Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

why are you using excessive energy to defend these killers? looks like you have assumed the role of yoga
Hapana siwatetei hata kidogo ninaangalia maslahi mapana ya Taifa huko tuendako tusije tukajiletea laana.

Na baada ya kuwatenda hivyo kuna juhudi gani zitafanyika ili kuondoa hizi kelele na assumptions za ufisadi, upigaji, wizi, uroho wa madaraka, safu za uongozi,uzembe na kutokuwajibika.?

Hapa usiseme Katiba mpya, mimi hiki kitu sikiamini, maana watu ni wale wale bila kuondoa hii mentality ya upigaji kwenye akili za watu hata ije Katiba nzuri kiasi gani haitasaidia kitu.

Sijuani na yeyote, hata Yoga simjui na wala sitokei kwenye familia ya yeyote yule mpigaji, ikiwa yupo ndg yangu mwenye tabia za namna hii basi naye awajibishwe.
 
Vasco haweki kukaa pembeni unless he's eliminated. Ana power kubwa sana, ameweza kuiweka kampuni kwenye kiganja. Awe eliminated tu, sema dhambi ya kueliminate maceo huwa ni endelevu, ukimmaliza huyu, anayekuja anakumaliza.
Hapa ndio pana shida...nimeshauri sana kwamba hekima na busara viangaliwe na kutumika kabla hatujafikia huko.
 
Late CEO alikuwa na nafasi kubwa ya kuwa CEO bora kuliko wote. Sijui nini kilimchanganya. Mwisho wa siku amekuja kuonekana wa kiwango cha chini sana hadi Born Town anaonekana wa maana.
Late ceo nafasi ya kuwa CEO Bora kuliko wote hakuwa nayo sababu ya uwezo wake mdogo, nilichoona watu walikua na matarajio makubwa tu, ni Kama Sasa watu walivyo na matarajio makubwa kwa current ceo ikiwa uhalisia wanaujua au wameamua.
Born town anaonekana bora? Angalia vizuri anaonekana kwa akina nani bora, ni Kama wanaoona late ceo alikua bora.
Walio kwenye circle yake watamuona alikua bora, hivyohivyo kwa waliokua kwenye circle yaa late ceo.
Hawa washabiki wengine wala hawana nguvu, wao hutegemea tu upepo unavuma wapi kulingana na hao walio kwenye circle wanasemaje.
 
Ndio maana mliunda kikosi kazi ili muuwe biashara za watu eeeeh?

Pale TRA wapo wengi walichukia kikosi kazi kukaa pembeni... Kamuulizie H. Sali.. Yupo analia na mshahara tuu baada ya kikosi kazi kuvunjwa... Watu walikuwa na uhakika wa mpaka million mbili kwa siku... Za Rushwa.... Mnavamia wafanyabiashara wakubwa kwakuwa mna go ahead (ruhusa ya Jiwe) mnawaambia toa kiasi hiki TRA.. Na mimi nipe kiasi hiki... Bila hivyo jiandae kwenda Kisutu na nitahakikisha hakuna dhamana.....

Ilikuwa wakati wenu kutesa... Sasa yalishapita hayo...
Kuna kitu wengi naona mnakikwepa either kwa bahati mbaya au kwa makusudi
Kwanza naakubaliana na mabaya yaliyofanywa na kikosi kazi kwa kuwa mm pia niliwahi kupata shida nao.
Lakini kabla ya kikosi kazi Cha jiwe, enzi za awamu ya nne TRA walikua hawachukui rushwa kwa watu? Walikua hawakaamati watu na kuwapeleka mahakamani?
Je sasa hivi awamu ya Samia, TRA hawachukui rushwa?
 
Kuna kitu wengi naona mnakikwepa either kwa bahati mbaya au kwa makusudi
Kwanza naakubaliana na mabaya yaliyofanywa na kikosi kazi kwa kuwa mm pia niliwahi kupata shida nao.
Lakini kabla ya kikosi kazi Cha jiwe, enzi za awamu ya nne TRA walikua hawachukui rushwa kwa watu? Walikua hawakaamati watu na kuwapeleka mahakamani?
Je sasa hivi awamu ya Samia, TRA hawachukui rushwa?
Hilo swali gumu sana, kama hawatakutukana, watupuuza tu.
 
Mimi unafikir nakubaliana na ccm hata kwa bahati mbaya jinsi wanavyoendesha hii nchi? Hapana. Natamani reformation kubwa sana lkn siyo kwa kuuana. Hicho kisasi chake achaaa. Nakuambia hicho kisasi ysikitamani. I know there are smart ways to deal with this. Ila siyo kwa kuua. Its never the best option.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Unajua wengi mnashindwa kuelewa hawa wanasiasa ni watu wa aina gani, mnawapenda na kuwageuza kuwa malaika.
Kuua ni jambo dogo sana kwa mwanasiasa.
 
Kuna kitu wengi naona mnakikwepa either kwa bahati mbaya au kwa makusudi
Kwanza naakubaliana na mabaya yaliyofanywa na kikosi kazi kwa kuwa mm pia niliwahi kupata shida nao.
Lakini kabla ya kikosi kazi Cha jiwe, enzi za awamu ya nne TRA walikua hawachukui rushwa kwa watu? Walikua hawakaamati watu na kuwapeleka mahakamani?
Je sasa hivi awamu ya Samia, TRA hawachukui rushwa?
Yaani Awamu ya nne Rushwa ilikuwepo sana... Hata leo hii pale TRA, haya mambo yapo....
Sasa kuna tofauti ya rushwa ya awamu ya nne na rushwa ya awamu ya tano..

TOFAUTI NI,

awamu ya nne hawakumalizi ukafilisika..

awamu ya tano wanakumaliza na unayumba kabisa kiuchumi.. Kulikuwa na combination ya TRA, Polisi na Wakuu wa Mikoa na Wilaya wote wanataka hapo hapo... Na ukikaa vibaya unapotezwa jela au unapewa uhujumu uchumi..

Nenda pale Geita Mjini.. Kuna wakati wafanyabiashara wa madini 40 at once wapo ndani na DPP yupo nao.. Kwa maelezo vipi unataka kutoka sasa hivi au bado unabisha kutoa salio bank.. ? Wengi wakaona wajiokoe.. Sasa unaanza kupigiwa mahesabu... Hela ya usumbufu, hela ya TRA yenyewe... Hela ya Polisi au Mpelelezi... DPP mwenyewe.... Yaani kuna msururu ya watu hapo nyuma..

Ukitoka huko hutaamini... Unaweza kujikuta unaanza upya maisha
 
Tatizo lake alikuwa materialist ndio hapa alianza kujichanganya, yeye alipenda vitu bila kuviwekea misingi ya utu na uwazi. Kwa mfano issue ya elimu bure alikurupuka maana nchi yetu bado ni changa haina financial supremacy kutoa free service. Leo ukienda kwenye shule zetu unalia, hali mbaya sana. Badala ya kuboresha elimu yeye alipenda sifa zaidi.

Kiongozi sio kujenga madaraja na kutunisha misuli. Kwenye dunia ya leo unadanganya watu kwa unaweletea maendeleo badala ya kuwajengea uwezo wajiendeleze wenyewe. Mzee alikuwa mtendaji ila hakuwa kiongozi mzuri
Hapa ndio watanzania wengi tumekwama na tushakwama.
Pesa nyingi sana inapotea kusikojulikana. Mwaka uliopita tu report ya CAG ina upotevu wa trilion 3. Hebu niambie hii trillion 3 ingetumika huko kwenye elimu unafikiri ungesema kuna hali mbaya?
Tuliwahi kulipa ada huko zamani kwa Watoto wetu, je mazingiria ya elimu yalikua bora?
Kabla ya kusema nchi yetu changa hatuwezi kutoa social service free, basi tunapaswa kuanza na pesa zinazopotea kila mwaka.
Wenzetu wametuweza hapo.
Maji na umeme tunalipia, hebu tuambie Kama huduma ni nzuri
 
Back
Top Bottom