Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Labda zenye porn zinazohusisha watoto wadogo hizo ndo utazipata kwa onion extention, Ningeziweka hapa ila ntakula ban bure.

Achana na hayo makitu mkuu utapotea!
 
Wakati wakenya wana tekeleza gen Zee je unajua kuna generation za nyuma??

Nanukuu. "...After boomer comes Generation X, which was 1965 to 1980. Then came Millennial, and after that was Generation Z, or Gen Z. Gen Z refers to people born between 1995 and 2010. The 'Z' in the name means "zoomer", as this is the first generation known to 'zoom' the internet...."
 
Unaweza nunua hata sumu kali za kuua maelfu ya watu kwa wakati mmoja , vitu kama polonium , cyanide , vinapatikana kule .....
Hadi viungo vya mwili vinapatikana , porn za kila aina , makahaba wa jinsia zote ,madawa ya kulevya , kukodi wauaji , silaha , vitambulisho vya kila aina , wadukuzi wa kukodi nk
Kila uchafu unaoujua
Halafu wewe unavipata kwa njia gani mfano ukiwa arusha. Transportation yake ikoje toka huko darkweb hadi ngarenaro matejoo nk
 
Kuna sites huingii kizembe mpaka upate link Kwa insider na ufanye subscription , mfano WA sites wanazouza porns za watoto wanaofirwa na kuchinjwa live , unafikiri hizi porn hazipo ? .
Mfano Marekani , Canada na Europe Malaki ya watoto wadogo wanapoteza kila mwaka na haijulikani wameenda wapi
Feds WA FBI , Interpol nk wapo wamezagaa humo kila mahala kusniff criminals , unafikiri hao criminals watajiexpose kizembe ,tena Kwa crime nzito kama hizo ?
Ni mpaka ufanye subscription na ni pesa kubwa tu
Kuna zingine kama hidden wiki unaingia direct Tu bila subscrption
Darkweb ni kama bahari , na sites mi nyingi mno ,
Inategemea na wewe inatafuta nini .
Wanachinja watoto wadogo ili iweje?
 
Wakuu ukisikiliza stori za dark web mtandano na mitaani unaweza pagawa.

Lakin huko dark web hamna lolote
Nakwambia usiombe ukaingia website ya kweli ya giza! Mimi niliingia kwa sekunde 3 tuu na nilifunika laptop paaa! Na tayari hapo nilishaingiwa na kitu hatari ambacho kilinitesa kwa siku mbili. Kwa bahati nzuri nilijua nini cha kufanya haraka hadi ile miruhani ikakimbia na nilikuwa na bahati kweli kweli! Acha kabisa!!
 
Nakwambia usiombe ukaingia website ya kweli ya giza! Mimi iliingia kwa sekunde 3 tuu na nilifunika laptop paaa! Na tayari hapo nilishaingiwa na kitu hatari ambacho kilinitesa kwa siku mbili. Kwa bahati nzuri nilijua nini cha kufanya haraka hadi ile miruhani ikakimbia na nilikuwa na bahati kweli kweli!
Tanzania Tea Packers mdalasini iliki mchaichai nk
 
Wanachinja watoto wadogo ili iweje?
Wanachinja watoto wadogo ili iweje?
Sexual fantasies mzee , kuna mabazazi hayapati mzuka wa ngono mpaka yaangalie porn za watoto wadogo wakiingiliwa kinyume na maumbile huku wakiwa abused au kuuawa kabisa live live .
Ni kama addiction fflani hivi
Mithili ya teja wa heroine au cocaine anavyokuwa
Na yanalipa pesa ndefu kununua hizo porn videos kila siku
 
Ukitaka kujua duniani kuna ushenzi na washenzi waliopitiliza , chimba vitu kule Darkweb ,
Utabaki mdomo wazi na hutaangalia dunia kama unavyoiona
 
Back
Top Bottom