Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Asante kwa kuongea lugha yangu, nilikuwa najizuia
Wewe tutusa full mziki, nakuuliza unajua stuxnet ni nini, unabwabwaja tu mbuzi mweusi
Haya niambie hio stuxnet ilitumwa kufanya kazi gani? na ilifanyaje hiyo kazi ? , au unadhani kama viluwiluwi waliojaa kwenye simu yako kwa kuangalia mitandao ya ngono
Turudi kwenye upupu uliouliza, unataka uletewe vitu ulivyonunua Darkweb Kimara temboni? hapa tayar wewe umepambanua ni mbung'o mwenye malale.


Hao kina Alshabab huko Msumbiji unadhani wananunua na wanaletewaje silaha? na wakala wa mizigo au sio mpaka Kimara?
Eti uende East Europe kununua silaha, wewe kweli akili imejaa tope, niishie hapa nasubiri upupu mwingine utakaoandika
Stuxnet ni virus iliyotengenezwa na Mossad kwa ajili ya ku disable mitambo/ computer za kurutubisha uranium enzi za Muhammad Ahmedinajad kati ya mwaka 2010-12.

Tatizo wewe kenge unajifanya mjuaji kumbe Fala tu kutoka Kazuramimba
 
Mleta mada bado mshamba, hajajua kutumia vizuri dark web, binafsi juzi tu nimeuza kucha za simba, ngozi ya chui na meno 6 ya tembo. Kule lazima uwe unajua specifics! Kuna watu wanauza vifaru vya JWTZ kule 😀😀😀
tushushe hapahapa hatutaki kwendelea na safari
 
Akili ndogo zishavamia uzi na kuanza kuandika matusi
Yaani majitu mengine sijui huwa na akili za wapi ?
 
Endelea kujifunza dogo, wewe ni mweupe haswa, unakaza fuvu na Iran,
Hata hujajibu imeharibu vipi, mitambo ipi kwa jina lake, unakimbilia kuandika ku disable ndio nini hiki mbuzi wewe

View attachment 3039795
Wewe mpaka uka Google wakati mimi nilikuwa aware ni namna gani Stuxnet virus aliharibu computer systems same time wakati tukio lina happen. Just on the spot
 
Wakuu ukisikiliza stori za dark web mtandano na mitaani unaweza pagawa.

Lakin huko dark web hamna lolote

Fahamu website hatarishi zilizopo kwenye dark web
 
Ulienda kutafuta nn na ulitumia njia ipi kufika?
Wengi wajinga ukiuliza njia ya kwenda inakuwa msamiati yaani kifupi hakuna kitu linaitwa dark web, ambacho hakifahamiki si ni site chafu kama xxx pon pon
 
Kuingia simple ila huoni kitu, mpaka uwe na link maalum kutokana na kitu unachotaka, mi nishaona gun znauzwa ni balaa tupu mkuu
 
Dark web hutumiwa sana na wahalifu kufanya mawasiliano. Mfano unataka kukodi muuaji au contract killer aka hitman, ukitumia hii internet tunayotumia mawasiliano yenu yatavuja tu na mtajulikana, ila ukitumia dark web huko hamtagundulika.
 
Unataka watu waseme wanaingia sites zipi ili watafutwe??mkuu kama umeweza kuingia sio mbaya, taratibu utapata unachotafuta,kwa dollar Tano unaweza kununua KADI ya bank yenye dollar 1000, ukafanya matumizi mtandaoni,but if you get busted,25 to life jela.. nishawahi fanya hivyo zaidi mara Moja kupitia xxx*. onion
Huu ndiyo uwanja wa wasomi wa udizimuuu kutulusha roho kuwa wao ndiyo wao kumbe hakuna kitu 🤡🤡🤡🤡🤡🤡🤡 sasa mimi nataka kuziona legal porn naombeni muelekezo nikizikuta za kutosha nitakuja kuthibitisha hapa ...ninacho jua mimi darkness ni kweli invite vya hatari ila huwa vipo kwenye code hadi uwe member wa kitu usika
 
Inategemea umeingia kufuata nini.

Wewe matarajio yako yalikuwa ni nini na ukaona ni tofauti?
Tuletee legal porn msiulize kwanini nimechagua chaguo ilo ...sababu legal porn zinadhibitiwa sana hivyo nikizikuta za kitosha huko nita amini mnayo sema ...ninacho jua mimi vyote vipo kweli ila katika code special wa member special
 
Back
Top Bottom