikuwa unaonekana fisadi, mwizi, muhujumu uchumi, wakati watu walipata pesa zao halali kabisa.

Hii njia haikuwa sawa kabisa.

Sasa tukija kwake kwa kweli kwenye ujasiri wa kufanya kazi,maamuzi magumu alikuwa nao mkubwa na kama angefuata ushauri wa wasaidizi wake angefanya mambo mengi makubwa kuliko aliyoyaacha na ingempendeza kila mtu

Siku zote haki huliinua Taifa kama kila kitu kingekwenda katika haki hata adui asingepata mlango wa kupitia,lakini unataka kuchukua nafasi ya Mungu (makufuru) hapo hakunaga msaada hata kama ungekuwa umetenda mazuri kwa kiasi gani, maana alishasema utukufu wangu sitampa mwingine (Samahani kwa wasioamini).
 
Kipindi hicho hicho born town alienda bukoba kuenzi mashujaa, pk kajaza masoldier wake mpakani akihisi jamaa atatangaza vita. Vikosi vyetu vilianza kuizunguka kampuni yake, mizinga ikasogezwa kalibu, Raia waliokuwa mpakani wakafurushwa. Ikatengenezwa propaganda kama wamerusha risasi, paka alivyoona hivyo akaomba mazungumzo haraka sana
[emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91] he is a man with balls

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kipindi hicho hicho born town alienda bukoba kuenzi mashujaa, pk kajaza masoldier wake mpakani akihisi jamaa atatangaza vita. Vikosi vyetu vilianza kuizunguka kampuni yake, mizinga ikasogezwa kalibu, Raia waliokuwa mpakani wakafurushwa. Ikatengenezwa propaganda kama wamerusha risasi, paka alivyoona hivyo akaomba mazungumzo haraka sana
Hureeee!! Sasa hapa story imeanza kunoga,ahsante sana mkuu hii ni bonge la mchezo mzuri wenye uhalisia. Bado kuna mtu anasema watu hawana akili?

Sasa usikute hata ule uwanja wa sehemu ya tambarare uliokuwa ujengwe Paka ndiye alishauri usiwepo ili ubaki mmoja tu pale mjini ili hata kama zitakuja ndege kubwa zenye vifaa vya muziki zisitue, yeye pasipo kujua mawazo ya mwenzake akakubali.

Nashauri ule mwingine wa Wilaya iliyopo karibu na njia ya kuelekea kwake uboreshwe zaidi maana upo ,uwekewe taa ili kama ni dharula utumike chap.

Wasanii wetu muwe mnafanya documentary angalau kwenye uigizaji wenu mnaweka vionjo kama hivi, siyo kila siku mapenzi tu.

Kuna watu hawamjui mtu mmoja aliyekuwa mkuu wa operation na mafunzo hapa nchini sasa hivi naye amestaafu ningekuwa ni mimi ningemjengea sanamu kule porini aliweza kuwatuliza sana wale watu.Popote ulipo kamanda salute kwako.
 
Hureeee!! Sasa hapa story imeanza kunoga,ahsante sana mkuu hii ni bonge la mchezo mzuri wenye uhalisia. Bado kuna mtu anasema watu hawana akili?

Sasa usikute hata ule uwanja wa sehemu ya tambarare uliokuwa ujengwe Paka ndiye alishauri usiwepo ili ubaki mmoja tu pale mjini ili hata kama zitakuja ndege kubwa zenye vifaa vya muziki zisitue, yeye pasipo kujua mawazo ya mwenzake akakubali.

Nashauri ule mwingine wa Wilaya iliyopo karibu na njia ya kuelekea kwake uboreshwe zaidi maana upo ,uwekewe taa ili kama ni dharula utumike chap.

Wasanii wetu muwe mnafanya documentary angalau kwenye uigizaji wenu mnaweka vionjo kama hivi, siyo kila siku mapenzi tu.

Kuna watu hawamjui mtu mmoja aliyekuwa mkuu wa operation na mafunzo hapa nchini sasa hivi naye amestaafu ningekuwa ni mimi ningemjengea sanamu kule porini aliweza kuwatuliza sana wale watu.Popote ulipo kamanda salute kwako.
Jazia nyama mkuu kwahuyo kamanda aliyestaafu na baadhi ya op huko porini

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Kuna vitu vingine vinafanyika tena operations kali na haziwekwi wazi, unatambua kua jamaa alifuatwa hadi chumbani kwake na CDO mmoja na kumfunga mdomo na ikawa ndio mwisho wa chokochoko zake ? Nilipokwambia ulimwengu wa kiroho sikumaaanisha kwenye maombi uingie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ni uongo kabisaa, akat PK ndo alisema shuka analolalia born town analijua, woiiiiiiiih
 
Tatizo la borntown hajali watanzania anajali maslah yake mfano utaona hali ya kuwaweka vijana wake kwenye kampuni ili maslahi yake kuendelea kulindwa.na pia mkuu wa kampuni wa sasa hivi kupokea maelekezo kutoka kwake kama tunataka kwenda mbele kama nchi Born town aondolewe hata duniani ila pia huyu pk asiruhusiwe kucheza na kampuni yetu.tukiendelea hivihivi kampuni kuwa ya watu wachache aisee kampuni haitaendelea watu wake wataendelea kuwa masikini Kwa sababu keki itaendelea kuliwa na watu wachache.tutaendelea kuwa kampuni masikini.lakini zuieni huyu pk asichezee kampuni yetu.pia kampuni ifike mahali iendeshwe Kwa model ya kiuchumi Kwa sababu Sasa kampuni inaendeshwa kisiasa zaidi.
Na wote wanao mfurahiq born town ni wafuasi wake wanaokula cake pa1, aondoke huyu born town, tuanze upyaa.
 
Back
Top Bottom