Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Yaani kuna mamafia wakishapata details Tu Ile ccv , name na zile tarehe ,umekwisha , kuna miamba wanachonga hadi lile li card na ukitaka unaletewa kabisa , ila kwa dunia ya leo ni risk kufanya payments au kuwithdraw pesa physically Kwa kutumia credit card ya wizi kukamatwa ni rahisi maana hizi ATM au swap payment machines zenyewe ni spying equipment ,na zina store taarifa ,so ni rahisi vyombo vya dola kutrack movement zako kama utawithdraw pesa kwa atm au kufanya malipo kwa kuswap card ,ndio maana wengi wanaamua kununua vitu online ili waviuze wavibadilishe kwenda kwenye cash
We acha tu watu Wapo serious wanachokifanya,ukitaka mbinu mzigo unafikaje bila mamlaka kujua address ya anaepokea,,ufundi huo ninao
 
Yaani kuna mamafia wakishapata details Tu Ile ccv , name na zile tarehe ,umekwisha , kuna miamba wanachonga hadi lile li card na ukitaka unaletewa kabisa , ila kwa dunia ya leo ni risk kufanya payments au kuwithdraw pesa physically Kwa kutumia credit card ya wizi kukamatwa ni rahisi maana hizi ATM au swap payment machines zenyewe ni spying equipment ,na zina store taarifa ,so ni rahisi vyombo vya dola kutrack movement zako kama utawithdraw pesa kwa atm au kufanya malipo kwa kuswap card ,ndio maana wengi wanaamua kununua vitu online ili waviuze wavibadilishe kwenda kwenye cash
Sasa kama inatumika namba tu kufanya malipo mtandao tuseme Alibaba sasa unaweza kukamatwa je sasa?
 
Unataka watu waseme wanaingia sites zipi ili watafutwe??mkuu kama umeweza kuingia sio mbaya, taratibu utapata unachotafuta,kwa dollar Tano unaweza kununua KADI ya bank yenye dollar 1000, ukafanya matumizi mtandaoni,but if you get busted,25 to life jela.. nishawahi fanya hivyo zaidi mara Moja kupitia xxx*. onion
Uko sahihi..na mbinu nzuri ni watu wanaagizia vitu mtandaoni..halafu vile vitu wanauza..sio kutoa Hela Moja kwa moja
 
Hata ukiweza kuingia..Kuna membership fees kwenye baadhi ya forums..hivo huwez access baadhi ya forum bila malipo😁😁...hivo sio umeshiba zako ubwabwa unataka upate access ya vitu vizito burebure..kingine ..vitu vingi ama information nyingi kuzi access inahitaji uwe na Hela...pia scammers wapo..hivo kabla ya kununua kitu angalia customer reviews
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Hata ukiweza kuingia..Kuna membership fees kwenye baadhi ya forums..hivo huwez access baadhi ya forum bila malipo😁😁...hivo sio umeshiba zako ubwabwa unataka upate access ya vitu vizito burebure..kingine ..vitu vingi ama information nyingi kuzi access inahitaji uwe na Hela...pia scammers wapo..hivo kabla ya kununua kitu angalia customer reviews
Aaahh hapo ni noma
 
Back
Top Bottom