Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishalipa kwa bitcoin au cryptocurrency yoyote , mzigo utakufikia ulipo ,na ingawa pia sometimes inategemea na arangement ya malipo kwa muuzaji na makubaliano yenu ,wengine wanataka ulipe mzigo ukikufikia ,wengine ulipe kabla mfano umeamua kununua bastola expensive kama Glock 17 Kwa bei rahisi (Kitonga ) ya dark web let's say dollar 200 , unapolipa muuzaji anakuelekeza nenda location flani iliyo karibu na wewe au unaletewa mzigo ulipo .Halafu wewe unavipata kwa njia gani mfano ukiwa arusha. Transportation yake ikoje toka huko darkweb hadi ngarenaro matejoo nk
Je niwaaminifu kiasi hicho? Maana wasipokutumia huwezi washtaki pia!Ukishalipa kwa bitcoin au cryptocurrency yoyote , mzigo utakufikia ulipo ,na ingawa pia sometimes inategemea na arangement ya malipo kwa muuzaji na makubaliano yenu ,wengine wanataka ulipe mzigo ukikufikia ,wengine ulipe kabla mfano umeamua kununua bastola expensive kama Glock 17 Kwa bei rahisi (Kitonga ) ya dark web let's say dollar 200 , unapolipa muuzaji anakuelekeza nenda location flani iliyo karibu na wewe au unaletewa mzigo ulipo .
Wewe hutajua wametumia umafia na uhuni gani kusafirisha huo mzigo haramu huko kote mpaka ukufikie
Siri ya kambi hiyo
Du we umeyashuhudia hayoMpk leo huwa sijui wanawapataje wale watoto maana ni wadogo kweli kweli na wanawavutisha hadi shisha ,sijui iweje
Unavyosema matumizi mtandaoni unamaanisha unaweza hata kulipia mzigo Alibaba?Unataka watu waseme wanaingia sites zipi ili watafutwe??mkuu kama umeweza kuingia sio mbaya, taratibu utapata unachotafuta,kwa dollar Tano unaweza kununua KADI ya bank yenye dollar 1000, ukafanya matumizi mtandaoni,but if you get busted,25 to life jela.. nishawahi fanya hivyo zaidi mara Moja kupitia xxx*. onion
Unaweza , unaweza jifunza vitu kibao mule.Aisee naendele kustaajabu....naomba kujuzwa kama naweza kuingia na kupata maarifa ya kimasomo, vitabu adimu na maarifa ya utundu/tricks mbalimbali katika matumizi ya teknolojia...
Ndio,na ndio njia rahisi ya kutumia hizo Credit cardsUnavyosema matumizi mtandaoni unamaanisha unaweza hata kulipia mzigo Alibaba?
Trust , Ndio muundo wa biashara za muleJe niwaaminifu kiasi hicho? Maana wasipokutumia huwezi washtaki pia!
Madhara yake ni yapi na kama ni kudakwa unadakwa Kwa kuwa ulinunua credit card dark web au inakuwaje?Ndio,na ndio njia rahisi ya kutumia hizo Credit cards
Wanaiba KADI yangu wanakuuzia weweMadhara yake ni yapi na kama ni kudakwa unadakwa Kwa kuwa ulinunua credit card dark web au inakuwaje?
Wanaiba kadi yenye fedha nyingi hawatumii wao wananiuzia mimi kwa fedha kidogo?Wanaiba KADI yangu wanakuuzia wewe
Sasa hujaelewa mkuu hapo logic ni Nini,Wanaiba kadi yenye fedha nyingi hawatumii wao wananiuzia mimi kwa fedha kidogo?
Okay,,,ila virtual card? Kwa maana ya kuwa unapewa namba tu au unakabidhiwa na kadi kabisa?Wanaiba KADI yangu wanakuuzia wewe
NumberOkay,,,ila virtual card? Kwa maana ya kuwa unapewa namba tu au unakabidhiwa na kadi kabisa?
Ukiona ivo basi tambua dack Web si kwa walio na empty brainWakuu ukisikiliza stori za dark web mtandano na mitaani unaweza pagawa.
Lakin huko dark web hamna lolote
Yaani kuna mamafia wakishapata details Tu Ile ccv , name na zile tarehe ,umekwisha , kuna miamba wanachonga hadi lile li card na ukitaka unaletewa kabisa , ila kwa dunia ya leo ni risk kufanya payments au kuwithdraw pesa physically Kwa kutumia credit card ya wizi kukamatwa ni rahisi maana hizi ATM au swap payment machines zenyewe ni spying equipment ,na zina store taarifa ,so ni rahisi vyombo vya dola kutrack movement zako kama utawithdraw pesa kwa atm au kufanya malipo kwa kuswap card ,ndio maana wengi wanaamua kununua vitu online ili waviuze wavibadilishe kwenda kwenye cashWanaiba KADI yangu wanakuuzia wewe
Ni kosa la jinai nchi yoyote humu duniani kutumia card ya kibenki ya wizi kufanya malipo au kutoa pesa .Madhara yake ni yapi na kama ni kudakwa unadakwa Kwa kuwa ulinunua credit card dark web au inakuwaje?
Nimeelewa boss.Sasa hujaelewa mkuu hapo logic ni Nini,