Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Sorry
emoji27.png
View attachment 2346720

My gosh.........
emoji854.png
emoji854.png


I wish i could show you the work that goes behind the scene my dear .................................

Mkuu unabii unasemaje kuhusu Burundi???
Hilo swali muulize SAMURAI, Mambo ya deep dark, deep state, watu wa mbali GIZANI nk.

Pia waziri wa KIBUBU ana taarifa muhimu ndo maana amerudia na kusisitiza watu wahamie huko.
 
Mkuu unabii unasemaje kuhusu Burundi???
Anyway, Kuna wimbi linaanzia magharibi linakuja pande za huku kwetu, mawe makubwa yanageuka moto yanatishia kuiunguza bendera ya Mahali Fulani,

Maombi yaendelee bila kuchoka Ili bendera isiungue, bt adhabu Kwa waongoza njia haiepukiki.

Ndugu OSORO ww ni mmoja wa wale jamaa, umeshindwa kuchakata Hadi uulize unabii???
 
Anyway, Kuna wimbi linaanzia magharibi linakuja pande za huku kwetu, mawe makubwa yanageuka moto yanatishia kuiunguza bendera ya Mahali Fulani,

Maombi yaendelee bila kuchoka Ili bendera isiungue, bt adhabu Kwa waongoza njia haiepukiki.

Ndugu OSORO ww ni mmoja wa wale jamaa, umeshindwa kuchakata Hadi uulize unabii???
Siyo kweli Mimi ni kama Wewe(Customer) ila nashukuru japo kwa ab's.
 
Jamani pamoja na muendelezo wa Riwaya ya YOGA lakini mnafatilia yanayoendelea kwa ndugu zetu wa magharibi(Burundi)? JAMANI tuombeni sana Amani ndani ya nchi yetu na uhuru tulionao na hii Amani tuilinde na kuidumisha kwajili ya vizazi na vizazi.
Siko upande wowote zaidi zaidi ninachojua Mi ni mzalendo kwa Taifa langu.
Burundi kuna nn mkuu ? Nn kinachoendelea huko ?
 
Anyway, Kuna wimbi linaanzia magharibi linakuja pande za huku kwetu, mawe makubwa yanageuka moto yanatishia kuiunguza bendera ya Mahali Fulani,

Maombi yaendelee bila kuchoka Ili bendera isiungue, bt adhabu Kwa waongoza njia haiepukiki.

Ndugu OSORO ww ni mmoja wa wale jamaa, umeshindwa kuchakata Hadi uulize unabii???
Mkuu

Kuna mdau kasema kwamba tayari vuguvugu limeshaanza rasmi la mapinduzi huko west!hasa huko tunakoambiwa tuhamie kukimbia Tozo!!

Ndio mwanzo wa unabii kutimia!?

"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
 
Mkuu

Kuna mdau kasema kwamba tayari vuguvugu limeshaanza rasmi la mapinduzi huko west!hasa huko tunakoambiwa tuhamie kukimbia Tozo!!

Ndio mwanzo wa unabii kutimia!?

"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
BT, DS ya kwetu na New CEO wapo live, pia sura ya BT inasadifu lipo jambo Halipo sawa Hadi anashauri uhuru wa members na sera ziboreshwe Ili kuwe shwari.

Tukumbuke pia brnd ni mtoto wetu kbs, anatuhusu.

Pia anavikumbusha vyombo kujidhatiti, kulinda amani kwetu na majirani. Naamini watakaa Kujadili baada ya shughuli kwisha.
 
Jamani pamoja na muendelezo wa Riwaya ya YOGA lakini mnafatilia yanayoendelea kwa ndugu zetu wa magharibi(Burundi)? JAMANI tuombeni sana Amani ndani ya nchi yetu na uhuru tulionao na hii Amani tuilinde na kuidumisha kwajili ya vizazi na vizazi.
Siko upande wowote zaidi zaidi ninachojua Mi ni mzalendo kwa Taifa langu.

Hivi kuna Amani gani unayoiongelea? Labda kama unalia kivulini na kutembelea vx na kila kitu bure, vinginevyo kwa watu wengi hakuna amani kabisa!
 
Mkuu ni nani!?


Kwani Godfrod Neyombare karudi tena kivingine!?

"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
Sijajua bado mkuu. Mwenyewe CEO ametoka hadhari na kusema kuna jaribio la mapinduzi dhidi yake. Amesema ajitokeze apambane nae kwa msaada wa MUNGU atashinda.

Jana akaitisha bunge haraka akamuondoa waziri mkuu na kiti akapewa waziri wa ulinzi na usalama.
 
Sijajua bado mkuu. Mwenyewe CEO ametoka hadhari na kusema kuna jaribio la mapinduzi dhidi yake. Amesema ajitokeze apambane nae kwa msaada wa MUNGU atashinda.

Jana akaitisha bunge haraka akamuondoa waziri mkuu na kiti akapewa waziri wa ulinzi na usalama.
Leo nimeongeza na RAFIKI YANGU mmoja hivi YEYE ni muha asili ya kongo!!!

Eti anasema kumbe kampuni yetu na ya kwao ilishaungana wakati wa late CEO na late CEO wa huko!!

Yaani kwenda kwenye halo kampuni ni rahisi Sana!!

Eti walinzi wa kampuni wa huko na HUKU kwetu alishabadilishana kitambo sana!Eli baadhi yao wapi HUKU na wengine kule!!

Nimeshangaa Sana!!

"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
BT, DS ya kwetu na New CEO wapo live, pia sura ya BT inasadifu lipo jambo Halipo sawa Hadi anashauri uhuru wa members na sera ziboreshwe Ili kuwe shwari.

Tukumbuke pia brnd ni mtoto wetu kbs, anatuhusu.

Pia anavikumbusha vyombo kujidhatiti, kulinda amani kwetu na majirani. Naamini watakaa Kujadili baada ya shughuli kwisha.
Haya mambo mazito mtu mkubwa wa ndani huwezi ongea ovyo.
Tanzania iko salama sasa kwa hili tabasamu la ushindi,jamani karibuni kijiweni kwangu nauza mihogo,viazi vitamu,Magimbi na maboga ya kuchemsha na chai,uji na juisi😬
Banda linakesha 😬😬🇹🇿 Amani imetawala.
 

Attachments

  • Screenshot_20220908-221918.png
    Screenshot_20220908-221918.png
    132.1 KB · Views: 103
Back
Top Bottom