Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kwa ku connect dot. Mission ilikuwa BT aondolewe kwa msaada wa team tatu

New CEO
Late CEO
and
PK

Then after BT has been eliminated next is PK, the late CEO team. Hiyo code ya PJLK naona inamuhusu BT & PK at once. Labda tayar kuna uwezekano wa kuondolewa wote kwa pamoja baada ya anguko la dodo.

“Desert mission”
'Desert' hii itakuwa wapi mkuu?

Hiyo code sio mtu mmoja msomi?
 
'Desert' hii itakuwa wapi mkuu?

Hiyo code sio mtu mmoja msomi?

Hii code kwa kuwaza kwangu, naona kama ni open mission. Do or die mission.

Dessert as we now ni sehemu open. Sasa kama ni open maana yake, mwenye sharpness and faster target atamuwahi mwenzake.

Hapo ni team kama nne (new ceo, late ceo, mzee na pk) vs JK lkn kati ya team nne hizi pk anapaswa aondolewe baada ya jk. Lakini kwa hali ilivyo ni kuwahiana.

Pili desert mission ni moja ya mission ngumu, kwa mazingira ya jangwani yalivyo mkitumia muda mrefu kukamilisha mission kuna loss za kutosha.
Hivyo huenda tukapata taarifa “NGUMU KUMEZA, Kati ya sasa na dec.”
 
Hii code kwa kuwaza kwangu, naona kama ni open mission. Do or die mission.

Dessert as we now ni sehemu open. Sasa kama ni open maana yake, mwenye sharpness and faster target atamuwahi mwenzake.

Hapo ni team kama nne (new ceo, late ceo, mzee na pk) vs JK lkn kati ya team nne hizi pk anapaswa aondolewe baada ya jk. Lakini kwa hali ilivyo ni kuwahiana.

Pili desert mission ni moja ya mission ngumu, kwa mazingira ya jangwani yalivyo mkitumia muda mrefu kukamilisha mission kuna loss za kutosha.
Hivyo huenda tukapata taarifa “NGUMU KUMEZA, Kati ya sasa na dec.”
Desert mission ni kama unatafsiri tofauti, japo Sina uhakika.
 
Hii code kwa kuwaza kwangu, naona kama ni open mission. Do or die mission.

Dessert as we now ni sehemu open. Sasa kama ni open maana yake, mwenye sharpness and faster target atamuwahi mwenzake.

Hapo ni team kama nne (new ceo, late ceo, mzee na pk) vs JK lkn kati ya team nne hizi pk anapaswa aondolewe baada ya jk. Lakini kwa hali ilivyo ni kuwahiana.

Pili desert mission ni moja ya mission ngumu, kwa mazingira ya jangwani yalivyo mkitumia muda mrefu kukamilisha mission kuna loss za kutosha.
Hivyo huenda tukapata taarifa “NGUMU KUMEZA, Kati ya sasa na dec.”
Wawezakuwa mtazamo Sahihi mkuu
 
MKUU

Desert -Tanganyika!

KULE ni visiwani hakuna desert nyingine zaidi ya Tanganyika yetu mkuu!!

Huku kuna mtu anasaliti huku ndio maana ya desert mission!

Uelewa huru huu!!

Sidhan kama hili suala lina ubaguzi wa aina hii. Kwa kusoma Riwaya yote hata nyuzi za tumia akili ukizioanisha na hii riwaya bado hamna mlinganyo uliojaribu kuwaza.

Lakini utakuwa sahihi, mission yote itafanyikia kampuni bara. Hivyo nusu mlingoti zitakuwa nyingi.

Nachokiona, imefikia stage ya “NO WAY OUT, LET IT BE”
 
Sidhan kama hili suala lina ubaguzi wa aina hii. Kwa kusoma Riwaya yote hata nyuzi za tumia akili ukizioanisha na hii riwaya bado hamna mlinganyo uliojaribu kuwaza.

Lakini utakuwa sahihi, mission yote itafanyikia kampuni bara. Hivyo nusu mlingoti zitakuwa nyingi.

Nachokiona, imefikia stage ya “NO WAY OUT, LET IT BE”
Tunajaribu tu I decode!
 
Hili ni bandiko namba....siyo ukurasa namba.....
===
Katika mazingira ya Sasa naona ni sahihi yoga kusitisha uzi!!! Maana Kuna vitu vya kushangaza sana kwa namna jasho linavyowatoka wahusika katika kusafisha uchafuzi wa kampuni!!!
ok mkuu nimekupa
ila ngoja tusubiri mpaka desemba ambayo yoga katuambia maana unaweza kusema wanajisafisha kwa juu juu kutupumbaza wananchi lakini chini ya karpet kunafukuta si unajua watu wana visasi myoyoni mwao hasa wale wa kanda ya kaskz vs pwani
 
I so much agree with u. Unajua hata hawa tunaowaona wajinga si kweli. Ni siasa tu za kiafrica. Ni kama mawakili wa serikali. Yes. Inawezekana kbs hawa wa upinzani wanawaoutshine wa serikali lkn si kwamba wa serikali ni wajinga kama wengi wafikiriavyo. Kibatala always says TO BE THE BEST BE THE OPPONENT. So huwa inawajenga zaidi. Ni vile serikalini wako flexible. Siasa zinatuharibia sana watu wetu jamani. Speaker is very smart. Watu wa calibre yake achana nao kbs. Wako naturally beauty. Ila kikavazi nina pesa ningetungua magauni kama 20 hv ama 30 ya uturuki basi. Apendeze zaidi ya hapa jamani
Hivi mtu smart si pia anatakiwa kusimamia anachokiamini? Yaani unaburuzwa kama gari bovu halafu uwe smart? History will remember mzee wa viwango na speed as the best [emoji344] of all time...
 
Back
Top Bottom