Data driven decisions. Kwanini NALA wawe na HQ Kenya na sio Tanzania?

magufuli aliiharibu sana hii nchi
 
Regulations mbovu na zinazobadilika kila siku ni hoja ya msingi ila Remittances ni utumwa tu na kutafanya watu weusi Africa kuwa ni duni na tegemezi wa wazungu.
Utumwa kivipi?... yaani itokee fursa ya kufanya kazi nje ya nchi halafu ukatae, uendelee kuwa jobless huku bongo? Kisa kwamba ukienda US itachukuliwa kama ni utumwa???

Hapana mkuu, sikuungi mkono kabisaaa
 
True brother.... hatuko aggressive lakini pia inatokana na kutokujiamini. Na kutokujiamini hiyo inasababishwa na elimu finyu na kitokumudu lugha
 
Wazee wetu wako too outdated and too rigid in the world which needs the highest level of flexibility.

Mbaya zaidi, ndio wanaoamua kila kitu!
Nalubaliana.... hawa wazee wapo old school sanaaa... tena sanaaaa.. kisa tu wana Phd ila wana ushamba mwingi
 
Policy zetu zinatufanya tuwe stuck in the mud. World is moving fast and we cant catch up
Policy makers wenyewe ni old school... hilo nalo tatizo.

Unakuwa na mzee Prof amesoma miaka ya 80 huko, ukimuambia sijui paypal, skrill, crypto, anaona kama ni mashikolo mageni, anaamua kuyapiga pini, maana hayaelewi, anahisi labda ni kitisho fulani hivi, kumbe ni yeye tu haelewi.

Tatizo hilo
 
Ndio maana wabongo ukiwashinda hoja wanaanza kukuita wewe mkenya unajifanya unajua kilakitu...
 
Kiswahili has nothing to do with remittances.

Hatuna uraia pacha. Hatuna mwamko wa kwenda nje, hapo awali hakukua na sababu za msingi kwenda nje ya nchi plus ugumu wa kwenda nje kama kupata passport, hivyo Diaspora wa TZ ni wachache compared to wakenya.

Mazingira ya uwekezaji bongo bado sio rafiki.

Kenya remittances zimeongezeka maradufu mara baada ya kuruhusu uraia pacha. Bongo iige hili.
 

Kenya hawakuachana na Ujamaa bali hawajawahi kuwa wajamaa kabisa.

Wakenya walianza kutoka zamani nje ya nchi sababu they had no other option. They had to. Social-political climate yao haikua rafiki. Kadhalika nchi zingine kama Nigeria nk. Sio sababu ya English tu au kwa kupenda kwao.

Umewahi kuwaona Namibians au waBotswana nje ya nchi zao permanently hata wakati nchi zao zinapitia wakati mgumu? Kwanini? Unadhani hawajui ngeli?
 
Nothing to do with remittance?.... yaani utaenda nchi za ulaya na marekani na hujui kugha???
 
Nothing to do with remittance?.... yaani utaenda nchi za ulaya na marekani na hujui kugha???

Wamalawi hadi mmachinga anaongea kingereza kizuri tu japo kwa accent yao, nao wametuzidi remittances? Kwanini hawatoki nchini mwao?

Kuna more factors za watu kuzamia nje than just English.

Kukosekana kwa uraia pacha na mazingira mabovu ya biashara ndo maana watu hawatumi pesa za maana bongo.

Kenya remittances zime-triple mara baada ya kuruhusu uraia pacha.
 
Hahaa, mchakato wa kupata passport Tanzania, unaweza kuhisi labda unataka kununua figo!
 
According to data, sisi remittance kwa mwaka jana wao walikuwa USD 260 Million sisi tulikuwa USD 570 Million.

Ila Malawi population yao ni 20 million na Tanzania tupo 61 million.

Ukizichanga vizuri akili zako utagundua hata Malawi wanatuzidi remittance on relative terms.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…