Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa, aambiwe apige mswaki mara 2 kwa siku, hasa usiku na asubuhi. Na ahakikishe anasugua ulimi muda mrefu ili asinuke mdomo.Hakuna jamaa mshenzi kama dasi w Busega,ashughulikie kwanza tatizo la kinywa chake kutoa harufu mbaya
acha kujipaKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
Acha kujipa promo wewe DAS. Wewe ni mpumbavu na haustahili kuwa mtumishi wa UmmaKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
CCM imejaliwa hazina kubwa sana ya wapumbavuWapumbavu wengi sana wapo ccm.
T-Boz, Left Eye & Chilli.TLC[emoji16][emoji16]
Mtu mwenyewe kaandika kintume na serikali. Kichwa chake kama kintume, huyo ni miongoni mwa wajinga tulionao nchi hiiKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
Huyu kinuka mdomo ajifunze kwanza afya ya kinywa na meno anatoa harufu mbaya sana kinywani mwakeKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
Das ni cheo cha chini sana ! halafu aweza kutumbuliwa dk yoyote ileKatibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
Halafu kumbe ananuka mdomoMtu mwenyewe kaandika kintume na serikali. Kichwa chake kama kintume, huyo ni miongoni mwa wajinga tulionao nchi hii
Huyu keshalogwa....mtaniambia......Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
Kwa lugha ya kwetu ni tusi..."kintume".....yaani maana yake ni mdhuti🙂"Kintume" ndio nini ?View attachment 2725519
Basi bila shaka ,kwa kua Mwambukusi anasimamia haki, Mungu ataanza mshughulikia uyu DAS kabla ya maombi yake kwa binadam kumshughulikia Mwambukusi,na imekua ,Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430
Utu wa watu!l?Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ameandika waraka akitaka Wakili Boniface Mwabukusi ashughulikiwe.
View attachment 2725430