Yaani kuna mamafia wakishapata details Tu Ile ccv , name na zile tarehe ,umekwisha , kuna miamba wanachonga hadi lile li card na ukitaka unaletewa kabisa , ila kwa dunia ya leo ni risk kufanya payments au kuwithdraw pesa physically Kwa kutumia credit card ya wizi kukamatwa ni rahisi maana hizi ATM au swap payment machines zenyewe ni spying equipment ,na zina store taarifa ,so ni rahisi vyombo vya dola kutrack movement zako kama utawithdraw pesa kwa atm au kufanya malipo kwa kuswap card ,ndio maana wengi wanaamua kununua vitu online ili waviuze wavibadilishe kwenda kwenye cash