Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Yani mtu anakadi yenye dola 1000( sawa na shilingi 2, 300, 000/-) halafu mtu huyohuyo atafute wateja online kupitia dark web aanze kuuza kwa dola tanotano sawa na shilingi elfu kumi na moja 😁😁😁 dah inaingiaje akilini hii wataalamu wa darkweb?
Hii ni kawaida , wanapouza hivyo ni kutawanya risk , kuna watu ni wadukuzi wa mitandao na taarifa za kibenki , na wanauwezo wa kuhack taasisi kubwa tu za kifedha na zinazofanya online payments , kupitia hayo mamilioni ya data , mfano mtu akipata taarifa zako za account yako yako ya kibenki ,kuna miamba wanaeza tengeneza hata bank card ya malipo na kuiuza Darkweb ili anayenunua aweze kuwithdraw pesa kwa kufanya online payments Kwa kutumia taarifa zako au kununua cryptocurrency nk,najua kwa level yako hutaamini ila ni kitu cha kawaida mno na kinafanyika kila siku huko Darkweb
 
Kuna sites huingii kizembe mpaka upate link Kwa insider na ufanye subscription , mfano WA sites wanazouza porns za watoto wanaofirwa na kuchinjwa live , unafikiri hizi porn hazipo ? .
Mfano Marekani , Canada na Europe Malaki ya watoto wadogo wanapoteza kila mwaka na haijulikani wameenda wapi
Feds WA FBI , Interpol nk wapo wamezagaa humo kila mahala kusniff criminals , unafikiri hao criminals watajiexpose kizembe ,tena Kwa crime nzito kama hizo ?
Ni mpaka ufanye subscription na ni pesa kubwa tu
Kuna zingine kama hidden wiki unaingia direct Tu bila subscrption
Darkweb ni kama bahari , na sites mi nyingi mno ,
Inategemea na wewe inatafuta nini .
Kuna mjinga huko juu anasema "SI mtaje tu hizo sites" haha yani anataka mtu aji snitch makusudi,wadukue JF yake,wachukue vifaa anavyoingia net,waangalie unafanya Nini Dark web,..then wakubebe,Mapolisi wa Tanzania wajinga sana,Wenzao FBI na CIA walitengeneza AN0M,kukamata mapapa wa Darkweb,
 
Kuna mjinga huko juu anasema "SI mtaje tu hizo sites" haha yani anataka mtu aji snitch makusudi,wadukue JF yake,wachukue vifaa anavyoingia net,waangalie unafanya Nini Dark web,..then wakubebe,Mapolisi wa Tanzania wajinga sana,Wenzao FBI na CIA walitengeneza AN0M,kukamata mapapa wa Darkweb,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hajaijua Darkweb huyu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hajaijua Darkweb huyu
Ukitaja tu site ya child porn,hah FBI lazima uwastue wanajua wewe mdau,utafatiliwa Hadi wajue unafanyaga Nini huko,week hii USA Kuna mwamba kakamatwa ana Porn za watoto Terabytes tatu kama sikosei,,walivyomkata ni story nyingine,wenzetu kwenye ulinzi mtandaoni wapo vizuri Sana,maana hata wavunja Sheria wapo vizuri sana
 
Dunia imeenda mbali sana, probably ndio hawa test tube babies...wasio na wazaz wala walezi.
Wengi wanaibwa toka kwa wazazi wao na kuenda kutumika kama kafara huko kwenye porn and prostitution industry , ni mtandao mzito mno .
Na ni international Cartels
Ndio maana kama wewe ni criminal huko wakikusniff hata kama umejichimbia kwenu huko Lindi wanaissue arrest warrant Kwa Interpol ,unaanza kupigwa msako wa nyani kwenye shamba la mahindi , huchomoki
 
Wakuu ukisikiliza stori za dark web mtandano na mitaani unaweza pagawa.

Lakin huko dark web hamna lolote
Dark web muundo wake wa taarifa sio kama huu uliotawaliwa na search engine , kule unaingia kwa link maalumu yaani assume dunia isingekuwa na search engine yoyote kama google Bing au Yahoo sasa ili utumie internet unahitaji anuani na ndio hizo link , kuna link za soko la wauza ngada , kuna link za confidential document leakage , kuna Link za vidio za ngono ambazo huwezi ziona kwenye website ya kawaida( kama vile interspecies sex , Sex za vitoto ..nk kuna ufilauni mkubwa sana huwezi amini upo dunia hii), kuna link za soko la Siraha yaani ukiingia humo ni mwendo wa Add to cart kama unachagua bidhaa Kikuu[emoji23] na kisha unafanya malipo kwa cryptocurrnecies au cash na siraha itakavyokufikia hutoamini , unaweza ambiwa nenda dukani kwa mtu unaemuheshimu tu vizuri na akakupatia mzigo wako ,, Kuna link inauza tiketi maalumu za kwenda kuangalia mapambano laivu ya kuuana ni hatari sana , link zipo nyingi sana hadi za kuuza viungo vyako vya mwili.
Google kazi yake ni kukusanya website ambazo zinataarifa ulioomba lakini ukitumia kivinjari cha Tor huwezi search maana hakuna engine ya kukusanya taaarifa kama google.
Ili uelewe ukubwa Dark or deep web fananisha na kitunguu yaani kadri unavyoondoa yale maganda yake kwenda chini ndio uwezo wako wa kuzama kwenye taarifa nyeti zaidi unavyokuwa kulingana na usalama, kwahio unaweza kuingia huko ila ukaishia kwenye mzunguko wa juu juu wa kitaarifa.
Ukisikia ulimwengu wa Giza ndio huo sasa.

SOMA MATOLEO YA VITABU VYANGU VINGI VYA KIJASUSI UONE UNDERWORLD INAVYOFANYA KAZI.
 
Wamewekeza sana rasilimali kwenye vitengo vya cybersecurity na network .
Ukikaa kizembe unasombwa kama kifaranga anavysombwa na mwewe .
Ukitaja tu site ya child porn,hah FBI lazima uwastue wanajua wewe mdau,utafatiliwa Hadi wajue unafanyaga Nini huko,week hii USA Kuna mwamba kakamatwa ana Porn za watoto Terabytes tatu kama sikosei,,walivyomkata ni story nyingine,wenzetu kwenye ulinzi mtandaoni wapo vizuri Sana,maana hata wavunja Sheria wapo vizuri sana
 
Ukitaja tu site ya child porn,hah FBI lazima uwastue wanajua wewe mdau,utafatiliwa Hadi wajue unafanyaga Nini huko,week hii USA Kuna mwamba kakamatwa ana Porn za watoto Terabytes tatu kama sikosei,,walivyomkata ni story nyingine,wenzetu kwenye ulinzi mtandaoni wapo vizuri Sana,maana hata wavunja Sheria wapo vizuri sana
Na ni kesi nzito sana hii kwa nchi za wenzetu
 
Mimi Darkweb naipenda kwa kuingia sites zenye scandals controversial duniani na kupata documents na taarifa ambazo ni adimu huku kwenye Google .
Kuna vitu vya kutisha sana na kufungua akili Darkweb , ukichimba utagundua huu ulimwengu uko tofauti sana
 
Human trafficking na biashara ya ngono na porn za watoto ni biashara kubwa mzee , na inaaminika kuwa biashara haramu ya tatu kwa kuwa na faida kubwa ukitoa silaha na madawa ya kulevya ,
Kuna watu wengi wanalipia pesa nyingi kununua porns hizo kule Darkweb
Kuna hadi porns za watu wanafanya ngono na nguruwe ,paka nk
Mkuu ni kweli usemalo nina device special ya kuingia huko tofauti na device nayotumia huku, kule ni balaa
 
Na pia Kwa nchi zenye udikteta mkali na ambazo zinafanya internet censoring kama North Korea ,China nk
Kule Dark web Kuna chatrooms kama chatrooms za social networks hizi mfano WhatsApp unakuta raia kule Darkweb wametengeneza chatroom na wanahamasisha maandamano dhidi ya utawala flani nk au kujadili issue flani ambayo ni sensitive na inapaswa kuwa siri sana .
Ila kule Dark web ziko encrypted na kuungwa ni lazima upate insider ,so wanafanya hivyo ili kujificha na mikono mirefu ya serikali ambayo inaweza hatarishi uhai wao na usalama .
Darkweb kiufupi ina vitu vingi sana aisee .
 
Kuna mjinga huko juu anasema "SI mtaje tu hizo sites" haha yani anataka mtu aji snitch makusudi,wadukue JF yake,wachukue vifaa anavyoingia net,waangalie unafanya Nini Dark web,..then wakubebe,Mapolisi wa Tanzania wajinga sana,Wenzao FBI na CIA walitengeneza AN0M,kukamata mapapa wa Darkweb,
huko siyo uhalifu tu bob
Hiyo ni una censored internet
Wasiwasi wako tu wangekua wanashida wangeanza na hawa watz wanaomiliki blog za porn hapa hapa bongo!

we jamaa ni muoga na uko paranoid hujui hata nchi yako jinsi inavyo work
 
Human trafficking na biashara ya ngono na porn za watoto ni biashara kubwa mzee , na inaaminika kuwa biashara haramu ya tatu kwa kuwa na faida kubwa ukitoa silaha na madawa ya kulevya ,
Kuna watu wengi wanalipia pesa nyingi kununua porns hizo kule Darkweb
Kuna hadi porns za watu wanafanya ngono na nguruwe ,paka nk
Umenikumbusha mwamba wa kuitwa Jeffrey Edward Epstein,alikua na kisiwa kinaitwa The Virgin island,humo underage warembo matajiri wa Dunia wanaenda kula Bata,,aliposhikwa scandal ikawa kubwa sana maana marafiki zake aliokua anakula nao Raha , Donald trump, Mfalme wa Saudi Arabia,Bill Clinton, Prince Andrew,P DIDDY list ndefu,,

Alikubali kuwataja washirika wake kwenye plea deal, Bahati mbaya akafa gerezani kwa Kujinyonga,,hah story zinasema hakujinyonga,wakubwa wamemziba mdomo ,kafa mwaka 2019 na utajiri wa mabilioni ,chanzo Cha mapato hakijulikani,rafiki wa watu maarufu DUNIANI...
 
Na pia Kwa nchi zenye udikteta mkali na ambazo zinafanya internet censoring kama North Korea ,China nk
Kule Dark web Kuna chatrooms kama chatrooms za social networks hizi WhatsApp unakuta wanahamasisha maandamano dhidi ya utawala flani nk au kujadili issue flani ambayo ni sensitive na inapaswa kuwa siri sana .
Ila kule Dark web ziko encrypted na kuungwa ni lazima upate insider ,so wanafanya hivyo ili kujificha na mikono mirefu ya serikali ambayo inaweza hatarishi uhai wao na usalama .
Darkweb kiufupi ina vitu vingi sana aisee .
sasa kuna jamaa apa ana waza akitaja site tu police watamhack wachukue laptop na simu awajue anafanya nn??
mkuu anaafikiri police hawana kazi ya kufanya labda ungekua ulikua suspect wa siku nyingi
 
Back
Top Bottom