Daudi Ballali's Death

Daudi Ballali's Death

Status
Not open for further replies.
Tuandamane....

nipo nafuatilia mambo behind the scene ili kuhakikisha kila alichosema Balali kuhusu wana ccm na uizi wao uliokithiri vinawekwa hadharani kwa muda maalumu.

Tupo pamoja kwenye hili na mimi narudia kile nilichosema tangu ijumaa iliyopita:

Roast in Pug (RIP) Balali.

Ha ha haaaaaaaaaaa!

Mwafrika wa Kike, nilidhani jana ulisema "time to move on..."

Ghafla RIP imegueka Roast in Pug, ha ha haaaaaaaa

Mwafrika, kubali umesikilizia upepo ulipo puliza. Kubali ndugu yangu!
 
Kusema ukweli nimeiogopa Jambo Forums and I am so proud to be a member . It took other media two days to release this story . Kweli JF ni kiboko.
 
JK kumbe kichwa! aliweza kujua kama balali atakufa within six months baada ya kamati ya EPA! kweli tanzania tunawataalamu wa mambo ya sumu!

Teh! Teh! teh! Teh!

Nyerere aliwahi kusema kwamba, kama unampenda mtu kwa sura yake nenda kanywe naye chai. Sisi wabongo kwa ushawishi wa wanamtandao na vyombo vyao vya habari tukampeleka "handsome boy" Ikulu pahali patakatifu kwa mujibu wa maelezo ya Mwalimu. Leo hii kuna wajinga wanataka kumfananisha Kikwete na Nyerere! Eti Nyerere JK,hata Jakaya naye JK!
 
Ha ha haaaaaaaaaaa!

Mwafrika wa Kike, nilidhani jana ulisema "time to move on..."

Ghafla RIP imegueka Roast in Pug, ha ha haaaaaaaa

Mwafrika, kubali umesilizia upepo ulipo puliza. Kubali ndugu yangu!

Rudi usome nilichokuwa naandika kwenye ile thread ya mkjj kuhusu kifo cha Balali toka week iliyopita.
 
The living closes the eyes of the dead and the dead opens the eyes of the living.

Bravo balali na vijisent vyako
 
Rudi usome nilichokuwa naandika kwenye ile thread ya mkjj kuhusu kifo cha Balali toka week iliyopita.

Sawa. Nasema ulicho andika jana, baada ya kifo!

Mimi nilikataa hizi pole hizi, na RIP wakati we don't mean it!

LOL! Ohhh man!
 
Kusema ukweli nimeiogopa Jambo Forums and I am so proud to be a member . It took other media two days to release this story . Kweli JF ni kiboko.

Kwa huu ugunduzi wako endelea kuitangaza ili kila mtu aelewe anavyo nyonywa nchini kwake

Itangaze JF wala usichoke
 
Wakuu mimi siamini kuwa Balali amekufa, kwa sababu:-

1. kwa wale msiojua ni kwamba katika mji wa State ya Boston, habari za wagonjwa kulazwa hospitali na wagonjwa kufariki wakiwa kwenye hospitali za State hiyo ni open to the public, yaani unaweza kwa kupitia internent kupata info za mgonjwa yoyote aliyelazwa au kufariki huko Boston,

2. Boston, ina wakazi wengi sana wa kutoka bongo, ambao pia wengine wamebobea kwenye sekta ya Medicine kwenye hospital za huko na tunawafahamu kwa karibu, sasa haiwezekani kuwa wote hawajui kwamba Balali aliwahi kulazwa hospitali gani huko!

3. Haiwezekani Balali ambaye mpaka magazeti ya Boston, kama Globe ambayo yanajua kuwa huyu ni mtu of special interest kwa taifa letu na kwa waa-Afrika wengi wanaoishi Boston, afariki dunia wao wasijue kabisaa, lakini gazeti la Tanzania Daima, likajua that is a big joke!

4. Mke wa sasa Balali, ni dada wa mume wa dada wa mmiliki wa gazeti la Tanzania Daima, ambalo ndilo limekuwa la kwanza kusema hizi habari, now kweli this is just your usual another death annoucemment, au?

5. Ni kwa nini wa-Tanzania kwa maelfu wanaoshi Boston, hawajui Balali alipokuwa amelazwa au hata habari za msiba? Angalau hata the big star Hashimu, the basketballer angekuwa amejulishwa na wazungu somehow kuwa kuna mbongo mwenzio hospital amelazwa au amekufa, lakini hata yeye hajui na ni mwenyeji huko Boston!

Sasa kulikoni na hii habari? Naiona haijakaa sawa hii!
 
Sawa. Nasema ulicho andika jana, baada ya kifo!

LOL! Ohhh man!

ah haaa,

Unamaanisha niliposema hivi:

14th May 2008, 03:38 PM
mwafrika wa kike
JF Senior & Premium Member Join Date: Thu Jul 2007
Posts: 4,570
Rep Power: 30

Thanks: 965
Thanked 2,217 Times in 1,271 Posts
Credits: 131,762

Re: Balali alishakufa, hatukuambiwa?

--------------------------------------------------------------------------------

Rest in Peace Balali ........

Fisadi mkubwa wewe.....

Kabla sijasema hivi masaa machache baadaye:

14th May 2008, 06:31 PM
mwafrika wa kike
JF Senior & Premium Member Join Date: Thu Jul 2007
Posts: 4,570
Rep Power: 30

Thanks: 965
Thanked 2,217 Times in 1,271 Posts
Credits: 131,762

Re: Balali alishakufa, hatukuambiwa?

--------------------------------------------------------------------------------

Roast in Pug (RIP) Balali..... fisadi na mwizi mkubwa wewe!

Na nilipomaliza hayo, nikasema hivi:

Yesterday, 11:52 PM
mwafrika wa kike
JF Senior & Premium Member Join Date: Thu Jul 2007
Posts: 4,570
Rep Power: 30

Thanks: 965
Thanked 2,218 Times in 1,272 Posts
Credits: 131,762

Re: Ballali hatunaye!

--------------------------------------------------------------------------------

Time to move on!

Sad but true (may be?)........
 
Mnafahamu kisa cha "mtema kuni" na kwanini tunao msemo "utakiona cha Mtema Kuni"? Mtema Kuni alifanya nini hadi akabakia kuwa mfano katika methali....?
 
Tuandamane....

nipo nafuatilia mambo behind the scene ili kuhakikisha kila alichosema Balali kuhusu wana ccm na uizi wao uliokithiri vinawekwa hadharani kwa muda maalumu.

Too late dadangu. Sasa hivi yeyote atakayasema chochote kuhusu siri za Balali itakuwa rahisi kabisa kuzitupilia mbali maana hakuna namna ya kuthibitisha. Tabia ya kukalia habari inaendelea kututafuna na inaonekana hatujajua kwamba ni kikwazo kikubwa sana kwenye maendeleo ya nchi. Balali, pamoja na dhambi zingine, ameondoka na dhambi mbaya kabisa ya kukataa kututajia walioshirikiana naye katika wizi wa fedha zetu pale BoT. It is too bad.
 

Sasa kulikoni na hii habari? Naiona haijakaa sawa hii!

Mkuu, itakuchukia muda kuamini lakini ndio imetoka hiyo. Maswali ni mengi lakini haiondoi ukweli kwamba huyu bwana ameshaaga dunia. Tunachosubiri tu sasa ni watawala wa CCM watunge hadithi ya kutusimulia kilichowasibu hadi kuficha kifo cha Balai kwa siku zote hizi, nasi, kama kawaida yetu, tutasema Amen!
 
Too late dadangu. Sasa hivi yeyote atakayasema chochote kuhusu siri za Balali itakuwa rahisi kabisa kuzitupilia mbali maana hakuna namna ya kuthibitisha. Tabia ya kukalia habari inaendelea kututafuna na inaonekana hatujajua kwamba ni kikwazo kikubwa sana kwenye maendeleo ya nchi. Balali, pamoja na dhambi zingine, ameondoka na dhambi mbaya kabisa ya kukataa kututajia walioshirikiana naye katika wizi wa fedha zetu pale BoT. It is too bad.

Kitila,

Kuna habari zinavuja kwa utaratibu na umakini mkubwa kuwa hii case ndiyo mwanzo imeanza kutoka nje. Kuna watu wanaweza kudhani kuwa wameshinda kwenye hili bila kujua kuwa paka ana roho saba na kabla hujaua roho ya saba basi huwezi kumzika paka.
 


5.... Angalau hata the big star Hashimu, the basketballer angekuwa amejulishwa na wazungu somehow kuwa kuna mbongo mwenzio hospital amelazwa au amekufa, lakini hata yeye hajui na ni mwenyeji huko Boston!

FMES, what?

Hashimu, ha haaaaaa!

FMES, tumekuwa na maendeleo katika mazungumzo ya amani na sitaki kuchochea machafuko tena, lakini nimeshindwa kujizuia kucheka.

Hashim hajui? Vifo vya kutatanisha vikitokea Chicago, hawamuulizi Michael Jordan.

Hashimu akuulize wewe nini kinaendelea Bongo na Marekani, na hata Dunia ya Basketball ilivyo kiwanja hapa. Not the other way around.

Hashimu?

Usimaindi Mkuu. Take it easy!
 
Mkuu, miye nimegoogle jana na leo sijaambua chochote kuhusiana na kifo cha Ballali ambavyo kama ulivyosema serikali ya US na vyombo vya habari vya US vinafahamu kwamba huyu jamaa anatafutwa Tanzania kuhusiana na ufisadi mkubwa uliofanyika pale BoT. Kwa mantiki hiyo basi naona hii habari ya kifo cha Ballali ina walakini mkubwa.
 
Wakuu mimi siamini kuwa Balali amekufa, kwa sababu:-

1. kwa wale msiojua ni kwamba katika mji wa State ya Boston, habari za wagonjwa kulazwa hospitali na wagonjwa kufariki wakiwa kwenye hospitali za State hiyo ni open to the public, yaani unaweza kwa kupitia internent kupata info za mgonjwa yoyote aliyelazwa au kufariki huko Boston,

2. Boston, ina wakazi wengi sana wa kutoka bongo, ambao pia wengine wamebobea kwenye sekta ya Medicine kwenye hospital za huko na tunawafahamu kwa karibu, sasa haiwezekani kuwa wote hawajui kwamba Balali aliwahi kulazwa hospitali gani huko!

3. Haiwezekani Balali ambaye mpaka magazeti ya Boston, kama Globe ambayo yanajua kuwa huyu ni mtu of special interest kwa taifa letu na kwa waa-Afrika wengi wanaoishi Boston, afariki dunia wao wasijue kabisaa, lakini gazeti la Tanzania Daima, likajua that is a big joke!

4. Mke wa sasa Balali, ni dada wa mume wa dada wa mmiliki wa gazeti la Tanzania Daima, ambalo ndilo limekuwa la kwanza kusema hizi habari, now kweli this is just your usual another death annoucemment, au?

5. Ni kwa nini wa-Tanzania kwa maelfu wanaoshi Boston, hawajui Balali alipokuwa amelazwa au hata habari za msiba? Angalau hata the big star Hashimu, the basketballer angekuwa amejulishwa na wazungu somehow kuwa kuna mbongo mwenzio hospital amelazwa au amekufa, lakini hata yeye hajui na ni mwenyeji huko Boston!

Sasa kulikoni na hii habari? Naiona haijakaa sawa hii!

Mkulu,

Kuna mengi yanaendelea hapa kuliko ilivyodhaniwa mwanzoni... vuta pumzi uone kinachofuatia muda si mrefu baada ya commercial break.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom