Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

😅😅😅
Kaka mimi ni muumini wa falsafa hii,"everything is possible under the sun".
Yan naamin kabisa hata yale ambayo mimi sijawah hata kufikir kama yapo, tayar kuna watu wanayajua na kuyafanya since long time.
Nakubali haya mambo yapo...
Ila hao wanaotoa hizo taarifa na uhakika asilimia 15% kuwa hawajaona ila wameadithiwa kama wewe wanavyokuhadithia
 
Inawezekana chief na nina kubaliana na wewe
Maana humu kuna mdau kashaingia amekuja hapa kasema huko hamna ishu..

Inawezekana acess ya kupata hayo yote ni too difficult ni wachache sana wame penetrate huko.

Ila kwa story za hapa jf unakuta jamaa mshipa wa shingo unamtoka kuelezea utafkili anajua vile...
Kumbe kaenda google
 
bro acha izo had hapa nimejifunza kwaiyo usiulizwe mbona unaroho ya kwanini .
Yaan we ukijua kitu unajiona ndo mungu vile
Unaweza nunua hata sumu kali za kuua maelfu ya watu kwa wakati mmoja , vitu kama polonium , cyanide , vinapatikana kule .....
Hadi viungo vya mwili vinapatikana , porn za kila aina , makahaba wa jinsia zote ,madawa ya kulevya , kukodi wauaji , silaha , vitambulisho vya kila aina , wadukuzi wa kukodi nk
Kila uchafu unaoujua
 
Nipe site moja niingie hapa sasa hivi. Mimi nina Tor.
1720262644029.png

Ifuatayo ni anwani ya ZLIBRARY,
Code:
http://bookszlibb74ugqojhzhg2a63w5i2atv5bqarulgczawnbmsb6s6qead.onion/
ili uweze download kitabu/vitabu lazima ujisajiri.
- Create temp. email hapa:
Code:
https://temp-mail.org/en/
- Usitumie email yako halisi.
 
Tupe full details
Mpk leo huwa sijui wanawapataje wale watoto maana ni wadogo kweli kweli na wanawavutisha hadi shisha ,sijui iweje
Human trafficking na biashara ya ngono na porn za watoto ni biashara kubwa mzee , na inaaminika kuwa biashara haramu ya tatu kwa kuwa na faida kubwa ukitoa silaha na madawa ya kulevya ,
Kuna watu wengi wanalipia pesa nyingi kununua porns hizo kule Darkweb
Kuna hadi porns za watu wanafanya ngono na nguruwe ,paka nk
 
Alafu kuna watu wanapambana humu ahahahah yaani mambo ya hovyo tuu...

Hata mimi niliwahi ingia mkuu nilijua takuta watu wanauza viungo kweli au video za watu wakichinjana kumbe mbambamba tuu
Kuna sites huingii kizembe mpaka upate link Kwa insider na ufanye subscription , mfano WA sites wanazouza porns za watoto wanaofirwa na kuchinjwa live , unafikiri hizi porn hazipo ? .
Mfano Marekani , Canada na Europe Malaki ya watoto wadogo wanapoteza kila mwaka na haijulikani wameenda wapi
Feds WA FBI , Interpol nk wapo wamezagaa humo kila mahala kusniff criminals , unafikiri hao criminals watajiexpose kizembe ,tena Kwa crime nzito kama hizo ?
Ni mpaka ufanye subscription na ni pesa kubwa tu
Kuna zingine kama hidden wiki unaingia direct Tu bila subscrption
Darkweb ni kama bahari , na sites mi nyingi mno ,
Inategemea na wewe inatafuta nini .
 
Back
Top Bottom