Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

1" Hata ............niliyemuamini?
2 "acha wabaki na nchi yao"
3" Ee Mungu acha mimi nipumzike"

Yule mtumishi wa Mungu akatoka analia machozi baada ya misa fupi ya mwisho.

Hapo ndo yule msimamizi wa mawe na yule aliyeongea sana wiki mbilizilizopita wakaanza kuangaika waone kama watasaidia wakikuwa washachelewa na maagizo kutoka juu ya mlima yashatokà hivo ikaisha hivyo.
Mkuu,ebu fungua hizi code..yaelekea unajua kitu flani na wewe
 
"Mama Samia kama hujui wewe ni amana na zawadi ya mwenyezi Mungu kule kijijini, kwa watanzania na CCM, na Mungu hawezi kuichukua dhamana hiyo upesi, ukiondoka kabla ya 2025 Mungu atatupa mtu mwingine, watu wazuri hawafi ndio maana Kinana bado yupo, Jakaya bado anadunda" - Yusuf Makamba

"Naomba kurekebisha ulimi wa Kaka yangu Mzee Makamba ulivyoteleza wakati ananisifia alisema usiogope hutokufa, mtu mzuri hafi, hajakusudia kwamba wanaokufa ni watu wabaya, wote hapa tumefiwa, kwahiyo nirekebishe kipengele kile kisiende kikatumika vibaya,"- @samia_suluhu_hassan

"Mzee (Makamba) alikuwa kwenye 'emotional' alidhani amenikosea alivyoniambia si utakufa utatupisha, lakini akajirudisha akaniambia usijali mtu mzuri hafi, alikuwa kwenye emotional lakini hajakusudia vingine vyovyote,"- Rais Samia



"Mheshimiwa Rais usisikilize porojo za watu, kwamba sjui kuna kijana gani atagombea na mzee gani atagombea ni upuuzi mtupu, sio kwamba nasema nawazuia lakini simuoni mwana CCM 2025 atakayechukua fomu, labda mambo yaharibike sana kati ya sasa na wakati huo" - @jakayakikwete

MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA.
 
"Mama Samia kama hujui wewe ni amana na zawadi ya mwenyezi Mungu kule kijijini, kwa watanzania na CCM, na Mungu hawezi kuichukua dhamana hiyo upesi, ukiondoka kabla ya 2025 Mungu atatupa mtu mwingine, watu wazuri hawafi ndio maana Kinana bado yupo, Jakaya bado anadunda" - Yusuf Makamba



"Mheshimiwa Rais usisikilize porojo za watu, kwamba sjui kuna kijana gani atagombea na mzee gani atagombea ni upuuzi mtupu, sio kwamba nasema nawazuia lakini simuoni mwana CCM 2025 atakayechukua fomu, labda mambo yaharibike sana kati ya sasa na wakati huo" - @jakayakikwete

MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA.
Hiuo kauli ya kikwete sasa ndo imeonesha nani ni rais wa Tz.

"... labda kama mambo yataharibika sana kati ya sasa na wakati huo, 2025......."

Ina mambo kuna mambo yameharibika na yanaendelea kuharibika.

Yasipoharibika sana, ataendelea kuwa rais na yakiharibika sana, urais ndo basi.
 
"Mama Samia kama hujui wewe ni amana na zawadi ya mwenyezi Mungu kule kijijini, kwa watanzania na CCM, na Mungu hawezi kuichukua dhamana hiyo upesi, ukiondoka kabla ya 2025 Mungu atatupa mtu mwingine, watu wazuri hawafi ndio maana Kinana bado yupo, Jakaya bado anadunda" - Yusuf Makamba



"Mheshimiwa Rais usisikilize porojo za watu, kwamba sjui kuna kijana gani atagombea na mzee gani atagombea ni upuuzi mtupu, sio kwamba nasema nawazuia lakini simuoni mwana CCM 2025 atakayechukua fomu, labda mambo yaharibike sana kati ya sasa na wakati huo" - @jakayakikwete

MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA.
Mbona kauli hizo ni vitisho vya wazi kumshinikiza aondoke mwenyewe kabla mambo hayajawa mabaya zaidi!!!

Jamani jamani jamani, CEO anatishwa na wazee wahuni waziwazi tukiangalia!!!!
 
1" Hata ............niliyemuamini?
2 "acha wabaki na nchi yao"
3" Ee Mungu acha mimi nipumzike"

Yule mtumishi wa Mungu akatoka analia machozi baada ya misa fupi ya mwisho.

Hapo ndo yule msimamizi wa mawe na yule aliyeongea sana wiki mbilizilizopita wakaanza kuangaika waone kama watasaidia wakikuwa washachelewa na maagizo kutoka juu ya mlima yashatokà hivo ikaisha hivyo.
Actually ilimuumiza sana moyoni mwake,,,,na by the way naamini amepata pumziko TAKATIFU.
 
"Mama Samia kama hujui wewe ni amana na zawadi ya mwenyezi Mungu kule kijijini, kwa watanzania na CCM, na Mungu hawezi kuichukua dhamana hiyo upesi, ukiondoka kabla ya 2025 Mungu atatupa mtu mwingine, watu wazuri hawafi ndio maana Kinana bado yupo, Jakaya bado anadunda" - Yusuf Makamba



"Mheshimiwa Rais usisikilize porojo za watu, kwamba sjui kuna kijana gani atagombea na mzee gani atagombea ni upuuzi mtupu, sio kwamba nasema nawazuia lakini simuoni mwana CCM 2025 atakayechukua fomu, labda mambo yaharibike sana kati ya sasa na wakati huo" - @jakayakikwete

MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA.
Aiseeeeeeeeee[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Biashara imeishaaaa
 
"Mama Samia kama hujui wewe ni amana na zawadi ya mwenyezi Mungu kule kijijini, kwa watanzania na CCM, na Mungu hawezi kuichukua dhamana hiyo upesi, ukiondoka kabla ya 2025 Mungu atatupa mtu mwingine, watu wazuri hawafi ndio maana Kinana bado yupo, Jakaya bado anadunda" - Yusuf Makamba

"Naomba kurekebisha ulimi wa Kaka yangu Mzee Makamba ulivyoteleza wakati ananisifia alisema usiogope hutokufa, mtu mzuri hafi, hajakusudia kwamba wanaokufa ni watu wabaya, wote hapa tumefiwa, kwahiyo nirekebishe kipengele kile kisiende kikatumika vibaya,"- @samia_suluhu_hassan

"Mzee (Makamba) alikuwa kwenye 'emotional' alidhani amenikosea alivyoniambia si utakufa utatupisha, lakini akajirudisha akaniambia usijali mtu mzuri hafi, alikuwa kwenye emotional lakini hajakusudia vingine vyovyote,"- Rais Samia



"Mheshimiwa Rais usisikilize porojo za watu, kwamba sjui kuna kijana gani atagombea na mzee gani atagombea ni upuuzi mtupu, sio kwamba nasema nawazuia lakini simuoni mwana CCM 2025 atakayechukua fomu, labda mambo yaharibike sana kati ya sasa na wakati huo" - @jakayakikwete

MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA.
Naona ndimi zao zinazidi kuteleza tu!!
 
Back
Top Bottom