Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Okay hapo sawa hawa jamaa ni noma Sana,sasa mfano aliyeibiwa taarifa za card yupo Iceland atamdakaje anaye withdraw Hela Kwa ATM akiwa na kadi ya mchongo akiwa kigoma na pengine anaingia ATM akiwa kaficha sura?
Bank iliyotoa kadi wanaweza track ATM machine na location uliyotumia kuwithdraw pesa
 
Unatafuta jela,..yaani ufanye biashara Darkweb Hela uweke kwenye account yako??mkuu, jifunze zaidi kuhusu darkweb,utapewa kesi mbaya ,mauaji,madawa, human trafficking,unaweza kudhani utani,ila jichanganye..
Kawaza pesa za kula bata wavuvi 😹
 
Yani mtu anakadi yenye dola 1000( sawa na shilingi 2, 300, 000/-) halafu mtu huyohuyo atafute wateja online kupitia dark web aanze kuuza kwa dola tanotano sawa na shilingi elfu kumi na moja 😁😁😁 dah inaingiaje akilini hii wataalamu wa darkweb?
😂😂😂😂
 
Kuna sites huingii kizembe mpaka upate link Kwa insider na ufanye subscription , mfano WA sites wanazouza porns za watoto wanaofirwa na kuchinjwa live , unafikiri hizi porn hazipo ? .
Mfano Marekani , Canada na Europe Malaki ya watoto wadogo wanapoteza kila mwaka na haijulikani wameenda wapi
Feds WA FBI , Interpol nk wapo wamezagaa humo kila mahala kusniff criminals , unafikiri hao criminals watajiexpose kizembe ,tena Kwa crime nzito kama hizo ?
Ni mpaka ufanye subscription na ni pesa kubwa tu
Kuna zingine kama hidden wiki unaingia direct Tu bila subscrption
Darkweb ni kama bahari , na sites mi nyingi mno ,
Inategemea na wewe inatafuta nini .
Hao watoto ndio wamenihuzunisha.
Dunia ni ya hovyo sana 🙁
 
Wakuu ukisikiliza stori za dark web mtandano na mitaani unaweza pagawa.

Lakin huko dark web hamna lolote
Utakua umetembelea site chache, dark Web kuna biashara nyingi sana za kihuni, kule hata ukitaka passport ya uingereza unaipata ndani ya masaa machache tu, ukitaka gun unaipata kwa masaa kadhaa, so biashara haramu ndio ziko kule na site za kule huwa hazivutii kwa kuzitazama ila ndio zinapiga kazi na transaction zake hazifanywi kwa cash bali kwa njia ya crypto ndio maana hata government hawawezi kutrack kujua muamala ulipotoka wala ulipoenda... nenda kasome au kangalie history ya website moja ilikua inaitwa alpha kwanza.

Wewe haujaenjoy coz hauna link za site nyingi.
 
Nakwambia usiombe ukaingia website ya kweli ya giza! Mimi niliingia kwa sekunde 3 tuu na nilifunika laptop paaa! Na tayari hapo nilishaingiwa na kitu hatari ambacho kilinitesa kwa siku mbili. Kwa bahati nzuri nilijua nini cha kufanya haraka hadi ile miruhani ikakimbia na nilikuwa na bahati kweli kweli! Acha kabisa!!
😹😹😹
 
Back
Top Bottom