Date in style like Neymar - You need to be loaded though (PHOTOS)

Date in style like Neymar - You need to be loaded though (PHOTOS)

Yaani anagharamika hivyo...

Sie wengine unapigiwa simu "baby nakuja" unajibu "poa" anakwambia "nitumie basi nauli ya taxi" unamjibu "ok" alafu unamchunia...ajabu baada ya nusu saa unasikia hodi, unafungua mlango...ni yeye na Malboro full of zagazaga, anakwambia " mbona nakupigia hupokei, nilitaka nikuulize nichukue kuku au samaki ? imebidi nije na zote"

Hakuna cha Neymar wala nini.
 
wakati wengine wanatumiwa Private jet

wengine zinatumwa 400 za nauli ya daladala

tena sikutumii maanake unaweza usije....unakuja then naku-refund.....ila mademu wa kiswahili nao shidaaah, una mwambie achukue taxi/bajaj from gongolamboto yeye anachukua daladala mpaka kituoni karibu na kwako akifika hapo anachukua bajaj buku mia tano halafau anakupiga invoice ya taxi 20,000!!!!!!!!!!!!1
 
tena sikutumii maanake unaweza usije....unakuja then naku-refund.....ila mademu wa kiswahili nao shidaaah, una mwambie achukue taxi/bajaj from gongolamboto yeye anachukua daladala mpaka kituoni karibu na kwako akifika hapo anachukua bajaj buku mia tano halafau anakupiga invoice ya taxi 20,000!!!!!!!!!!!!1

​Yaani kwa mfano huo tu, nimegundua mademu wa kibongo wachakachuaji kama wanasiasa.
 
mchawi hela tu, mi mpaka leo nimenuniwa kisa nilishindwa kumtumia bebi nauli ya kutoka bukoba kuja dar kwa mara ya kwanza ili angalau alione sanamu la askari monument akatambishie kwao amefika posta town
 
tena sikutumii maanake unaweza usije....unakuja then naku-refund.....ila mademu wa kiswahili nao shidaaah, una mwambie achukue taxi/bajaj from gongolamboto yeye anachukua daladala mpaka kituoni karibu na kwako akifika hapo anachukua bajaj buku mia tano halafau anakupiga invoice ya taxi 20,000!!!!!!!!!!!!1

Haaaaaaa mie ukituma nakuja tu, sasa akikupa hiyo invoice ya 20,000 unaenda kumpa dereva moja kwa moja
 
Back
Top Bottom