Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

1. I seee kuna watu wana bahati, yule mzee mwenye miaka 98-1 + 0=.......ana bahati sana. Yaani watoto wake wawili wamebahatika kuwa ma ceo wa kampuni? Duh kweli walisema. Mtoto wa mchepuko lazima awe na akili ona alivyokuwa anavushwa vushwa madarasa kisa ana akili dah. Basi atakuwa na raha ndo maana kaishi sana. Kumbe ni katoto kake ka siri. Basi kuna watu watapinga, haya kabla ya kunipinga uje hapa uniambie baba yake ni nani? Mchepuko oyeee hata mimi nimetamani nizae katoto kangu ka kwanza na mtu mkubwa huwezi jua kakaja kuwa ka CEO ka kampuni.
Hapa nawaza wakikutana huwa wanaongea toto na dingi ake dah kweli alicho nacho ataongezewa, na ambae hana hata hicho kidogo atanyanganywa. [emoji3][emoji3][emoji3]

2: Aaaaaaaa kumbe kile kiti ni cha moto huwezi kukikalia hivi hivi eeh? Unaambiwa kabla hajakikalia ilibidi apelekwe baharini akafanyiwe maombi siku tatu. Mwenzio kakikalia kachomolewa gafla wewe utaanzage kukikalia tena mimi nilivyo muoga ningeombewa bahatini mwezi mzima kabisa.

Tusome vitabu bana hii kitu bila kuingia maktaba ukasoma huwezi ielewa. Hiyo no moja nilikuwa naichanganya na ya yule mtoto mwenye visima vingi vya kuchotea mawese ya kula .kama hujaelewa utajua mwenyewe.

Afu watu mnaotaja watu kwenye hii simulizi ya yoga sio vizuri , hii ni simulizi kama simulizi nyingine. Ila watu mnachukulia kweli duh.
Katoto ka siri tena!? Ina maana jamaa alikuwa anajipigia mke wa mtu hadi kumpachika mimba? Kweli siri sirini serikalini.
 
1. I seee kuna watu wana bahati, yule mzee mwenye miaka 98-1 + 0=.......ana bahati sana. Yaani watoto wake wawili wamebahatika kuwa ma ceo wa kampuni? Duh kweli walisema. Mtoto wa mchepuko lazima awe na akili ona alivyokuwa anavushwa vushwa madarasa kisa ana akili dah. Basi atakuwa na raha ndo maana kaishi sana. Kumbe ni katoto kake ka siri. Basi kuna watu watapinga, haya kabla ya kunipinga uje hapa uniambie baba yake ni nani? Mchepuko oyeee hata mimi nimetamani nizae katoto kangu ka kwanza na mtu mkubwa huwezi jua kakaja kuwa ka CEO ka kampuni.
Hapa nawaza wakikutana huwa wanaongea toto na dingi ake dah kweli alicho nacho ataongezewa, na ambae hana hata hicho kidogo atanyanganywa. [emoji3][emoji3][emoji3]

2: Aaaaaaaa kumbe kile kiti ni cha moto huwezi kukikalia hivi hivi eeh? Unaambiwa kabla hajakikalia ilibidi apelekwe baharini akafanyiwe maombi siku tatu. Mwenzio kakikalia kachomolewa gafla wewe utaanzage kukikalia tena mimi nilivyo muoga ningeombewa bahatini mwezi mzima kabisa.

Tusome vitabu bana hii kitu bila kuingia maktaba ukasoma huwezi ielewa. Hiyo no moja nilikuwa naichanganya na ya yule mtoto mwenye visima vingi vya kuchotea mawese ya kula .kama hujaelewa utajua mwenyewe.

Afu watu mnaotaja watu kwenye hii simulizi ya yoga sio vizuri , hii ni simulizi kama simulizi nyingine. Ila watu mnachukulia kweli duh.
Halafu niliwahi kuambiwa hiki kitu

Kwamba ceo wa sita ni mtoto wa nje wa ceo wa pili

Pia huyo deep informer aliwahi kuwa mchepuko wa born town

Vile vile mr diplomatic ni mdogo wa nje wa born town

Hii kampuni ina mambo mengi mno asee
 
M C C ni ileile
Stay kima
1. I seee kuna watu wana bahati, yule mzee mwenye miaka 98-1 + 0=.......ana bahati sana. Yaani watoto wake wawili wamebahatika kuwa ma ceo wa kampuni? Duh kweli walisema. Mtoto wa mchepuko lazima awe na akili ona alivyokuwa anavushwa vushwa madarasa kisa ana akili dah. Basi atakuwa na raha ndo maana kaishi sana. Kumbe ni katoto kake ka siri. Basi kuna watu watapinga, haya kabla ya kunipinga uje hapa uniambie baba yake ni nani? Mchepuko oyeee hata mimi nimetamani nizae katoto kangu ka kwanza na mtu mkubwa huwezi jua kakaja kuwa ka CEO ka kampuni.
Hapa nawaza wakikutana huwa wanaongea toto na dingi ake dah kweli alicho nacho ataongezewa, na ambae hana hata hicho kidogo atanyanganywa. 😀😀😀

2: Aaaaaaaa kumbe kile kiti ni cha moto huwezi kukikalia hivi hivi eeh? Unaambiwa kabla hajakikalia ilibidi apelekwe baharini akafanyiwe maombi siku tatu. Mwenzio kakikalia kachomolewa gafla wewe utaanzage kukikalia tena mimi nilivyo muoga ningeombewa bahatini mwezi mzima kabisa.

Tusome vitabu bana hii kitu bila kuingia maktaba ukasoma huwezi ielewa. Hiyo no moja nilikuwa naichanganya na ya yule mtoto mwenye visima vingi vya kuchotea mawese ya kula .kama hujaelewa utajua mwenyewe.

Afu watu mnaotaja watu kwenye hii simulizi ya yoga sio vizuri , hii ni simulizi kama simulizi nyingine. Ila watu mnachukulia kweli duh.
SIe wakali wa hesabu za computer tunacheza TU na binary codes TUna encrypt luckyline naongeza popcorn HUKU utalipa
 
Yoga ww ni Mtanzania Kweli ??. Umetumwa kugombanisha viongozi wetu. This smells bad. Your codes ziko open ili ufikishe ujumbe. Unataka wananchi wachukie hawa wazee wetu.
Hapa amani ya taifa imeingiliwa. Ww itakua ni mtu wa Nje unataka ugombanishe watanzania. Masuala ya kijasusi unaandika hv kweupe.
Nasisi tumeamini. Mtu ameandika yaleyale na kuunganisha ya kwenye vijiwe juu ya viongozi wetu.
We need critical thinking on this Kama watanzania.
Mapugufu yapo katika Usimamizi wa rasilimali zetu na Kodi. Lakn huu uandishi unafikilisha.
Eeeh Mungu tulindie taifa letu hata Kama wezi wapo.
 
Yoga ww ni Mtanzania Kweli ??. Umetumwa kugombanisha viongozi wetu. This smells bad. Your codes ziko open ili ufikishe ujumbe. Unataka wananchi wachukie hawa wazee wetu.
Hapa amani ya taifa imeingiliwa. Ww itakua ni mtu wa Nje unataka ugombanishe watanzania. Masuala ya kijasusi unaandika hv kweupe.
Nasisi tumeamini. Mtu ameandika yaleyale na kuunganisha ya kwenye vijiwe juu ya viongozi wetu.
We need critical thinking on this Kama watanzania.
Mapugufu yapo katika Usimamizi wa rasilimali zetu na Kodi. Lakn huu uandishi unafikilisha.
Eeeh Mungu tulindie taifa letu hata Kama wezi wapo.
Umeichukulia kiutofauti sana kiongozi
hii ni story km story zingine,najiuliza kwni watu wameshindwa kujenga picha nyingine zaidi ya hzo zinazofikiliwa
 
Umeichukulia kiutofauti sana kiongozi
hii ni story km story zingine,najiuliza kwni watu wameshindwa kujenga picha nyingine zaidi ya hzo zinazofikiliwa
Ikiwa ni story Kama story zingine haina shida mkuu lkn umeona wachangiaji wegne wanahusianisha na watu bila kupepesa na codes zingne ni rahisi kuelewa. Huoni chuki inapandwa kwa watu.
 
Yoga ww ni Mtanzania Kweli ??. Umetumwa kugombanisha viongozi wetu. This smells bad. Your codes ziko open ili ufikishe ujumbe. Unataka wananchi wachukie hawa wazee wetu.
Hapa amani ya taifa imeingiliwa. Ww itakua ni mtu wa Nje unataka ugombanishe watanzania. Masuala ya kijasusi unaandika hv kweupe.
Nasisi tumeamini. Mtu ameandika yaleyale na kuunganisha ya kwenye vijiwe juu ya viongozi wetu.
We need critical thinking on this Kama watanzania.
Mapugufu yapo katika Usimamizi wa rasilimali zetu na Kodi. Lakn huu uandishi unafikilisha.
Eeeh Mungu tulindie taifa letu hata Kama wezi wapo.
Mkuu simulizi inapotolewa wewe jenga akilini mwako picha inayokijia, hayo mengine kuhusu "codes" ni za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Yoga ww ni Mtanzania Kweli ??. Umetumwa kugombanisha viongozi wetu. This smells bad. Your codes ziko open ili ufikishe ujumbe. Unataka wananchi wachukie hawa wazee wetu.
Hapa amani ya taifa imeingiliwa. Ww itakua ni mtu wa Nje unataka ugombanishe watanzania. Masuala ya kijasusi unaandika hv kweupe.
Nasisi tumeamini. Mtu ameandika yaleyale na kuunganisha ya kwenye vijiwe juu ya viongozi wetu.
We need critical thinking on this Kama watanzania.
Mapugufu yapo katika Usimamizi wa rasilimali zetu na Kodi. Lakn huu uandishi unafikilisha.
Eeeh Mungu tulindie taifa letu hata Kama wezi wapo.
Zile simulizi za kwenye vitabu mbona hamjawahi kuzihoji? Ukitaka kuenjoy maisha bila stress wewe soma simulizi bila kuweka hisia zako. all the best
 
Nimeonyeshwa kuwa patatokea tetemeko kubwa la ardhi hapa Tanzania ,...ambalo litaharibu makazi,.miundo mbinu nchini na baadhi ya maisha ya watu yatapotea..tujiandae kisaikolojia ndugu zangu..
Magumu tunayopitia kama kampuni yanaenda kutatuliwa Kwa "CODE" ifuatayo:

Yuaja CEO baada ya huyu na atakaa muda mrefu Ili atimize yafuatayo,

(2 Wafalme 9:6-7).
Akainuka akaingia nyumbani, naye akayamimina Yale mafuta kichwani mwake, akamwambia,

BWANA, Mungu wa Israel, asema hivi, nimekutia mafuta uwe mfalme juu ya watu wa BWANA, yaani juu ya ISRAEL,

Nawe utawapiga NYUMBA ya Ahabu, bwana wako, Ili nijilipize KISASI Cha DAMU ya watumishi wangu manabii, na Damu ya watumishi wote wa BWANA mkononi mwa Yezebeli.

Amen
 
Magumu tunayopitia kama kampuni yanaenda kutatuliwa Kwa "CODE" ifuatayo:

Yuaja CEO baada ya huyu na atakaa muda mrefu Ili atimize yafuatayo,

(2 Wafalme 9:6-7).
Akainuka akaingia nyumbani, naye akayamimina Yale mafuta kichwani mwake, akamwambia,

BWANA, Mungu wa Israel, asema hivi, nimekutia mafuta uwe mfalme juu ya watu wa BWANA, yaani juu ya ISRAEL,

Nawe utawapiga NYUMBA ya Ahabu, bwana wako, Ili nijilipize KISASI Cha DAMU ya watumishi wangu manabii, na Damu ya watumishi wote wa BWANA mkononi mwa Yezebeli.

Amen
Mkuu
Nyumba ya Ahabu itakayopigwa ni ipi!!? MAFISADI na chama chao kilichodumu madarakani muda mrefu au!!?
 
Mkuu
Nyumba ya Ahabu itakayopigwa ni ipi!!? MAFISADI na chama chao kilichodumu madarakani muda mrefu au!!?
Wanadhani wamejipanga na safu zao kuhujumu members wa kampuni wakidhani kwamba hayupo wa kuwazuia lakini,

Kwa yanayoendelea hivi sasa CEO ajaye itabidi awe wa mkono wa chuma kupondaponda waovu wote Hilo HALIKWEPEKI.

Njia Gani itatumika hayo yatimie, Mungu ajua na hajawahi shindwa.

Kwa Mungu Pana majibu yote, wakitubu na kubadilika yaeza badilika pia.

Amen.
 
Back
Top Bottom