Data driven decisions. Kwanini NALA wawe na HQ Kenya na sio Tanzania?

Data driven decisions. Kwanini NALA wawe na HQ Kenya na sio Tanzania?

Mkuu Tanzania ina mambo ya ajabu mkuu sana.
Kuna regulations sijui hata zinalisaidia nini taifa hili.
Mimi tu kila mwezi nikipokea ela less ni $500 kutoka nje na zote kwasababu Tanzania wana regulation zao za ajabu inabidi nizipitishe kenya. So flow iko hivi either paypal withdraw ni safaricom au skrill withdraw ni safaricom then safaricom to airtel money. Hapo anayehesabika kapokea hiyo pesa ni mkenya.
Na kuna zaidi ya watu hata 500 wanaotumia formula kama yangu hata humu wapo wengi.
Ukiwauliza paypal au upwork au skrill, jibh ni sheria za pesa Tanzania ndizo zinafanya mambo yawe hivyo.
Hili pia linafanya kuuza hata bidhaa kwenye platoforms za kimataifa kwa wajasi wadogo kuwa na changamoto. Wazungu wengi wanaiamini paypal linapokuja suala la malipo mtandaoni ila ndio tz paypal haipokei pesa.
Nchi ina mambo mengi ya ajabu na sijui wanafaidika nini kwa haya.
Yap mkuu well noted.

So hapa mchawi wetu haswa nia

1. Lugha - Watanzania wengi hawajui lugha ya malkia kwahiyo hawavuki maji.

2. Regulations - hiyo issue ya paypal na system nyingine kupigwa pini Tanzania nia kwasababu ya ile sheria yetu kandamizi ya anti money laundering ndo imeweka kofuli kwenye miamala inayotoka nje
 
Yap mkuu well noted.

So hapa mchawi wetu haswa nia

1. Lugha - Watanzania wengi hawajui lugha ya malkia kwahiyo hawavuki maji.

2. Regulations - hiyo issue ya paypal na system nyingine kupigwa pini Tanzania nia kwasababu ya ile sheria yetu kandamizi ya anti money laundering ndo imeweka kofuli kwenye miamala inayotoka nje

nakataa sio lugha.
mbona kuna kampuni zimeenda nchi ambazo lugha zipo zaidi ya 8 zinatumika.
tatizo ni serikali kuwa itabiriki na siasa zake .mfano wa magufuli tu unaweza kuleta muwekezaji ambaye afahamu kesho kuna kichaa gani
 
Regulations za Kenya pia ziko friendly especially kwenye miamala ya kuingia na kutoka nje.

Tanzania kuna ile sheria ya anti money laundering ilisainiwa na Prof. Mpango, yaani ni mwiba mkali kwenye miamala inayoingia nchini
Hii nchi yetu kua tajiri ni kosa. Regulations za kimasikini, zinatungwa na watu wenye akili za kimasikini, ili kuhakikisha tunabaki kua masikini.

Mlolongo wa kupokea dola elf kumi tu kutoka nje ya nchi, unatosha kukufanya ujutie kua mtanzania!
 
Kenya wako na mazingira bora sana ya uwekezaji. Kenya wanaitambua Forex, na iko regulated. Meanwhile, hapa bongolala hata Paypal imetushinda.

Linapokuja suala la uwekezaji, emotions na uzalendo vinawekwa pembeni. Watu wanaangalia kama mazingira yanafaa kufanya biashara.

Nothing more, nothing less!
Ni kweli mkuu, hata 'investment security'....usalama wa mali au miundombinu ya uwekezaji Kenya wamejitahidi mno nadhani wana uelewa mkubwa mno wa dunia ya utandawazi unavyofanya kazi kuliko watunga sera wetu...........hapa Tanzania lolote kwa muda wowote linaweza kutokea kuathiri mali za wawekezaji.
 
Ni kweli mkuu, hata 'investment security'....usalama wa mali au miundombinu ya uwekezaji Kenya wamejitahidi mno nadhani wana uelewa mkubwa mno wa dunia ya utandawazi unavyofanya kazi kuliko watunga sera wetu...........hapa Tanzania lolote kwa muda wowote linaweza kutokea kuathiri mali za wawekezaji.
Kinachotukwamisha Tanzania kinaanzia kwenye sera
 
Ni kweli mkuu, hata 'investment security'....usalama wa mali au miundombinu ya uwekezaji Kenya wamejitahidi mno nadhani wana uelewa mkubwa mno wa dunia ya utandawazi unavyofanya kazi kuliko watunga sera wetu...........hapa Tanzania lolote kwa muda wowote linaweza kutokea kuathiri mali za wawekezaji.
Wazee wetu wako too outdated and too rigid in the world which needs the highest level of flexibility.

Mbaya zaidi, ndio wanaoamua kila kitu!
 
Yes, yaani i wish tungekuwa tunafanya utafiti issue kubwa ni kwamba lugha inawapa wakenya kujiamini na kwenda kusaka fursa nje ya nchi
Kiswahili hakina faida zaidi ya ufahari

Wakenya waliachana na Ujamaa ndo maana Saudi kuna wakenya zaidi ya 50,000
Wameamua jilipua

Ukienda Sudan utawakuta wakenya wengi sana

English ni lugha ya dunia, leo hii Wachina wanajifunza Kiingeleza, wamebadili hadi vyuo vingine vinaanza fundisha kwa kiingeleza lengo ni kufanya biashara
 
Nimeona uzi wa mdau mmoja Upepo wa Pesa nadhani akilalamika ni kwanini nala wawekeze USD 5 Million in Kenya wakati kampuni imeasisiwa na mtanzania?

Mods nawaomba msiunganishe huu uzi kwasababu nataka uwe na discussion tofauti.

Kuna kitu kwa wachumi na pia kwenye uwekezaji huwa tunakiita 'Follow the money' or 'Cash is King'.

Ukiangalia data au takwimu za 'Remittance flows baina ya Tanzania na Kenya utagundua kwamba wakenya wametuzidi pakubwa sana, wakati wakenya sasahivi wanapokea karibu USD 4 Billions kutoka nje kama remittances, Tanzania tupo kwenye USD 500 million na trend yetu inashuka.

View attachment 2538373

So it is simple, maana yake unaweka biashara yako pale kwenye fursa, na ningemshangaa sana kama huyu mtu angeweka HQ Tanzania na akaiacha Kenya wakati data zinakuambia kabisa, kwamba fursa ipo Kenya.

Sasa swali la kujiuliza linatakiwa lisiwe kwamba ni kwanini aweke HQ Kenya na sio TZ, swali linatakiwa kuwa 'NI KWANINI REMITTANCE INFLOWS IN KENYA NI KUBWA KULIKO TANZANIA'.

Ukichambua sana utarudi kule kule kwa watetezi wa Kiswahili na wanaobeza Kiingereza.

Huwa nazungumza hili swala siku nyingi sana 'Kiswahili hakivuki maji' shauri yenu.

Ingekuwa hawa vijana wanamaliza form four wangekuwa wanajua kutema ungenge, ungewakuta wapo majuu huko wanakomaa na maisha na remittance flow ingekuwa kubwa, na hiyo ingepelekea watumiaji wa NALA kuwa wengi wenye asili ya Tanzania, na hiyo ingepelekea mmiliki wa Nala kuona haja ya kuwa na HQ hapa na sio Kenya.

Halafu kuna issues za regulations, Tanzania tuna sera kandamizi sana kwenye issue nzima ya uhuru wa kufanya miamala kutoka na kuingia ndani ya nchi, sheria zimekuwa mwiba mkali sana. Angalia sheria yetu ya anti money laundering, haipo friendly kabisa ku facilitate miamala ya kifedha kuingia ndani.

Pia mazingira ya biashara Tanzania bado sio mazuri, ukilinganisha na nchi kama Kenya.

Kwahiyo bado Tanzania ni nchi ambayo ni ipo kwenye high risk category ikiwa unataka kuweka uwekezaji wako hapa.

It goes like that.

Kiswahili hakivuki maji

N.Mushi
Some tyme unaweza ukajiumiza akili kuwaza kwann tunabaki nyuma ya kenya au blahblah.

Lakini tusijue malengo ya viongozi wetu mm nahisi hawapo kucompete na kenya zaidi wapo kuifanya Tanzania iwe kama Tanzania and not kenya.

Last month Kuna kiongozi mmoja mkubwa wa wizara level ya kutoa maamuzi nilikuwa nadiscuss nae kuhusu mambo afya basi nikamwambia unaona private huduma zao ni bora kuliko serikali akanikatisha na kusema serikali haipo kwaajili ya kucompete ila private ndio wanatakiwa kuiga serikali maana serikali ndio mkubwa...Nilichoka!
 
Regulations mbovu na zinazobadilika kila siku ni hoja ya msingi ila Remittances ni utumwa tu na kutafanya watu weusi Africa kuwa ni duni na tegemezi wa wazungu.
 
Hii kauli ya Museveni kwa waganda ipo related kabisa na watanzania.

Even fools survive in Tanzania, But in other parts of the world they can die....
FB_IMG_1676899035524.jpg
 
Regulations mbovu na zinazobadilika kila siku ni hoja ya msingi ila Remittances ni utumwa tu na kutafanya watu weusi Africa kuwa ni duni na tegemezi wa wazungu.
Hapa ni lugha tu tofauti imetumiwa. Serikali wakifanya wao inaitwa mikopo na misaada isiyo na masharti (loans and grants), wananchi wa kawaida inaitwa remittances. Hakuna hata mmoja aliyeweza kujitegemea kwa asilimia 100. Wote ni tegemezi tu.
 
Some tyme unaweza ukajiumiza akili kuwaza kwann tunabaki nyuma ya kenya au blahblah.

Lakini tusijue malengo ya viongozi wetu mm nahisi hawapo kucompete na kenya zaidi wapo kuifanya Tanzania iwe kama Tanzania and not kenya.

Last month Kuna kiongozi mmoja mkubwa wa wizara level ya kutoa maamuzi nilikuwa nadiscuss nae kuhusu mambo afya basi nikamwambia unaona private huduma zao ni bora kuliko serikali akanikatisha na kusema serikali haipo kwaajili ya kucompete ila private ndio wanatakiwa kuiga serikali maana serikali ndio mkubwa...Nilichoka!
Ungemnasa kibao

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kenya wako na mazingira bora sana ya uwekezaji. Kenya wanaitambua Forex, na iko regulated. Meanwhile, hapa bongolala hata Paypal imetushinda.

Linapokuja suala la uwekezaji, emotions na uzalendo vinawekwa pembeni. Watu wanaangalia kama mazingira yanafaa kufanya biashara.

Nothing more, nothing less!

Policy zetu zinatufanya tuwe stuck in the mud. World is moving fast and we cant catch up
 
Yaani unafungua thread kabisa kuongelea $5m ya mtu wakati mafisadi kila siku yanapora mabilioni ya miradi tumekaa kimya🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom