Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

bro acha izo had hapa nimejifunza kwaiyo usiulizwe mbona unaroho ya kwanini .
Yaan we ukijua kitu unajiona ndo mungu vile
 
Nilivyosikia kuna hizi porn za watoto nikaona hiyo sehemu itakuwa na mambo ya kutikisa ubongo. Nikawa mpole tu na sijawahi hata kutaka kujifunza unaingiaje
Huko kn kila kitu ambacho hukijui huko viko na vinalindwa kwa nguvu zote usije kujichanganya hutoamini ..nasema kila kitu huko vipo na vinapatikana ni wewe tu
 
Ila nakushauri km unaingia huko kwa kutumia device moja ambayo pia unatumia kwa mambo mengine kuwa makini sana ...lkn pia ziba sehemu ya camera ..ila pia usitegemee sana VPN yako
Mnapenda kuokoteza vitu mtandaoni na kutisha wenzenu 😁😁😁 mpaka sasa hakuna aliye weka screenshot ya mambo hatari aliyo wahi kuona huko darkweb zaidi ya blahblah ambazo zipo google
 
Mambo ni mengi ila ngoja nikupe kwa uchache

Unaweza kuaccess taarifa zilizoibiwa somewhere.

Human trafficking.

Unaweza kununua hacked Netflix account,madawa ya kulevya, chemicals zinazotumika kwenye mauaji, wauwaji wakukodi , professional hackers kuna mpaka magroup kabisa,
fake passport,silaha za aina zote.... nk

Darknet sio salama hata kidogo kuwa makini usifungue kila link CIA,FBI wapo wakutosha.
Maelezo yako yapo google bado sijaona jipya kwa wote walio changia huu uzi. Kuanzia mtoa mada na wachangiaji wote mpo gizaini isipokuwa mwanga kidogo mlio okoteza google.
 
Hah vitu vingine kama hujui mkuu uwe unauliza,darkweb ni zaidi ya ulivyo sikia,kule ni laana ...kama hujui hujui tu...
Wengi wametoa kauli kama hizi wakiambowa wathibitishe wanaishia mitini. Hata wewe ukiambiwa thibitisha unacho kiandika hapa utaishia kupaniki kusema wengine hawajui , kule yapo mengi ya kutisha n.k lakini hutaweza kuthibitisha hata moja
 
Unataka watu waseme wanaingia sites zipi ili watafutwe??mkuu kama umeweza kuingia sio mbaya, taratibu utapata unachotafuta,kwa dollar Tano unaweza kununua KADI ya bank yenye dollar 1000, ukafanya matumizi mtandaoni,but if you get busted,25 to life jela.. nishawahi fanya hivyo zaidi mara Moja kupitia xxx*. onion
Yani mtu anakadi yenye dola 1000( sawa na shilingi 2, 300, 000/-) halafu mtu huyohuyo atafute wateja online kupitia dark web aanze kuuza kwa dola tanotano sawa na shilingi elfu kumi na moja 😁😁😁 dah inaingiaje akilini hii wataalamu wa darkweb?
 
Back
Top Bottom