Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Waliokula kichwa cha dodo ki nadharia wanaweza kuwa kama ifuatavyo:
1. Current CEO (sababu ni ile dhana dodo angekuja kuwa mgombea na hatimaye awe makamu wa rais na in 2027 year current CEO angeuawa na dodo kuwa rais na hapo baadaye angemuachia kijana wa BT)
2. BT kwa sababu ya kuropoka au kukosa mvuto ili BT aweke mtu mwingine (dhana hii ni dhaifu mno) au pia inawezekana BT kamuwahi labda dodo alitaka awe ndiyo bosi wa kambi (bado dhana dhaifu)
3. Deep shiteti (inawezekana baada ya tafuta tafuta yao nani alimuua late CEO na wakaja na conclusion master mind wa mchezo wote ni dodo hivyo ikaamriwa auawe na then wengine waliobaki nao wauawe wote ila waanze na bosi wa genge la mauaji ya late CEO). Hii dhana ina nguvu namba mbili ikifuatiwa na ile dhana na current CEO.
4. Natural death (chanjo ya korona maana ilisemekana walio chanja watakufa within two to five years). Inawezekana pia ikawa siyo chanjo. Hii ni dhana ya kwanza ikifuatiwa na deep shiteti na ya tatu ni current CEO na ya mwisho ni BT.

Yote na yote hakuna mwenye uhakika ni theory gani ya ukweli kwa sababu mazingira ya uadui waliyojitengenezea kambi ya BT ni magumu sana na ni dhahiri vifo kwenye kambi yao vitaendelea kwa sababu deep shiteti ya bongo hata BT mwenyewe haijui kabisa na hakuna anayeijua kwa 100%.
Sio rahisi BT asiijue deep tst,,,ingawa Sina hakika na hilo
 
Waliokula kichwa cha dodo ki nadharia wanaweza kuwa kama ifuatavyo:
1. Current CEO (sababu ni ile dhana dodo angekuja kuwa mgombea na hatimaye awe makamu wa rais na in 2027 year current CEO angeuawa na dodo kuwa rais na hapo baadaye angemuachia kijana wa BT)
2. BT kwa sababu ya kuropoka au kukosa mvuto ili BT aweke mtu mwingine (dhana hii ni dhaifu mno) au pia inawezekana BT kamuwahi labda dodo alitaka awe ndiyo bosi wa kambi (bado dhana dhaifu)
3. Deep shiteti (inawezekana baada ya tafuta tafuta yao nani alimuua late CEO na wakaja na conclusion master mind wa mchezo wote ni dodo hivyo ikaamriwa auawe na then wengine waliobaki nao wauawe wote ila waanze na bosi wa genge la mauaji ya late CEO). Hii dhana ina nguvu namba mbili ikifuatiwa na ile dhana na current CEO.
4. Natural death (chanjo ya korona maana ilisemekana walio chanja watakufa within two to five years). Inawezekana pia ikawa siyo chanjo. Hii ni dhana ya kwanza ikifuatiwa na deep shiteti na ya tatu ni current CEO na ya mwisho ni BT.

Yote na yote hakuna mwenye uhakika ni theory gani ya ukweli kwa sababu mazingira ya uadui waliyojitengenezea kambi ya BT ni magumu sana na ni dhahiri vifo kwenye kambi yao vitaendelea kwa sababu deep shiteti ya bongo hata BT mwenyewe haijui kabisa na hakuna anayeijua kwa 100%.
Nadharia namba 2 naikubali kwa 99%
 
Sio rahisi BT asiijue deep tst,,,ingawa Sina hakika na hilo
Hapana bosi, deep shiteti yetu hakuna mwenye kuijua kwa 100%, hayupo na hatokaa kutokea. Kama CEO wa kwanza alishughulikiwa na akasafiri sembuse wengine? Pindi nasoma kuna mdau aliwahi nambia kuna kibao walikuwa wakifika wanapotea baadaye wanasema wametumwa ila baadaye sijui walimwezaje. Hivyo ni uhakika hakuna mwenye hati miliki na kuifahamu deep shiteti.
 
Aiseh Bas sawa!

Dodo hawezi kuwa Mzee kama alivaondikwa na yoga!!

Mzee ni mzee KWELI huyo wa newala ana miaka mingapi!!?

Waziri wa kampuni asiekuwa na wizara maalum!!?dodo hakuwahi kushika cheo hicho!!

Mi HUWA naamini Tumia akili ni mzee wa newala!!

Dodo itakua labda ni deep state au the originals ndio imesepa nae coz ni mpango kazi wa kusafisha wanaojiita wenye nembo ya kijani ya kampuni!lazima dodo afuatwe na kwamba senior na ndovu halafu Bt baadae pamoja na kp baadae kidogo!!!
 
Waliokula kichwa cha dodo ki nadharia wanaweza kuwa kama ifuatavyo:
1. Current CEO (sababu ni ile dhana dodo angekuja kuwa mgombea na hatimaye awe makamu wa rais na in 2027 year current CEO angeuawa na dodo kuwa rais na hapo baadaye angemuachia kijana wa BT)
2. BT kwa sababu ya kuropoka au kukosa mvuto ili BT aweke mtu mwingine (dhana hii ni dhaifu mno) au pia inawezekana BT kamuwahi labda dodo alitaka awe ndiyo bosi wa kambi (bado dhana dhaifu)
3. Deep shiteti (inawezekana baada ya tafuta tafuta yao nani alimuua late CEO na wakaja na conclusion master mind wa mchezo wote ni dodo hivyo ikaamriwa auawe na then wengine waliobaki nao wauawe wote ila waanze na bosi wa genge la mauaji ya late CEO). Hii dhana ina nguvu namba mbili ikifuatiwa na ile dhana na current CEO.
4. Natural death (chanjo ya korona maana ilisemekana walio chanja watakufa within two to five years). Inawezekana pia ikawa siyo chanjo. Hii ni dhana ya kwanza ikifuatiwa na deep shiteti na ya tatu ni current CEO na ya mwisho ni BT.

Yote na yote hakuna mwenye uhakika ni theory gani ya ukweli kwa sababu mazingira ya uadui waliyojitengenezea kambi ya BT ni magumu sana na ni dhahiri vifo kwenye kambi yao vitaendelea kwa sababu deep shiteti ya bongo hata BT mwenyewe haijui kabisa na hakuna anayeijua kwa 100%.
Namba 1 na 3 kwa 98% inawezekana
 
Waliokula kichwa cha dodo ki nadharia wanaweza kuwa kama ifuatavyo:
1. Current CEO (sababu ni ile dhana dodo angekuja kuwa mgombea na hatimaye awe makamu wa rais na in 2027 year current CEO angeuawa na dodo kuwa rais na hapo baadaye angemuachia kijana wa BT)
2. BT kwa sababu ya kuropoka au kukosa mvuto ili BT aweke mtu mwingine (dhana hii ni dhaifu mno) au pia inawezekana BT kamuwahi labda dodo alitaka awe ndiyo bosi wa kambi (bado dhana dhaifu)
3. Deep shiteti (inawezekana baada ya tafuta tafuta yao nani alimuua late CEO na wakaja na conclusion master mind wa mchezo wote ni dodo hivyo ikaamriwa auawe na then wengine waliobaki nao wauawe wote ila waanze na bosi wa genge la mauaji ya late CEO). Hii dhana ina nguvu namba mbili ikifuatiwa na ile dhana na current CEO.
4. Natural death (chanjo ya korona maana ilisemekana walio chanja watakufa within two to five years). Inawezekana pia ikawa siyo chanjo. Hii ni dhana ya kwanza ikifuatiwa na deep shiteti na ya tatu ni current CEO na ya mwisho ni BT.

Yote na yote hakuna mwenye uhakika ni theory gani ya ukweli kwa sababu mazingira ya uadui waliyojitengenezea kambi ya BT ni magumu sana na ni dhahiri vifo kwenye kambi yao vitaendelea kwa sababu deep shiteti ya bongo hata BT mwenyewe haijui kabisa na hakuna anayeijua kwa 100%.
Theory number 1& 3 zinaweza kuwa na ukweli hasa number 3 ndio uhalisia Niki refer na Uzi wa Tumainiel aliyoandika Kuna ukweli na kaandika tayari shoka liko kwenye Shina kukata watu wataliwa vichwa mpaka basi.
So it's the work of deep state
 
Dodo ni mango, born town ni Mr smile mstaafu

Waliokula kichwa cha dodo ki nadharia wanaweza kuwa kama ifuatavyo:
1. Current CEO (sababu ni ile dhana dodo angekuja kuwa mgombea na hatimaye awe makamu wa rais na in 2027 year current CEO angeuawa na dodo kuwa rais na hapo baadaye angemuachia kijana wa BT)
2. BT kwa sababu ya kuropoka au kukosa mvuto ili BT aweke mtu mwingine (dhana hii ni dhaifu mno) au pia inawezekana BT kamuwahi labda dodo alitaka awe ndiyo bosi wa kambi (bado dhana dhaifu)
3. Deep shiteti (inawezekana baada ya tafuta tafuta yao nani alimuua late CEO na wakaja na conclusion master mind wa mchezo wote ni dodo hivyo ikaamriwa auawe na then wengine waliobaki nao wauawe wote ila waanze na bosi wa genge la mauaji ya late CEO). Hii dhana ina nguvu namba mbili ikifuatiwa na ile dhana na current CEO.
4. Natural death (chanjo ya korona maana ilisemekana walio chanja watakufa within two to five years). Inawezekana pia ikawa siyo chanjo. Hii ni dhana ya kwanza ikifuatiwa na deep shiteti na ya tatu ni current CEO na ya mwisho ni BT.

Yote na yote hakuna mwenye uhakika ni theory gani ya ukweli kwa sababu mazingira ya uadui waliyojitengenezea kambi ya BT ni magumu sana na ni dhahiri vifo kwenye kambi yao vitaendelea kwa sababu deep shiteti ya bongo hata BT mwenyewe haijui kabisa na hakuna anayeijua kwa 100%.
No 3 👌
All in all bahari imeanza kujisafisha so tuendelee kula upepo mwanana 😎
 
Waliokula kichwa cha dodo ki nadharia wanaweza kuwa kama ifuatavyo:
1. Current CEO (sababu ni ile dhana dodo angekuja kuwa mgombea na hatimaye awe makamu wa rais na in 2027 year current CEO angeuawa na dodo kuwa rais na hapo baadaye angemuachia kijana wa BT)
2. BT kwa sababu ya kuropoka au kukosa mvuto ili BT aweke mtu mwingine (dhana hii ni dhaifu mno) au pia inawezekana BT kamuwahi labda dodo alitaka awe ndiyo bosi wa kambi (bado dhana dhaifu)
3. Deep shiteti (inawezekana baada ya tafuta tafuta yao nani alimuua late CEO na wakaja na conclusion master mind wa mchezo wote ni dodo hivyo ikaamriwa auawe na then wengine waliobaki nao wauawe wote ila waanze na bosi wa genge la mauaji ya late CEO). Hii dhana ina nguvu namba mbili ikifuatiwa na ile dhana na current CEO.
4. Natural death (chanjo ya korona maana ilisemekana walio chanja watakufa within two to five years). Inawezekana pia ikawa siyo chanjo. Hii ni dhana ya kwanza ikifuatiwa na deep shiteti na ya tatu ni current CEO na ya mwisho ni BT.

Yote na yote hakuna mwenye uhakika ni theory gani ya ukweli kwa sababu mazingira ya uadui waliyojitengenezea kambi ya BT ni magumu sana na ni dhahiri vifo kwenye kambi yao vitaendelea kwa sababu deep shiteti ya bongo hata BT mwenyewe haijui kabisa na hakuna anayeijua kwa 100%.
Sasa wewe ndo umepatia..

Ulichoandika ni sahihi.
Sikua nimefuatilia. Japo abt wahusika sitoandika. Its true its never a natural death. Walisoma gap BT hayupo town wakamaliza faster.

Siwezi disclose saanaa ila tujiandae kwa matukio ya kutikisa. Ndani ya miezi 6 hii. Mutaniambia. Its scary. Vigogo wanne hivi achana na tabibu wa family ambaye ni namba 1 aliyeruhusu haya. Walijua marehemu ni threat kwao hiyo 2025.

By the way, nilikua nataka kuulizia tu weya iz sasha[emoji2088][emoji2088]
 
No 3 [emoji108]
All in all bahari imeanza kujisafisha so tuendelee kula upepo mwanana [emoji41]
Nop. You are wrong. Tafuta taarifa zaidi. I wasnt informed about it mkuu. Ni kwakua nilijiaminisha tu lakini sivyo. Ukiachana na info, born town uliona alivyoongea juzi msibani? Kama unajua kusoma basi elewa jambo. Tuandae maturibai tuu mkuu. Yanayokuja ni balaa miezi 6 hii.
 
Sasa wewe ndo umepatia..

Ulichoandika ni sahihi.
Sikua nimefuatilia. Japo abt wahusika sitoandika. Its true its never a natural death. Walisoma gap BT hayupo town wakamaliza faster.

Siwezi disclose saanaa ila tujiandae kwa matukio ya kutikisa. Ndani ya miezi 6 hii. Mutaniambia. Its scary. Vigogo wanne hivi achana na tabibu wa family ambaye ni namba 1 aliyeruhusu haya. Walijua marehemu ni threat kwao hiyo 2025.

By the way, nilikua nataka kuulizia tu weya iz sasha[emoji2088][emoji2088]
Funguka kidogo hizo codes please

Sasha yupo Mbona Jana Tena alipostiwa
 
Funguka kidogo hizo codes please

Sasha yupo Mbona Jana Tena alipostiwa
Usiniponze wewe[emoji28]

Alikua wapi?

Just know embe dodo amefitiniwa. Plan angekuja kumiliki hiki kiwanja kwa upinzani. Kwahiyo ngogwe ni kivuli tu cha mbogamboga zetu. Sasa wameona kwann awe threat.. wakamzunguka. Huyu ni kwaajili ya kusafisha safisha. Mwamba alikua vzr. Kwahiyo wakafanya yao hilo kundi la watu kadhaaa... na sisi tunajiandaa kuwasindikiza wamfate dodo.

Dodo lived with phylosophy.
Dodo was a smart kid.
Kwanza kunyakuliwa na taasisi kama kanisa lilipata pigo, alikua awe padre mzuri sana[emoji28]
Waheshimu sana waseminary...
Wana kitu cha ziada.
Hapa its not even about BT. Ilikua kwaajili ya kusafisha.

Ukiachana na haya yote. Uligundua nini risala ya bt kwenye mazishi? Uliisoma body language yake na alivyoswitch chaap? Akatulia kimyaa baada ya hapo?
Kuna hekaheka sasa hivi huko KK SECURITY saa hizi hapalaliki.

Juu ya sasha sitaongelea kabisaa. Najipenda[emoji28][emoji28][emoji2088][emoji2088]
 
Back
Top Bottom