Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Wewe umezidi kunipenda aisee πŸ˜‚
Nilipo upo, sako kwa bako
Haha, kabla Mbaga hajashtuka, ngoja niache kukuganda.
Hopefully ni mzima kabisa..? Nilitaka nikusalimie tu maana ulipotea ghafla, nikawa na maswali hayana majibu.
 
Haha, kabla Mbaga hajashtuka, ngoja niache kukuganda.
Hopefully ni mzima kabisa..? Nilitaka nikusalimie tu maana ulipotea ghafla, nikawa na maswali hayana majibu.
Mbaga tena? πŸ™„
Mimi nimekwambia mwanaume sio kipaumbele changu, wewe tulia akitokea shemeji yako ntakwambia thawaa?? 😹

Vibuyu kuishi navyo kazi dogo.
 
Kuna mtu JF kitambo kidogo,aliweka link ya website ya Darkweb ya porn watu wanafanya na maiti...hah binadamu wana starehe za kishenziiiiiii,
Wanasaikolojia wanaiita necrophilia , jitu linakuwa na hamu ya ngono na maiti .
Dunia ina mengi , nimeona vitu vingi sana na vya ajabu dark web
Yaani ule ni ulimwengu mwingine kabisa
Kuna majitu mule Yana ulimwengu wao kabisa
 

Ok, thanks for your good information
 
Mtaharibu Uzi,mtapigwa ban,..huu Uzi wa Darkweb sio chitchat
Nongwa hizo, kwanza wachangiaji mlioweka link wote mnatakiwa mchunguzwe 😹

Nyie mpo kujadili vitu vya uhalifu hapa.
 
Nongwa hizo, kwanza wachangiaji mlioweka link wote mnatakiwa mchunguzwe 😹

Nyie mpo kujadili vitu vya uhalifu hapa.
Angalizo,ukiingia Darkweb ziba camera yako na plasta,au fungua simu itoe kabisa ..
 
Wewe kenge kaa kimya. Siwezi kujiita Stuxnet halafu nisijuwe maana. Rudi kwenye post yangu nilikujibu. Tatizo unajifanya mjuaji wsla huna unachojuwa. Wewe jihesabu mburura tu na endelea kujifunza
Asante kwa kuongea lugha yangu, nilikuwa najizuia
Wewe tutusa full mziki, nakuuliza unajua stuxnet ni nini, unabwabwaja tu mbuzi mweusi
Haya niambie hio stuxnet ilitumwa kufanya kazi gani? na ilifanyaje hiyo kazi ? , au unadhani kama viluwiluwi waliojaa kwenye simu yako kwa kuangalia mitandao ya ngono
Turudi kwenye upupu uliouliza, unataka uletewe vitu ulivyonunua Darkweb Kimara temboni? hapa tayar wewe umepambanua ni mbung'o mwenye malale.
Eti silaha kununua Dark Web? Kwanini nisiende kununua Eastern Europe huko au DRC kwenye mapigano.

Hao kina Alshabab huko Msumbiji unadhani wananunua na wanaletewaje silaha? na wakala wa mizigo au sio mpaka Kimara?
Eti uende East Europe kununua silaha, wewe kweli akili imejaa tope, niishie hapa nasubiri upupu mwingine utakaoandika
 
Endelea kua na mawazo finyu ,jichanganye tu ndio utajua carding ni nini,kwa hio unahisi anayeuza ni mmiliki halali ? Ngoja niishie hapo ila hata sisi tulikua wabishi sana ila tukafunguliwa dunia kama clouds
 
Endelea kua na mawazo finyu ,jichanganye tu ndio utajua carding ni nini,kwa hio unahisi anayeuza ni mmiliki halali ? Ngoja niishie hapo ila hata sisi tulikua wabishi sana ila tukafunguliwa dunia kama clouds
Lakini jamaa wa darkweb nao wapigaji tu mfano ununue $1000 za magumashi Kwa $100 mbona kujivusha mabomu Kwa tamaa za ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…