Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

Tupe madini kidogo kipi Cha ziada kipo uko,ili tujue tunaanzia wapi mkuu
Mambo ni mengi ila ngoja nikupe kwa uchache

Unaweza kuaccess taarifa zilizoibiwa somewhere.

Human trafficking.

Unaweza kununua hacked Netflix account,madawa ya kulevya, chemicals zinazotumika kwenye mauaji, wauwaji wakukodi , professional hackers kuna mpaka magroup kabisa,
fake passport,silaha za aina zote.... nk

Darknet sio salama hata kidogo kuwa makini usifungue kila link CIA,FBI wapo wakutosha.
 
Mambo ni mengi ila ngoja nikupe kwa uchache

Unaweza kuaccess taarifa zilizoibiwa somewhere.

Human trafficking.

Unaweza kununua hacked Netflix account,madawa ya kulevya, chemicals zinazotumika kwenye mauaji, wauwaji wakukodi , professional hackers kuna mpaka magroup kabisa,
fake passport,silaha za aina zote.... nk
site ndo hutaji
 
Mambo ni mengi ila ngoja nikupe kwa uchache

Unaweza kuaccess taarifa zilizoibiwa somewhere.

Human trafficking.

Unaweza kununua hacked Netflix account,madawa ya kulevya, chemicals zinazotumika kwenye mauaji, wauwaji wakukodi , professional hackers kuna mpaka magroup kabisa,
fake passport,silaha za aina zote.... nk

Darknet sio salama hata kidogo kuwa makini usifungue kila link CIA,FBI wapo wakutosha.
Oky nimekuelewa kiongoz
 

Attachments

  • 40EF6382-F29F-41F2-8E24-DFA022849488.png
    40EF6382-F29F-41F2-8E24-DFA022849488.png
    207.5 KB · Views: 21
Unataka watu waseme wanaingia sites zipi ili watafutwe??mkuu kama umeweza kuingia sio mbaya, taratibu utapata unachotafuta,kwa dollar Tano unaweza kununua KADI ya bank yenye dollar 1000, ukafanya matumizi mtandaoni,but if you get busted,25 to life jela.. nishawahi fanya hivyo zaidi mara Moja kupitia xxx*. onion
 
Back
Top Bottom