Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Aiseeeeeeeeee
emoji848.png
emoji848.png
emoji848.png
emoji848.png
emoji848.png


Biashara imeishaaaa
Yoga kama Yoga.
[emoji15][emoji1666][emoji120]
 
Mama anazungukwa kijanja na hawa wazee mr born town na mzee February: story ya [mention]yoga [/mention] imetupa mengi ukifatilia hawa wazee kwa umakini kuna dot znakuja + hizi kauli zao sema tusubir tuone wanasema haijaisha kama haijaisha kabisa
 
Kwa nini mzee February amesema kuwa ikitokea 2025 mama samia akiwa hayupo? Ataenda wapi? Inamaana anamuombea mabaya? Na anaona nini au emekiona nini huko mbele ::mambo ninmengi sana :inaelezwa kwenye politics hakuna neno linalotoka kwenye publicity by mistake: ngoja tuone [mention]yoga [/mention] atupe njia kidogo hapa
 
"Mama Samia kama hujui wewe ni amana na zawadi ya mwenyezi Mungu kule kijijini, kwa watanzania na CCM, na Mungu hawezi kuichukua dhamana hiyo upesi, ukiondoka kabla ya 2025 Mungu atatupa mtu mwingine, watu wazuri hawafi ndio maana Kinana bado yupo, Jakaya bado anadunda" - Yusuf Makamba

"Naomba kurekebisha ulimi wa Kaka yangu Mzee Makamba ulivyoteleza wakati ananisifia alisema usiogope hutokufa, mtu mzuri hafi, hajakusudia kwamba wanaokufa ni watu wabaya, wote hapa tumefiwa, kwahiyo nirekebishe kipengele kile kisiende kikatumika vibaya,"- @samia_suluhu_hassan

"Mzee (Makamba) alikuwa kwenye 'emotional' alidhani amenikosea alivyoniambia si utakufa utatupisha, lakini akajirudisha akaniambia usijali mtu mzuri hafi, alikuwa kwenye emotional lakini hajakusudia vingine vyovyote,"- Rais Samia



"Mheshimiwa Rais usisikilize porojo za watu, kwamba sjui kuna kijana gani atagombea na mzee gani atagombea ni upuuzi mtupu, sio kwamba nasema nawazuia lakini simuoni mwana CCM 2025 atakayechukua fomu, labda mambo yaharibike sana kati ya sasa na wakati huo" - @jakayakikwete

MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA.
Eee Mwenyezi Mungu tunakuomba tuondolee wazee Hawa wanaojivika hati milki ya nchi yetu,

wanamtisha kiongozi wetu waziwazi asitimize wajibu wake.

Tunakuomba utusikie.

Aaaamen.
 
Kwa nini mzee February amesema kuwa ikitokea 2025 mama samia akiwa hayupo? Ataenda wapi? Inamaana anamuombea mabaya? Na anaona nini au emekiona nini huko mbele ::mambo ninmengi sana :inaelezwa kwenye politics hakuna neno linalotoka kwenye publicity by mistake: ngoja tuone [mention]yoga [/mention] atupe njia kidogo hapa
Kuna watu wanajadili kauli yake ya kusema wazuri hawafi. Lakini wenye akili tunajadili between the lines, hapo Kuna namna huyu mama hatoboi 2025 nadhani amefikishiwa ujumbe.
 
"Mama Samia kama hujui wewe ni amana na zawadi ya mwenyezi Mungu kule kijijini, kwa watanzania na CCM, na Mungu hawezi kuichukua dhamana hiyo upesi, ukiondoka kabla ya 2025 Mungu atatupa mtu mwingine, watu wazuri hawafi ndio maana Kinana bado yupo, Jakaya bado anadunda" - Yusuf Makamba

"Naomba kurekebisha ulimi wa Kaka yangu Mzee Makamba ulivyoteleza wakati ananisifia alisema usiogope hutokufa, mtu mzuri hafi, hajakusudia kwamba wanaokufa ni watu wabaya, wote hapa tumefiwa, kwahiyo nirekebishe kipengele kile kisiende kikatumika vibaya,"- @samia_suluhu_hassan

"Mzee (Makamba) alikuwa kwenye 'emotional' alidhani amenikosea alivyoniambia si utakufa utatupisha, lakini akajirudisha akaniambia usijali mtu mzuri hafi, alikuwa kwenye emotional lakini hajakusudia vingine vyovyote,"- Rais Samia



"Mheshimiwa Rais usisikilize porojo za watu, kwamba sjui kuna kijana gani atagombea na mzee gani atagombea ni upuuzi mtupu, sio kwamba nasema nawazuia lakini simuoni mwana CCM 2025 atakayechukua fomu, labda mambo yaharibike sana kati ya sasa na wakati huo" - @jakayakikwete

MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA.
Duuuh ngumu kumeza hii. Tobaaaaah
 
Kuna watu wanajadili kauli yake ya kusema wazuri hawafi. Lakini wenye akili tunajadili between the lines, hapo Kuna namna huyu mama hatoboi 2025 nadhani amefikishiwa ujumbe.

Mr born town anamfariji mama kama vile haelewi game ilivyo sijui na mama naye anaelewa au haelewi ila mr born town inaonekana anawamudu sana kwenye kampuni
 
Back
Top Bottom