---Hii ni kesi ingine. Ukiacha ile ya kutafuta mchumba kuna hii ya kukaa pamoja. Muda wowote nitaingia katika maisha mapya ambayo sikuwahi ishi, 1.kubanana bedini-- nimezoea sana kujinafasi nalala kwa raha zangu,ila baada ya ndoa itakuwa ni mbanano na hivi ka kitanda kangu haka ka urithi nika banco 2.5 kwa 6 nahisi kama nitakuwa nashindwa pumua aisee. Nipeni darsa mapema kabla mambo hayajakorogana.
Ahsante sana, hivi sasa nimeanzisha ukurasa wa Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa
Karibu sana uchangie mada huko. Kuna maswali mengi ambayo nnaulizwa na nnauhakika kuna wengi humu wana uwezo wa hali ya juu wa kujibu mengineyo mengi.