KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Tena hiyo 400 unapewa kwa masimango mpaka unajuta
Kumbe 400 unaiona ndogo....itabidi niwe nakufuata na baiskeli yangu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena hiyo 400 unapewa kwa masimango mpaka unajuta
wakati wengine wanatumiwa Private jet
wengine zinatumwa 400 za nauli ya daladala
tena sikutumii maanake unaweza usije....unakuja then naku-refund.....ila mademu wa kiswahili nao shidaaah, una mwambie achukue taxi/bajaj from gongolamboto yeye anachukua daladala mpaka kituoni karibu na kwako akifika hapo anachukua bajaj buku mia tano halafau anakupiga invoice ya taxi 20,000!!!!!!!!!!!!1
tena sikutumii maanake unaweza usije....unakuja then naku-refund.....ila mademu wa kiswahili nao shidaaah, una mwambie achukue taxi/bajaj from gongolamboto yeye anachukua daladala mpaka kituoni karibu na kwako akifika hapo anachukua bajaj buku mia tano halafau anakupiga invoice ya taxi 20,000!!!!!!!!!!!!1
Haaaaaaa mie ukituma nakuja tu, sasa akikupa hiyo invoice ya 20,000 unaenda kumpa dereva moja kwa moja