mnyalukolo2000
Member
- Nov 28, 2020
- 6
- 5
I just want to know who planned the journey of msimamiz wa shughuli? and the CEO of those days didn't know?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Satan says 👎5 days remain... I repeat 5 days remain...
Almas inatumika sana kwenye masuala ya uhamasishaji hasa kama kunakuwa na maslah ya wazee wa Mujini.Kama sio Dhahabu atakuwa nani sasa! Maana zinaiva kweli na BT, na nadhani huwa anamtumia kwenye mission zake, dhahabu ni loyal sana kwa BT
Kongamano la kanisa la kiroho katika kampuni likiongozwa na mpakwa mafuta waoNajua Hilo. Ni maombi yangu maisha ya Jirani zetu yasiwekwe hatarini sababu ya mipango ya Gizani.
Yanayoonekana kuhusu majirani Si MAZURI, bt ni wajibu wetu kuomba ajili Yao.
Leo 9/8 ktk kitovu Cha Nchi Pana kongamano kuombea Nchi, Si coincidence, Mungu atusaidie EA, Tanzania ikiwemo.
Ameeeen.
Mwaka Jana Giza lilivyozidi ktk Nchi walirudi kati, ktk moyo wa Nchi kupeleka mashtaka na Mungu akajibu.Kongamano la kanisa la kiroho katika kampuni likiongozwa na mpakwa mafuta wao
Hilo kongamano wamejaa watu wa kiroho kutoka kila branch ya kampuni linafanyika katika kitovu cha kampuni wiki hii.
Mungu ni mwema wakati woteMwaka Jana Giza lilivyozidi ktk Nchi walirudi kati, ktk moyo wa Nchi kupeleka mashtaka na Mungu akajibu.
Shetani alipanga ampige MCHUNGAJI Ili sisi kondoo tupoteane, tutawanyike Hadi Kwa majirani tukihangaika!!!
Bt Mungu ni Mwema, pamoja na kupigwa mchungaji Bado hatukutawanyika. Maombi yalisaidia.
Tarajia tena mwakani HUKUMU Kwa waovu maana tumepeleka mashtaka Kwa MFALME ALIYE JUU ya yote kuhusu mateso raia na wenye HAKI wanayopitia.
Ameeeen.
itakuwa vipi kama Y.O.G.A ni mwanaumeHuyu mama aliyeonekana mostly kwenye hizi picha ndiyo malkia wa Uzi huu.
Matokeo ya uchaguzi si yatatangazwa hii siku.5 Days to go[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]!!
10/08
Hatarii sana!! Ngoja tuone itavokua mkuuMatokeo ya uchaguzi si yatatangazwa hii siku.
Jwtz au polisi?Nimeona vikosi vikijiandaa kwenda 254
Sasa mpaka utafsiriwe ?? Hii si story tu au?Jwtz au polisi?
CCMKabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
Tuendelee kuomba Kwa ajili ya Jirani zetu wamalize mchakato wa uchaguzi salama.Nimeona vikosi vikijiandaa kwenda 254
Mi nimeona comment yako iko kwenye page ya 254!!! 🤔🤔🤔🤔Nimeona vikosi vikijiandaa kwenda 254