Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Mzee wangu una kaukorofi lakini! Daah! 😄Vipi wenzangu unaona shida yoyote kumlipia deni mkeo?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wangu una kaukorofi lakini! Daah! 😄Vipi wenzangu unaona shida yoyote kumlipia deni mkeo?.
Mkuu Peaceforever , utakuwa hunijui, mimi ni mmoja wa watu pisi sana humu JF, kwanza huwezi nisikia nikitukana mtu, pili hata nikitukanwa najibu kwa asante sana na ubarikiwe!. Mimi sio mkorofi kabisa!, ni mtu poa sana!.Mzee wangu una kaukorofi lakini! Daah! 😄
Kagame ni kikaragosi cha Marekani katika maslahi yake pale Kongo.Smartkahn kuhusu Rwanda kama kuna ukweli fulani, namna ambavyo anaipelekesha Congo hadi unashangaa kabisa.
Nakuelewa mkuu, badala ya ukorofi isomeke "uchokozi" au "uchochezi"?!😄Mimi sio mkorofi kabisa!, ni mtu poa sana!.
P
Unatumia aliki ya kiutuuzima kuvumilia tusi lakini mkuu unaumia kwa ndani.Mkuu Peaceforever , utakuwa hunijui, mimi ni mmoja wa watu pisi sana humu JF, kwanza huwezi nisikia nikitukana mtu, pili hata nikitukanwa najibu kwa asante sana na ubarikiwe!. Mimi sio mkorofi kabisa!, ni mtu poa sana!.
P
Kwanza Economic Intelligence specifically kwenye bandari ikijumuisha mnyororo mzima wa biashara, usafiri na usafilishaji;Tuna mpaka mrefu sana na Kenya katika nchi tunazopakana. Tuna mpaka na Msumbiji, Congo, na nchi nyingine
Tushawishi kwanini unadhani Zanzibar imekaa vibaya. Ni kwa usalama upi
Kuhusu intelligence hapo no dought naunga mkono kwa huu mfumo, huu ndio msingi mzima wa usalama kwa yeyote, hali yoyote, wakati wowote na mahali popote pale, kwasababu kama utakua na uwezo wa kung'amua/kutambua hatari iliyopo mbele na namna sahihi ya kukabiliana nayo, utakua imara no matter how vulnerable you are. Tuchukulie mfano taifa la Israel walikua katikati lakini wanaendelea ku-survive hadi leo.Tulioishi wakati wa ' frontline states' na mapigano ya kudai Uhuru kwa nchi za kusini mwa Africa hatuoni tishio lolote la nchi jirani. Hata hivyo nakubaliana nawe kwamba 'Intelligence' tuliokuwa nayo si hii ya sasa hivyo kuwa vulnerable na nchi yoyote ni kitu possible. Hapa si suala la mipaka ni suala la 'Intelligence'
Mkuu mimi naona bado kigezo cha usalama kinanguvu kwasababu kama ulivyosema kwasasa hakipo, je? Vipi kesho na keshokutwa, Kwakua dunia haipo static inaenda inabadilika, basi tutegemee lolote linaweza kutokea, Mkuu mimi nahisi mbeleni huko kama tutakua tishio kwa namna moja ama nyingine hii zanzibar itatutumika kimkakati kitu-destabilize kidiplomasia kama ilivyo;Hoja ya ulinzi na usalama kama sababu za Muungano, ilikuwepo, HAIPO kwasasa. Dunia imebadilika sana
Ni kama hoja ya kuwa na makao Makuu Dodoma kwasababu za usalama, si kweli!
Kwanza sio kila tukano ni tusi!, neno mkorofi sio tusi! na wala sio tukano!, ila pia ni kweli kuna members humu wana midomo michafu, na kuna watu humu tuna ngozi ngumu Kobe utasubiri! hivyo tunavumilia yote!.Unatumia aliki ya kiutuuzima kuvumilia tusi lakini mkuu unaumia kwa ndani.
Tusi la kisiasa linauma sana mkuu.
Duh...!, sasa nimekuwa mkorofi!, labda kwa vile kuna watu wanawajua watu kuliko wanavyo jijua wenyewe, labda unieleze nina ukorofi gani?.Nakuelewa mkuu, badala ya ukorofi isomeke "uchokozi" au "uchochezi"?!😄
Sijui unataka kueleza nini, kwamba, Majirani watatumia bandari za Zanzibar kuliko za Tanganyika!!Kwanza Economic Intelligence specifically kwenye bandari ikijumuisha mnyororo mzima wa biashara, usafiri na usafilishaji;
Geographical location ya zanzibar imeji-position sehemu mbaya ukilinganisha na pwani ya tanganyika huku,
hasa ukizingatia routes za usafilishaji na miundombinu yake, ukiachilia mbali kua bandari muhimu, kubwa na shindani ukanda huu zipo karibu na zanzibar lakini pia ndio eneo pekee lililokaa kimkakati katika kuhakikisha mizigo ya majirani zetu inawafikia kwa wakati, huku ukizingatia ushindani na majirani zetu Kenya, msumbiji hata Angola kule.
Haya ni madai ya kukaririshwa tu. Kenya inashambuliwa na Al Shabab kama ilivyo Uganda. Msumbuji yapo makundi ya kigaidi kama ilivyo Congo na Rwanda. Hili la kusema Zanzibar kuna siasa kali ni hoja za kukaririshwa. Kwani Dini ipo Zanzibar peke yake? Yaani hayo makundi ya siasa kali hayawezi kutokea Mombasa au Kado Delgado ni lazima yatokee Zanzibar. Na ugaidi hasa ni kitu gani!. Please hizi ni hoja za kukaririshwa, ziachePili vitisho vya kigaidi, yanaweza yakaibuka makundi ya kigaidi yenye itikadi kali za kidini ikawa ngome yao kule, wakatuletea shida bara huku Kwakua tutakua tumekosa udhibiti wa moja kwa moja.
Hakuna kitu ni hoja tu za kukaririshwa toka enzi hizo kuhusu Usalama.Mkuu mimi naona bado kigezo cha usalama kinanguvu kwasababu kama ulivyosema kwasasa hakipo, je? Vipi kesho na keshokutwa, Kwakua dunia haipo static inaenda inabadilika, basi tutegemee lolote linaweza kutokea, Mkuu mimi nahisi mbeleni huko kama tutakua tishio kwa namna moja ama nyingine hii zanzibar itatutumika kimkakati kitu-destabilize kidiplomasia kam
Hahaa mkuu, umesema wewe nimtu poa, kuwaambia watu humu wanamidomo michafu ni ukorofi pia.Kwanza sio kila tukano ni tusi!, neno mkorofi sio tusi! na wala sio tukano!, ila pia ni kweli kuna members humu wana midomo michafu, na kuna watu humu tuna ngozi ngumu Kobe utasubiri! hivyo tunavumilia yote!.
P
Mkuu Liwagu japo ni kweli mimi ni mtu poa sana ila simaanishi mimi ni malaika!, na mimi ni binadamu tuu, I'm only a human being na nina madhaifu yangu kama binadamu mwingine yeyote, na moja ya dhaifu langu kubwa ni kuusema ukweli no matter what, bila kujali ukweli huu utamfurahisha nani au utamuudhi nani!, as long as ni ukweli nitausema. Sasa kama kwa kuwaambia watu ukweli nitatafsiriwa ni mkorofi, then mimi ni mkorofi.Hahaa mkuu, umesema wewe nimtu poa, kuwaambia watu humu wanamidomo michafu ni ukorofi pia.
Shukurani sana mkuu msakaa jr ila nafikiri Rais Tsheked akiamua kuwa na urafiki na Urusi pamoja na kundi la Wagnar group Mmarekani na vibaraka vyao hapo Congo anakalishwa chini.Kagame ni kikaragosi cha Marekani katika maslahi yake pale Kongo.
Juzi, mkuu wa kurugenzi ya intelijensia ya USA ameenda kuwapatanisha Kagame na Tshekedi.
Kwamba jeshi la Kongo liache kushirikiana na FDLR kwasababu ni tishio kwa utawala wa Kagame na utawala wake pale Kigali.
Kwa akili ya kawaida tu, sitarajii Tshekedi kuafikiana na pendekezo hilo.
Ni sawa na kupendekeza, Kagame awaondoe wapiganaji wa 'March 23 Movement' ndani ya Kongo.
Kwa maana hiyo, pendekezo linamlinda Kagame kuliko Tshekedi.
Hapa nililenga mipaka ya zanzibar hasa baharini kama tukitengana, haiwezi ku-interfere shughuli zetu za bandari.Sijui unataka kueleza nini, kwamba, Majirani watatumia bandari za Zanzibar kuliko za Tanganyika!!
"Sasa kama kwa kuwaambia watu ukweli nitatafsiriwa ni mkorofi, then mimi ni mkorofi."Mkuu Liwagu japo ni kweli mimi ni mtu poa sana ila simaanishi mimi ni malaika!, I'm only a human being na nina madhaifu yangu, na moja ya dhaifu langu kubwa ni kuusema ukweli no matter ukweli huu utamfurahisha nani au utamuudhi nani!, as long as ni ukweli nitausema. Sasa kama kwa kuwaambia watu ukweli nitatafsiriwa ni mkorofi, then mimi ni mkorofi.
P
Nikikuita NYANI MZEE sijakosea.Kwanza sio kila tukano ni tusi!, neno mkorofi sio tusi! na wala sio tukano!, ila pia ni kweli kuna members humu wana midomo michafu, na kuna watu humu tuna ngozi ngumu Kobe utasubiri! hivyo tunavumilia yote!.
P
Hujakosea kabisa maana naitafuta 60!.Nikikuita NYANI MZEE sijakosea.
Hongera mkuu, mapambano yaendelee mzee mkuu! 😄Hujakosea kabisa maana naitafuta 60!.
P
Duuuh watu wachokozi, hatari.Nikikuita NYANI MZEE sijakosea.
Wana mchokoza broo wangu, naye Mungu amemjaalia hekima, busara na moyo wa kustahimili.Hujakosea kabisa maana naitafuta 60!.
P