Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kwa hiyo tith walituwekea mgombea/CEO mgonjwa? Pia kwani huo ulinzi unaouzungumzia Kila wakati ulitoka mbinguni? Au walikuwa binadamu wanaweza kutumika,kutumika au kufanya wanalotaka?
 
CEO wa 4 alikiri ni mgonjwa na amewahi Hadi fanyiwa operation kuondoa saratani ya tezi dume. Sasa Cha ajabu mnachokataa kwa JPM haumwi ni Nini? Mtu kampeni hakufanya zaidi ya 60% ya ratiba aliyopangiwa.

Christian Eriksen nyota wa Manchester United mbona anavaa pacemaker na anacheza Mpira kama kawa. Imagine Mpira mnavyokimbizana na hajawahi pata shida uwanjani ndio sembuse JPM push up 5 zile?

Kama ni invisible power mbona hakufa? Au Nini kilizuia asife kwa invisible power aje kufa kwa visible power?
Ule mchezo wa bahasha jamaa walimuuza Muha bila kujua, au muha nae alijua bahasha ina nini ndani! Pale ndipo nisipo elewa
 
Mkuu kama hujazima kidude cha data basi utakuwa umeishiwa bado, nchi yetu pamoja na vyanzo vyake umeme ambao ni affordable ni wa maji, na hyo unayosema 60% ni gesi but ipo kwenye karatasi tu na ukiiweka kwenye uhalisia itageuka kuwa ya ghali zaidi,

Tuwe wa kweli linapokuja swala la maisha ya watu, nchi hii kuna mtu alitufundisha kuwa inawezekana ila kunawatu wanachepusha ukweli kwa kutuambia kuwa haiwezekani,

Kwa nn in 6yrs hatukuwa na hizi ngonjera? Au zimetoka wapi ghafula? The man alikuwa na mapungufu yake bt likija swala la how to take action , the man was fit, ukweli ubaki mengine yanaweza kuendelea

Hakuna muwa mtamu usiokuwa na pingili
Atakayeweka maslahi ya wengi mbele ndio atakayedumu na kushinda. No matter ni mchafu kiasi gani. Watanzania ni INNOCENT kiasi cha kuteswa na kuhujumiwa na interests za Wabinafsi wachache.

Tujifunze kujali wadogo starting from National level mpaka Family level. La sivyo wakati wa maumivu ukifika utaumia sana.
 
Wala hakuna spinning ni reasoning ya kawaida tu. Tatizo wengi wanapenda conspiracy theories. Mfano mtu anakomaa eti JPM alikua haumwi ila kapewa sumu, Sasa namuuliza kivipi kampeni alishindwa kufanya au alikua ameshapigwa sumu? Pia nimeuliza huko nyuma aliwahi dondoka Pemba and later Ruangwa na alipotea kama wiki mbili kabisa Hadi kina Zitto wakapost bendera nusu mlingoti..... Baadae akazinduka.

Miaka yote hiyo haikuwa sumu ila 2021 ndio sumu? Je asingezinduka baada ya kutoka Ruangwa nayo wangesema sumu?

Embu tuache conspiracy, ni ngumu sana kumuua Rais wa nchi maana sio kwa ulinzi ule wa kimwili na Roho. Anaweza kufa only when the deep state decides so and it cant be by polonium and taarifa zisingevuja kabisa.

Kwa hiyo deep state can't use polonium watataja jila lake na yeye afe? Hiyo Deep state ni watu kama wewe. Na wao pia wanakufa kama yeyote. Don't worship them to such extent. Mind uh.. [emoji6]
 
Kwa hiyo deep state can't use polonium watataja jila lake na yeye afe? Hiyo Deep state ni watu kama wewe. Na wao pia wanakufa kama yeyote. Don't worship them to such extent. Mind uh.. [emoji6]
Why would they use polonium wakati mgonjwa wa moyo anaweza kufa kwa "mshtuko" tu!!. Sumu anawekewa mtu ambaye huwezi mu access kiurahisi sio mtu ambaye unamuona Kila siku!! Hupaswi kuacha trace yoyote ukimaliza kazi ndio maana nakataa asingeweza kuuwawa kwa sumu kizembe hivyo.

Watu humu mna underrate sana ulinzi wanaojiwekea viongozi wa Afrika.
 
Why would they use polonium wakati mgonjwa wa moyo anaweza kufa kwa "mshtuko" tu!!. Sumu anawekewa mtu ambaye huwezi mu access kiurahisi sio mtu ambaye unamuona Kila siku!! Hupaswi kuacha trace yoyote ukimaliza kazi ndio maana nakataa asingeweza kuuwawa kwa sumu kizembe hivyo.

Watu humu mna underrate sana ulinzi wanaojiwekea viongozi wa Afrika.
thread imekosa ladha kabisaaa CODE zimewekwa kando yaani hamna ladha tena humu .......YOGA upo kona ipi .....
 
Why would they use polonium wakati mgonjwa wa moyo anaweza kufa kwa "mshtuko" tu!!. Sumu anawekewa mtu ambaye huwezi mu access kiurahisi sio mtu ambaye unamuona Kila siku!! Hupaswi kuacha trace yoyote ukimaliza kazi ndio maana nakataa asingeweza kuuwawa kwa sumu kizembe hivyo.

Watu humu mna underrate sana ulinzi wanaojiwekea viongozi wa Afrika.
Acha kulisha watu matangopori Hayati JPM aliuwawa na walamba asali ukiwemo na wew .
Sote tutakufa tu hata nyie mnao ona mna haki ya kuishi milele.
 
Acha kulisha watu matangopori Hayati JPM aliuwawa na walamba asali ukiwemo na wew .
Sote tutakufa tu hata nyie mnao ona mna haki ya kuishi milele.
Aliuwawa na nani mkuu? Si uende ukamuulize hata dokta wake anaitwa Kisenge pale JKCI mbona ana majibu yote. Tuache speculation kama angeuwawa trust me loose ends nyingi zingeshakua tied kuanzia kina Samike mpaka hao doctors wa Mzena na JKCI maana wangekua na ukweli wote.
 
Aliuwawa na nani mkuu? Si uende ukamuulize hata dokta wake anaitwa Kisenge pale JKCI mbona ana majibu yote. Tuache speculation kama angeuwawa trust me loose ends nyingi zingeshakua tied kuanzia kina Samike mpaka hao doctors wa Mzena na JKCI maana wangekua na ukweli wote.
Nyie ndiyo mnaharibu thread ....mleta mada alisema ni Simulizi sasa povu la nini...

Na unapaswa kujua kila mtu humu anafikiri kwa namna yake mwenyewe...

Usitake kuwapangia watu namna ya kufukiri...na usilazimishe watu kukubaliana na Fikra zako....
 
Back
Top Bottom