Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Shida ni kutojua maana ya darkweb imetafiliwa tofaut sana, hata jf inaweza kutumika kama darkweb
Pale unatumia mfumo ambao selikal inashindwa kubaini watumiaji na wanafanikiwa mipango hao bila kubainika na hasa pale unakuta hata haijasajiliwa na kutambuliwa na mamlaka za selikal

Jf isingekuwa registered ingepata sifa baadhi ya kuwa one among in dark
Anonymity ya hizo websites ndiyo kinachopelekea ziitwe dark-webs.
Kama utaweza kutengeneza web yako, ukai encrypt ili kuficha address na kuwawezesha watumisaji watumie pasipo shaka ya kutambulika, huku ukiiwezesha kufunguka kupitia the onion router. Onion routers (TOR) ndiyo inaziba kiburi na kuzipa maana hizo dark webs.
 
Hata ukitaka Masters ya UDSM zinauzwa Darkweb,tena dollar elfu Moja tu,..degree ya vyuo karibu vyote,..na GPA unawekewa yeyote..

Ulaya sikuhizi wamekataza wahitimu wapya kuonesha vyeti vyao wakipiga picha,...sababu kubwa ni hii,
 
Yule aliyekuwa anataka fixed matches , nimeperuzi hidden wiki , Maana vendors wengine hawajitangazi kijuu juu mpaka usearch kiundani , kuna huyu vendor na sites zake anadai anauza fixed matches ,Ila sina uhakika kama ni legit
Huu ulikuwa mfano tu ya jinsi ya kutumia search engines za dark web
Dark web ni kuchimba ., Mambo mengine hayapo juu juu ,mpaka upate muda uchimbe haswa .
So ni hivyo guys , dark web Hamna kinachokosekana
 

Attachments

  • Screenshot_20240707-141218.png
    Screenshot_20240707-141218.png
    258 KB · Views: 18
  • Screenshot_20240707-141205.png
    Screenshot_20240707-141205.png
    460.8 KB · Views: 19
  • Screenshot_20240707-141305.png
    Screenshot_20240707-141305.png
    546.1 KB · Views: 23
  • Screenshot_20240707-141423.png
    Screenshot_20240707-141423.png
    175.2 KB · Views: 27
Siingii mara Kwa mara kwenye sites ambazo najua zina involve international crimes na nikiingia nina chukua extra precautions kama vpn ,tena vpn strong za kulipia kama proton na si hizi free vpn ,na siuzi bidhaa haramu nikiwa dark web
Vpn nyingi ambazo tunatumia,ni Hatari sana,kamwe usiamini free VPN kuingia Darkweb au kufanya lolote,98% ya vpn ambazo zipo play store ni Hatari,vpn hizi ukiziona zikimbie

Lite VPN
Anims Keyboard
Blaze Stride
Byte Blade VPN
Android 12 Launcher
Android 13 Launcher
Android 14 Launcher
CaptainDroid Feeds
Free Old Classic Movies
Phone Comparison
Fast Fly VPN
Fast Fox VPN
Fast Line VPN
Funny Char Ging Animation
Limo Edges
Oko VPN
Phone App Launcher
Quick Flow VPN
Sample VPN
Secure Thunder
Shine Secure
Speed Surf
Swift Shield
Turbo Track VPN
Turbo Tunnel VPN
Yellow Flash VPN
VPN Ultra
Run VPN
 
Vpn nyingi ambazo tunatumia,ni Hatari sana,kamwe usiamini free VPN kuingia Darkweb au kufanya lolote,98% ya vpn ambazo zipo play store ni Hatari,vpn hizi ukiziona zikimbie

Lite VPN
Anims Keyboard
Blaze Stride
Byte Blade VPN
Android 12 Launcher
Android 13 Launcher
Android 14 Launcher
CaptainDroid Feeds
Free Old Classic Movies
Phone Comparison
Fast Fly VPN
Fast Fox VPN
Fast Line VPN
Funny Char Ging Animation
Limo Edges
Oko VPN
Phone App Launcher
Quick Flow VPN
Sample VPN
Secure Thunder
Shine Secure
Speed Surf
Swift Shield
Turbo Track VPN
Turbo Tunnel VPN
Yellow Flash VPN
VPN Ultra
Run VPN
Ndio , hawa jamaa ni data brokers , madalali wa taarifa za kimtandao .
Ndio source Yao ya kipato .
Na bila shaka wanafanya kazi na law enforcement agencies za kusaka wahalifu wa kimtandao
So kuchomeshwa na kubananishwa ni kugusa tu ,bora vpn za kulipia .

Cheki hapo chini kuna mshenzi anatafuta pesa feki za dollars za kimarekani au dollar za Canada ,jamaa likampa onyo kabisa .
Na ni kweli ,kati ya vitu ambavyo serikali huwa hawacheki na kima ni kosa la kununua au kuuza na kutengeneza pesa feki
Aisee wakikunusa ,watakusakua kama Osama
 

Attachments

  • Screenshot_20240707-142339.png
    Screenshot_20240707-142339.png
    159.4 KB · Views: 24
Ndio , hawa jamaa ni data brokers , madalali wa taarifa za kimtandao .
Ndio source Yao ya kipato .
Na bila shaka wanafanya 🍺 na law enforcement agencies za kusaka wahalifu wa kimtandao
So kuchomeshwa na kubananishwa ni kugusa tu ,bora vpn za kulipia .
Cheki hapo chini kuna mshenzi anatafuta pesa feki za dollars za kimarekani au dollar za Canada ,jamaa likampa onyo kabisa .
Na ni kweli ,kati ya vitu ambavyo serikali huwa hawacheki na kima ni kosa la kununua au kuuza na kutengeneza pesa feki
Aisee wakikunusa ,watakusakua kama Osama
Nimeanza kutumia Darkweb mwaka 2012,Hadi mwaka 2015 nikawa nimeiva, sijawahi kuona Guru wa Darkweb hajakamatwa,huwa wanatamba sana miaka mitano,..yaani siku ukikosea kidogo tu,hapo hapo umeisha..watu wanasubiri ukosee..hata hizi OS sio za kuziamini,sio android iOS,MacOS Wala Windows,hata antivirus pia,najua unajua Kaspersky inavyopigwa ban Sasa hivi,inaiba taarifa...
 
Nimeanza kutumia Darkweb mwaka 2012,Hadi mwaka 2015 nikawa nimeiva, sijawahi kuona Guru wa Darkweb hajakamatwa,huwa wanatamba sana miaka mitano,..yaani siku ukikosea kidogo tu,hapo hapo umeisha..watu wanasubiri ukosee..hata hizi OS sio za kuziamini,sio android iOS,MacOS Wala Windows,hata antivirus pia,najua unajua Kaspersky inavyopigwa ban Sasa hivi,inaiba taarifa...
Ni hatari kaka
 
Unaweza nunua hata sumu kali za kuua maelfu ya watu kwa wakati mmoja , vitu kama polonium , cyanide , vinapatikana kule .....
Hadi viungo vya mwili vinapatikana , porn za kila aina , makahaba wa jinsia zote ,madawa ya kulevya , kukodi wauaji , silaha , vitambulisho vya kila aina , wadukuzi wa kukodi nk
Kila uchafu unaoujua
Mkuu kwa mfano nikitaka kahaba sasa hapo inakuaje, yani naweza kuonana nae na nikamla au anakuwa kavaa mask mda wote wa mnyanduano. Yani nawaza hapa ..
 
Ni hatari kaka
I
Mkuu kwa mfano nikitaka kahaba sasa hapo inakuaje, yani naweza kuonana nae na nikamla au anakuwa kavaa mask mda wote wa mnyanduano. Yani nawaza hapa ..
Kahaba unayekutana Darkweb ni most likely human trafficked au slave .
Yaani anatumika kama mtumwa kwenye biashara ya ngono na anamilikiwa na mtu mwingine kama mtumwa wa biashara ya ngono that's means huyo mtu anayemiliki huyo kahaba ndio anayebenefit zaidi , na vyombo vya usalama wanajua hili .
Maana nchi nyingi ukahaba sio jinai au crime ,na inafanyika tu .
So haina haja ya watu kujificha
Ila kwa dark web Hii element ya kujificha inakuwepo kwa watu walioko huku hasa hawa human traffickers wanajificha ili wasiwe exposed Maana wanajua ni kosa la kisheria kufanya human trafficking , unakuta jitu linawatoa watu Bongo linawapeleka nchi fulani kwa ahadi ya kazi ,likiwafikisha kule linwanyang'anya passport na kila aina ya kitambulisho na kuwapeleka kwenye madanguro au kuwauza kwa wamiliki wa madanguro ,
So kwa hii case ni most likely unaweza pewa location ya kwenda kufuck huyo kahaba ila si kutoka naye zaidi ya hiyo location maana hiyo ni human bondage ,Yaani kahaba ni slave na haruhusiwi kuzagaa ovyo ovyo ili boss wake asije kushtukiwa
 
Nakwambia usiombe ukaingia website ya kweli ya giza! Mimi niliingia kwa sekunde 3 tuu na nilifunika laptop paaa! Na tayari hapo nilishaingiwa na kitu hatari ambacho kilinitesa kwa siku mbili. Kwa bahati nzuri nilijua nini cha kufanya haraka hadi ile miruhani ikakimbia na nilikuwa na bahati kweli kweli! Acha kabisa!!
Ilikuwaje mkuu
 
Yule aliyekuwa anataka fixed matches , nimeperuzi hidden wiki , Maana vendors wengine hawajitangazi kijuu juu mpaka usearch kiundani , kuna huyu vendor na sites zake anadai anauza fixed matches ,Ila sina uhakika kama ni legit
Huu ulikuwa mfano tu ya jinsi ya kutumia search engines za dark web
Dark web ni kuchimba ., Mambo mengine hayapo juu juu ,mpaka upate muda uchimbe haswa .
So ni hivyo guys , dark web Hamna kinachokosekana
Mkuu embu ingia hapo kwenye Non commercial erotica
 
Back
Top Bottom