Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
- Thread starter
- #21
Yap mkuu well noted.Mkuu Tanzania ina mambo ya ajabu mkuu sana.
Kuna regulations sijui hata zinalisaidia nini taifa hili.
Mimi tu kila mwezi nikipokea ela less ni $500 kutoka nje na zote kwasababu Tanzania wana regulation zao za ajabu inabidi nizipitishe kenya. So flow iko hivi either paypal withdraw ni safaricom au skrill withdraw ni safaricom then safaricom to airtel money. Hapo anayehesabika kapokea hiyo pesa ni mkenya.
Na kuna zaidi ya watu hata 500 wanaotumia formula kama yangu hata humu wapo wengi.
Ukiwauliza paypal au upwork au skrill, jibh ni sheria za pesa Tanzania ndizo zinafanya mambo yawe hivyo.
Hili pia linafanya kuuza hata bidhaa kwenye platoforms za kimataifa kwa wajasi wadogo kuwa na changamoto. Wazungu wengi wanaiamini paypal linapokuja suala la malipo mtandaoni ila ndio tz paypal haipokei pesa.
Nchi ina mambo mengi ya ajabu na sijui wanafaidika nini kwa haya.
So hapa mchawi wetu haswa nia
1. Lugha - Watanzania wengi hawajui lugha ya malkia kwahiyo hawavuki maji.
2. Regulations - hiyo issue ya paypal na system nyingine kupigwa pini Tanzania nia kwasababu ya ile sheria yetu kandamizi ya anti money laundering ndo imeweka kofuli kwenye miamala inayotoka nje