Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Mpo hapa?? Wa Zima nyie🥳🥳🥳🥳

Nimewamisss sana jamani😄🤣🤣

Mwenye swali namkaribisha leo, niulizie chochote, nataka kufunguka leo 🤣🤣🤣 bila codes kabisa, anyways vyovyote vile!!!

But usiniulize personal things, 🤣😀 I got time today............
Kwanini umekuja na kutaka kufunguka sasa baada ya mama kuwachimba mkwara jamaa wa kampuni nyingine? Unajua nini kuhusu utekaji na mauaji yanayoendelea sasa?
 
Mpo hapa?? Wa Zima nyie🥳🥳🥳🥳

Nimewamisss sana jamani😄🤣🤣

Mwenye swali namkaribisha leo, niulizie chochote, nataka kufunguka leo 🤣🤣🤣 bila codes kabisa, anyways vyovyote vile!!!

But usiniulize personal things, 🤣😀 I got time today............
yoga mama, nilikukumbuka sana uwe salama huko ulipo.
 
Nashukuru sana kukuona leo au kukusoma leo ukiwa na furaha tele tofauti na yoga wa kwenye Note book. Nina maswali yafuatayo.
1. Kulikuwa na purukushani ya BT na PK kwamba mmojawapo angeng'ata shuka ili kuyafanya mambo ya kampuni yaende vizuri. Je mpango huo bado upo palepale au umeahirishwa?

2. Kwakuwa mama kaamua kuwarudisha kwa kasi waliokuwa kwenye serikali ya JPM je kuna mahali tiss wamegundua kuna makosa waliyafanya kumu excute the boss?

3. Mama aliwarudisha kina Nape, Januari na baadhi ya wakuu wa idara na taasisi mbalimbali kwa aidha kudhani au kuonewa na the late, unafikiri ni kipi kilimfanya kuwatengua tena kwenye nafasi zao hasa kina Nape na Januari?

4. Ni nini mwelekeo wa kampuni kuhusu angalau kuwa na chama mbadala wa CCM ili basi angalau tuwe na mabadiliko ya uongozi tofauti na sasa ambapo chama twawala ni kama kimejimilikisha nchi na kimekosa maono ya kulipeleka taifa mbele.

5. Je ulitishiwa amani ndiyo maana ukaamua kuuacha mwendelezo wa dark days bila kujali maumivu makali tuliyokuwa tunayapitia tuliokuwa na uraibu mkubwa na uzi wako.

Ahsante kwa sasa!!
 
1) Huu utekaji nani ni mhusika mkuu??

2) Mama anahujumiwa??

3) Mama anakubalika na mfumo??

4) Born town vipi?? Amekaa sana kimya.Vipi ameelekea kibra??

5) Mtoto pendwa na wenzake wanarudishwa kwa nguvu, kuna kitu kizito kinaandaliwa??

6) Maandamano yana mkono wa nani??

7) Msiba mzito upo??

8) Mama leo kawagusa wenye dunia yao, atatoboa??

9) Ila safisha safisha ikulu ililenga nini??

10) Nani ajaye baada ya mama??

11) Tupe sababu ya kutokea leo jukwaani mara baada ya mama kuongea!

12) Unaonekana kama kuna kundi una maslahi nalo na unatumika kuchafua kundi lingine.Je, ni kweli??
Wacha we🤣🤣🤣

12. 🤣🤣🤣 Not true we are just having fun

11. Did she?? What ameongelea??🤣

10. That's to early to say, hope on the next story u will get ua answer.

08. Scanning viruses is allowed even in a computer isn't?

07. Yeah if he won't comply

06. Just a political game to keep the fools out

05. I think to win a heavy battle u need all weapons available

04. Pray for him

03. The system of our beloved company is like a hard drive in your computer it has two partitions, local disc C and local disc D, and there is a birth of local disc E, so being accepted is a process.

02. "Vita ni vita" a kuryan sayyng!

01. Mr BOMOM would have answered that very clear


🤣🤣🤣🤣 Hope ua satisfied
 
Nashukuru sana kukuona leo au kukusoma leo ukiwa na furaha tele tofauti na yoga wa kwenye Note book. Nina maswali yafuatayo.
1. Kulikuwa na purukushani ya BT na PK kwamba mmojawapo angeng'ata shuka ili kuyafanya mambo ya kampuni yaende vizuri. Je mpango huo bado upo palepale au umeahirishwa?

2. Kwakuwa mama kaamua kuwarudisha kwa kasi waliokuwa kwenye serikali ya JPM je kuna mahali tiss wamegundua kuna makosa waliyafanya kumu excute the boss?

3. Mama aliwarudisha kina Nape, Januari na baadhi ya wakuu wa idara na taasisi mbalimbali kwa aidha kudhani au kuonewa na the late, unafikiri ni kipi kilimfanya kuwatengua tena kwenye nafasi zao hasa kina Nape na Januari?

4. Ni nini mwelekeo wa kampuni kuhusu angalau kuwa na chama mbadala wa CCM ili basi angalau tuwe na mabadiliko ya uongozi tofauti na sasa ambapo chama twawala ni kama kimejimilikisha nchi na kimekosa maono ya kulipeleka taifa mbele.

5. Je ulitishiwa amani ndiyo maana ukaamua kuuacha mwendelezo wa dark days bila kujali maumivu makali tuliyokuwa tunayapitia tuliokuwa na uraibu mkubwa na uzi wako.

Ahsante kwa sasa!!
Wow!! Ntakoma today, nimeyataka 🤣🤣🤣


Any ways hope ntayajibu!!

1. As long as they are alive the war is still on!! But pray for him

2. Sometimes shirikiana na maadui umshinde adui mkuu

3. never go behind your boss

4. it won't happen labda mforce 🤣🤣🤣🤣 chezea wewe

5. No coment
 
Kwanini umekuja na kutaka kufunguka sasa baada ya mama kuwachimba mkwara jamaa wa kampuni nyingine? Unajua nini kuhusu utekaji na mauaji yanayoendelea sasa?
🤣🤣🤣 Tunazu gumza tu hapa!!

Ilo nikilijibu sasa I think ntakuwa naharibu the story ijayo,

Ila jua kuwa hakuna kitu kisicho na sababu mpenzi!!

Ask your self three times why always UNUNIO???
 
Bora hata umekuja kutusualimia at least tunajua uko pamoja na sisi .uwe unakuja mara kwa mara kutusalimia ukipata time . Nikwel ulikuwa unatishwa na watu juuu ya hii story
Anything to say kwanini watekwaji wengi wanakutwa ununio na why always ununion :;

Mbona tukio la kumteka yule kiongoz wa upande wapili limefanyika mchana kweupe sana ninini walidhamiria au kuna ujumbe walikuwa wanatuma upande wapili Na kwanini police kila wakat wanasema nch iko Salama As if kama hawaoni watu wanavyotekwa mchana kweupe tunaweza sema are the one doing so

Na je ni kwer yule kiongoz aliye tekwa mchana kweupe Nakutupwa alikuwa threat sana kwa watawala nch kuna loophole nying alikuwa anazijua
 
Mpo hapa?? Wa Zima nyie🥳🥳🥳🥳

Nimewamisss sana jamani😄🤣🤣

Mwenye swali namkaribisha leo, niulizie chochote, nataka kufunguka leo 🤣🤣🤣 bila codes kabisa, anyways vyovyote vile!!!

But usiniulize personal things, 🤣😀 I got time today............
yoga shukurani kwa kutoa fursa ya kuuliza maswali au nimechelewa?
 
Mpo hapa?? Wa Zima nyie🥳🥳🥳🥳

Nimewamisss sana jamani😄🤣🤣

Mwenye swali namkaribisha leo, niulizie chochote, nataka kufunguka leo 🤣🤣🤣 bila codes kabisa, anyways vyovyote vile!!!

But usiniulize personal things, 🤣😀 I got time today............
1. Je madai ya mama wa taarabu na mipasho kwamba kampuni fulani kwa mjibu wa intelligence walikuwa na mpango fulani wanapanga kisirisiri dhidi yake yana ukweli kiasi gani?

2. Kulingana na hotuba yake leo akiwatetea polish na huku akiwalaumu kampuni nyingine, je ni sahihi tukisema Polish au Twish wanahusika kwenye kuteka watu,kuwatesa na kuwaua kwa hivi karibuni?
3. Km ndivyo je kama kuna uhaini umeonekana kwenye kampuni ya pili kwa nini wasikamatwe na kupelekwa kwenye vyombo vya kisheria kuliko kufanya utekaji na uuaji???
 
Bora hata umekuja kutusualimia at least tunajua uko pamoja na sisi .uwe unakuja mara kwa mara kutusalimia ukipata time . Nikwel ulikuwa unatishwa na watu juuu ya hii story
Anything to say kwanini watekwaji wengi wanakutwa ununio na why always ununion :;

Mbona tukio la kumteka yule kiongoz wa upande wapili limefanyika mchana kweupe sana ninini walidhamiria au kuna ujumbe walikuwa wanatuma upande wapili Na kwanini police kila wakat wanasema nch iko Salama As if kama hawaoni watu wanavyotekwa mchana kweupe tunaweza sema are the one doing so

Na je ni kwer yule kiongoz aliye tekwa mchana kweupe Nakutupwa alikuwa threat sana kwa watawala nch kuna loophole nying alikuwa anazijua
Ntakujibu wewe deep kidogo UPATE PICHA KWANZA maana naona hii ishu Imeulizwa sana.


Iko hiv.........

Kampuni Ina security agency nyingi tu, lakini daily active security agency ni PCC and SSIT . These two must report daily to the CEO

BUT These two Were divided after the election of the late CEO!! Some didn't like late CEO and others did! (New one)

Remember SSIT has more power than PCC! 🤣

Sasa wakati wa late CEO, Kulikua na team BT inside SSIT, Hii was dealing with Late CEO People silently! At the same time kulikuaa na ujenzi wa team late CEO I'n side SSIT, to remove BT influence inside SSIT!

Yaaani Hii team ilikuwa Ina Kazi Moja kubwa ni ku hunt down na ku deal na wooote associated with BT in any how.

It means there was a war in side SSIT


Kufupisha story, after the new CEO came into power it was like team BT inside SSIT won the battle, Kwa msaada mkubwa wa the new CEO

New CEO after being given the throne she enjoyed it and want to become a god mother of the company! While the god father is still there

She played all the cards and failed most of the time, untill she remembers the existence of late CEO people inside the SSIT!

Anaamua ku collaborate nao ku fight against god father! She brought them back behind the scenes and give them authority, tena anawapa Sheria ya 2023 very fast 🤣🤣🤣

After that, those people wanaamua ku recruit members from PCC to in large their man power.

wanaweka goals mission and vision. To wards 2030 🤣🤣🤣

Wana apa kudeal na any one against new CEO. And the IR plan called 2030, Including their beloved enemy 🤣🤣🤣 BT

Wanapata special fund from the top! Na wanareport directly frome the top!! We hawa Ukiwagusa muulizee mzee "WASI "🤣🤣🤣

It's a group of SSIT inside SSIT ambao SI lazima kureport Kwa Bommo🤣🤣🤣 under the guidence of KP🤣

Wana magari Yao, offisi zao na watu wao all over the main big cities of the company. Wana power kupitia na kutumia any PCC post Ndani ya kampuni!

Most of them don't look like security agents, male and females of different kinds🤣🤣🤣!

These guys are now uncontrollable kiasi sasa hata new CEO she is worried!! Why?? Simply because She must listen to what they say and follow what they say towards 2030 succession plan!

Pray for her

Sasa kuhusu that abduction umeitaja next season utaipata deep with details.............

tenaaa this time with exclusive codes to prove what am saying 🤣

Thanks love
 
1. Je madai ya mama wa taarabu na mipasho kwamba kampuni fulani kwa mjibu wa intelligence walikuwa na mpango fulani wanapanga kisirisiri dhidi yake yana ukweli kiasi gani?

2. Kulingana na hotuba yake leo akiwatetea polish na huku akiwalaumu kampuni nyingine, je ni sahihi tukisema Polish au Twish wanahusika kwenye kuteka watu,kuwatesa na kuwaua kwa hivi karibuni?
3. Km ndivyo je kama kuna uhaini umeonekana kwenye kampuni ya pili kwa nini wasikamatwe na kupelekwa kwenye vyombo vya kisheria kuliko kufanya utekaji na uuaji???
Kuna post nimejibu hope utapata majib yako🙏
 
Mpo hapa?? Wa Zima nyie🥳🥳🥳🥳

Nimewamisss sana jamani😄🤣🤣

Mwenye swali namkaribisha leo, niulizie chochote, nataka kufunguka leo 🤣🤣🤣 bila codes kabisa, anyways vyovyote vile!!!

But usiniulize personal things, 🤣😀 I got time today............
1.Kwa nini January na Nape walitumbuliwa?
2.kwa nini huyo mwanachama wa chadema alitekwa hadharani na kuuwawa?
 
Back
Top Bottom