Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Unataka watu waseme wanaingia sites zipi ili watafutwe??mkuu kama umeweza kuingia sio mbaya, taratibu utapata unachotafuta,kwa dollar Tano unaweza kununua KADI ya bank yenye dollar 1000, ukafanya matumizi mtandaoni,but if you get busted,25 to life jela.. nishawahi fanya hivyo zaidi mara Moja kupitia xxx*. onion
Na unaweza ukazihamisha hizo pesa
 
Back
Top Bottom