ligas
Senior Member
- Jul 24, 2022
- 117
- 157
Watu wanateka nchi nzima iwe deep state?huyuhuyu BT aliyeiteka dip state, yaani dip state inatekwa na binadamu mmoja hahahaha, unaiju dip state? kuiteka dip state maana yake wewe ni zaidi ya Taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanateka nchi nzima iwe deep state?huyuhuyu BT aliyeiteka dip state, yaani dip state inatekwa na binadamu mmoja hahahaha, unaiju dip state? kuiteka dip state maana yake wewe ni zaidi ya Taifa.
Hao deep state ni watu kama wewe na bt aliweza kuwaumiza kwa sababu alijua Siri zao yaani aliwajua.bt kwisha habari yake.huyuhuyu BT aliyeiteka dip state, yaani dip state inatekwa na binadamu mmoja hahahaha, unaiju dip state? kuiteka dip state maana yake wewe ni zaidi ya Taifa.
hiyo inaitwa mwaga ugali nimwage mboga.Hao deep state ni watu kama wewe na bt aliweza kuwaumiza kwa sababu alijua Siri zao yaani aliwajua.bt kwisha habari yake.
Hao deep state ni watu kama wewe na bt aliweza kuwaumiza kwa sababu alijua Siri zao yaani aliwajua.bt kwisha habari yake.
itakuwa anamaanisha dp state wa kijani labda.narudia tena unaijua dip state au unaisikia?
get the time to learn it, how it operate and may be the structure. You think is the small thing for someone to penetrate and lobby?...
If someone can lobby and manage the dip state, I am not sure if this nation would be alive todate. I hope you know the big land other side of lake Tanganyika and what used to happen time to time....
Amini na moobutu waliwezaje kuwa dictators Kwa level zile kama mifumo hiyo haiingiliwi?itakuwa anamaanisha dp state wa kijani labda.
huyuhuyu BT aliyeiteka dip state, yaani dip state inatekwa na binadamu mmoja hahahaha, unaiju dip state? kuiteka dip state maana yake wewe ni zaidi ya
Kwa nchi yetu sidhani hata Kama Kuna hiyo deep state,Kama ipo basi wote ni wezi na walafi wa mali za umma.Amini na moobutu waliwezaje kuwa dictators Kwa level zile kama mifumo hiyo haiingiliwi?
Yaani tujisifu kulinda mipaka wakati ndani raslimali zinagawanwa holela na wananchi taxpayers wanateseka Kwa ufukara uliokithiri?
Intelligence ya kiuchumi haifanyi KAZI? Ni ulinzi wa mipaka pekee?
Hapo nami hua nashangaa kwenye wizi wa raslimali za kampuni hua wako wapi au wanabariki hayo?Amini na moobutu waliwezaje kuwa dictators Kwa level zile kama mifumo hiyo haiingiliwi?
Yaani tujisifu kulinda mipaka wakati ndani raslimali zinagawanwa holela na wananchi taxpayers wanateseka Kwa ufukara uliokithiri?
Intelligence ya kiuchumi haifanyi KAZI? Ni ulinzi wa mipaka pekee?
Yoga is right mifumo hiyo huvurugwa!!!!Hapo nami hua nashangaa kwenye wizi wa raslimali za kampuni hua wako wapi au wanabariki hayo?
Usikaze kichwa mfumo wowote uliotengenezwa na binadamu unaweza kuharibiwa.bt alipata access ya kuwajua Kwa kuwa alikuwa kijana wao Kwa hiyo kama unamjua adui wako ni rahisi kumsambaratisha.hapo unaambiwa bt alitengeneza deep state yake ili atawale Maisha yake yote.narudia tena unaijua dip state au unaisikia?
get the time to learn it, how it operate and may be the structure. You think is the small thing for someone to penetrate and lobby?...
If someone can lobby and manage the dip state, I am not sure if this nation would be alive todate. I hope you know the big land other side of lake Tanganyika and what used to happen time to time....
Kuna kitu pengine hujakipambanua kwa uzuri unaotakiwa....narudia tena unaijua dip state au unaisikia?
get the time to learn it, how it operate and may be the structure. You think is the small thing for someone to penetrate and lobby?...
If someone can lobby and manage the dip state, I am not sure if this nation would be alive todate. I hope you know the big land other side of lake Tanganyika and what used to happen time to time....
Ndio kiongozSijui umeelewa sasa Little Kid
chlorine gas
Mkuu" Ndege Yao ikiungua angani".
Ameeeen
Yoga is right mifumo hiyo huvurugwa!!!!
Mfano wanawezaje kuhamisha pesa za walipa KODI kupeleka abroad na mifumo inaona na isichukue hatua?
It makes sense. Labda tuseme dipst haikua powerful enough ki intelijensia mpaka kuhakiwa na kudhoofishana wenyewe. Wao njia yao hua ni kumuondo msaliti duniani, je kwa nini hakufanya hivyo? Maana lazima waligundua usaliti.Kuna kitu pengine hujakipambanua kwa uzuri unaotakiwa....
BT alikuwa ni mmoja wao na alijua everything kuhusu wao, na ndani yao alijipatia wafuasi wenzake na kuunda watu wapya watakao fuata nyanja hiyohiyo na ambao watakuwa royal kwake na alipokuja kuwa CEO alikuwa na power ×2 ..
Haikutumika nguvu ya mtu mmoja pekee bali za walio miongoni mwao.
Nadhani nitakuwa nimekuweka sawa mkuu
No sir...Yangu yapo kiroho kabisaaa...Codes zangu hazioani na za hii story, am on my own ways...Nadhani Rabon ananielewa zaidi ya wengi humu...Ukitaka kunielewa basi lugha yangu nia ya kimbingu si za kibinadamuMkuu
Anamaanisha yale yale ya Juvenile habyarimana na Buyoya walipoungua wakati akitua Rwanda!!?kutokuwa Ikulu yetu!!?
Tunasubiri kama ni Hivyo
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!