Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kwenye ile kampuni, wanataka wawe na mfumo wa mbadilishano wa ma ceo ambao hapatawahi kuwa na ugomvi na pia system ya board of directors iaminike kwa ma customer.

Unajua mibadilishano mingine ya ma ceo baada ya imo kuachia ngazi imekua na vurugu kwa sababu hapo ni vita vya mafahali wawili....yani humo humo ndani ya board of directors.

Yote haya yaliletwa na profesa wa mambo ya kampuni ceo imo himself ambaye alitumia mbinu hiyo ya kuwagawanya customers ili abaki kwenye u ceo kwa muda mrefu. Kila aliyepo ngazi za juu au ana kaushawishi saivi...kama kina lady gaga, lonzoka, saliamu, n.k..wote kwa tasfida wanaitwa watoto wa imo. Yani kila mmoja alichaguliwa na imo mwenyewe au tuseme ndio amewakuza.

Ceo wa sasa na odii, wao baba zao walikuwa mmoja ni ceo...na mwenzake assistant...wakapishana sera.

Sasa, ikumbukwe kwamba odii ni jamaa limebobea mpaka baba yake mwenyewe alikubali jamaa ni noma...sema sasa alimletea imo competition kali, enzi zile ilikuwa imo anakupoteza...ila si unajua odii ni mwanafamilia. Kwa iyo imo akamueka odii ndani tu, hapo ni baada ya babaake odii kumuomba imo amsitiri mwanae...hata alivyomuachia nje bado odii alikua kiboko...yani odii ndio alisambaratisha kile kiwanda cha nuka...kukawa na mfumo wa viwanda vingi. Pale sasa ni kwamba odii alikuwa anajaribu kuwaelewesha board of directors kwamba msijisahau sana mkaacha kuwajali customers la sivyo itakula kwenu.

Board of directors wakawa wanapuuzia...lakini wamekuja kumuelewa. Na istoshe walikua wanamuona odii kama mtoto mtukutu...kama vile anaweza akarevenge. Ila sasa hawana option...na odii nae wamekuja kujua ni mpenda kampuni toka rohoni...hana ubaya na mtu.

Sasa wamepata adui mpya, kwa iyo ikabidi wa sort tofauti zao.. ili waweze kumaliza huyu adui ambaye wanaona kama ni moja wapo ya makosa ya imo. Na pia wao wenyewe waweke mambo yao sawa maanake wanaona customers watakuja wapindua.

Kwa iyo...vurugu hawataki saivi...na hawataruhusu...maanake vurugu ni effects za uongozi wa imo. Na hapo kama sio katiba ya kampuni ya saivi, toru angekuwa saivi yuko nyumbani hakuna anayemkumbuka.

Kwa mfano ceo wa sasa...babaake alikuwa ceo, imo ndio amemtengenezea system...akamfundisha afike hapo alipo...na ndie aliemshauri arekebishe makosa hayo, bakiki alikuwa godfather wake...na ndiye aliempa jina la free...wote hao wamekua ma ceo....hadi sasa. Ndo system iyo...
Upumbavu tu asa bakiki nyokonyoko Hadi wakenya mnaogopa kuwataji stupid
 
After the date of inauguration of Mr Jaluo's is out right!!?

We are waiting!!!...
I noticed taarifa za VIPEPEO'' wakidai odii kupigwa mapema Bt akiwa Kwa mission.

Yoga alete simulizi asee, itakuwa very interesting.

Hatimaye JUA limechomoza katikati ya WINGU Zito la GIZA lililotanda.

Imewezekana Kwa Jirani, I SEE IT COMING kwetu pia.

Ameeeeen.
 
I noticed taarifa za VIPEPEO'' wakidai odii kupigwa mapema Bt akiwa Kwa mission.

Yoga alete simulizi asee, itakuwa very interesting.

Hatimaye JUA limechomoza katikati ya WINGU Zito la GIZA lililotanda.

Imewezekana Kwa Jirani, I SEE IT COMING kwetu pia.

Ameeeeen.
Coming it kwa tume ipi? 😂😂😂 Ndio kwanza Jakaya kaenda kujifunza mbinu ya kuwadhibiti hata mkitumia system ya Kikenya
 
Back
Top Bottom