Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Cjui aandaliwe awe nanii sijuii hakuendelea kipande hicho ila kuna walakini

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Kwa mujbu wa story hakuna walakini huyo mtu anaandaliwa akawe waziri mkuu ,ameshakamilisha misheni zake alzotumwa lakin pia jamaa amehustle na akahenyeshwa haswa udhani syo mtu wao,Ila siasa ya bongo ni noma sana yani na wala haifai kuwa kmbelembele
 
Kwani yoga ndio kachimba maana alisema ni weekend (km 1 hv imeshapita)
Kuwa anashusha bampa to bampa
Au Kuna tamko lingine alitoa sikuwa karibu nalo
 
Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike

Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!

Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.

Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!

Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!

Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!

The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!

Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!

Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!

Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!

Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!

Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!

The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?

Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!

The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!

Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!

Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!

Let see will the new boss stick to the plan? or...


Itaendelea.......


Guess the company!??

Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...

Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
Mwenye ngu mpishe siyo kupayuka payuka tu bila ulinzi wowote.
 
Alafu kuna super nimeikuta pale bandarini wanashusha sijui unatoka nchi gani
Mnaharibu mada mambo ya super mchele sijui mchele wa mbeya shinyanga yana ingiaje humu ...............em tafuteni funguo mfungue code za humu zingine ngumu kama mawe ya mtoni .....
 
Mwenye kufungua code kidogo hapa
Mr freedom ni nani sio kwajina taja sifa zake tu nipate kuelewa pia new culture naomba mwenye uelewa afungue code kidogo tu niielewe story nzima
 
Mwenye kufungua code kidogo hapa
Mr freedom ni nani sio kwajina taja sifa zake tu nipate kuelewa pia new culture naomba mwenye uelewa afungue code kidogo tu niielewe story nzima

Freedom weka kiswahili halfu nenda nchi jirani ya KE tafuta mstaafu mwenye kufanania nalo.

Mr. Culture mwenyeKT wa vikoba upinzan huko aliwahi kua gaidi kwa kusemelewa ila sasa hivi ni Mt.
 
Mbona Bush baba aliua Vietnam amekuja kufa uzeeni natural death, George Bush mtoto, kaua Iraq na Afghanistan hadi leo anadunda, Idd Amin aliua sana kaja kufa uzeeni, nadhani wauaji si wote hupewa hukumu wakiwa duniani.
Marais wote huua ila hata vitabu vitakatif vimesema mweshimu kiongozi upate kibali kwake.

Ila wanapoua kwa nia ovu ya na ya maslahi binafsi.. Ndio hapo tofauti na Tatizo pia linapoanzia.
 
Back
Top Bottom